Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leo umeingia shift ya mchana ehh??Dovutwa amepotoshwa na kina Mbowe
Tumempuuza rasmi kuanzia sasa
Dovutwa msiwe legelege, endeleeni kukaza, sisi huku majaji tushaletewa muongozo, nyie kazeni, si unaona PROF JUMA kawekwa mfukoni? hamna mfumo huru wa mahakama, state attorney wanashinda kesi hata kama hazina ushahid, baraza la kodi nsio usiseme.View attachment 1260369
Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
11 gani wakati tayari viwili vimejiondoa?Bado kuna vyama vile 11 vitashiriki
kwa hio kati ya vile vyama 11 vimebaki vingapi?View attachment 1260369
Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
Nchi ina demokrasia hii!View attachment 1260369
Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
ha ha ha haDovutwa amepotoshwa na kina Mbowe
Tumempuuza rasmi kuanzia sasa
Na watendaji waliokimbia na Fomu wamepotoshwa na PolepoleDovutwa amepotoshwa na kina Mbowe
Tumempuuza rasmi kuanzia sasa
Huyu yupo fasta kuliko wenzake wote combined togetherleo umeingia shift ya mchana ehh??
Utakalia hayohayoDovutwa amepotoshwa na kina Mbowe
Tumempuuza rasmi kuanzia sasa
Unanyonyesha saa ngapi? Maana kutwa kucha upo Kwenye mitandao tuDovutwa amepotoshwa na kina Mbowe
Tumempuuza rasmi kuanzia sasa
Punga kweli wewe, vitaje kwa majina.Bado kuna vyama vile 11 vitashiriki
Kahaba hana shift.leo umeingia shift ya mchana ehh??
Sijaona komenti yako kwenye ule uzi wa Eliah Michael wa Kakonko kuhamia CCMTuwaache CCM wabaki wenyewe(wajitekenye na kucheka wenyewe).