version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Jambo tv live tunalifuatilia tukio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeeniWafke salama
Ni jambo jemaMkutano wa injili.
Hao wamama hawajaliona katazo toka kwa Mutungi??Nimepishana na Daladala sijui imekodishwa au ina root za huko ila imejaa watu, hasa wamama wanaimba wanataka Bandari yao, nadhani hii kitu sio ya kuwapa kina Kitenge na Mwijaku wajijibie Serikali, this is Serious issue.
Ila kwenye show za amapiano singeli hata mvua inyeshe watu hawaondoki siyoKwa mvua hii sidhani kama kuna mkutano.
Wadau mlio karibu na eneo la tukio au mnaopita karibu na eneo hilo, nini kinaendelea muda huu kuhusiana na maandalizi na maendeleo ya mkutano wa Bandari?
Tunaomba mtupe updates za kinachoendelea kabla mkutano huo haujaanza rasimi.
Karibuni.
😃😃😃😃 Vituo vya utangazaji vimebakia kutangaza kamali cheza ushinde ukitaka habari zinazobalance utazipata mtandaoniStation gani ya Tv itakuwa hewani wadau ili tulio mbali tufuatilie kupitia runinga
Utaanza kupigwa wewePolisi pigeni maharamia hao, vunja kabisa mkianza na viongozi wao hasa yule padri
wengi wapo njiani wanaelekea uwanjani hali ya hewa dsm kidogo asubuh imekuwa sio rafikiAsante sana. Naona uwanja umeanza kupendeza.
We punguani kaa kimya. Hujitambui mgonjwa wewe.Polisi pigeni maharamia hao, vunja kabisa mkianza na viongozi wao hasa yule padri
Hakuna katazo lolote. Ule ulikuwa ni ujinga kutoka kwa punguani Kitenge. Mkutano unaendelea ukiwa unalindwa na jeshi la polisi kama sheria inavyotaka.Hao wamama hawajaliona katazo toka kwa Mutungi??
Uzushi!Nimemuona Erythrocyte anabung'aa tu pale kiwanjani🤣
Ok.Uzushi!
KabisaNi jambo jema
Yesu: Enendeni Ulimwengu I kote mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe na kuwabatiza!
Kwa sababu zipi, wamekosa nini?Polisi pigeni maharamia hao, vunja kabisa mkianza na viongozi wao hasa yule padri
sawa lazima watu wahubiriwe kuhusu mkataba wa bandari kati ya ulaghai wa ccm na dp worldMkutano wa injili
Washakula to afu kumikumi hapo na vitenge vya sare.. hawanaga baya haoNimepishana na Daladala sijui imekodishwa au ina root za huko ila imejaa watu, hasa wamama wanaimba wanataka Bandari yao, nadhani hii kitu sio ya kuwapa kina Kitenge na Mwijaku wajijibie Serikali, this is Serious issue.