UPDP nayo yajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa

UPDP nayo yajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
FB_IMG_1573466683915.jpg


Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
 
View attachment 1260369

Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
Dovutwa msiwe legelege, endeleeni kukaza, sisi huku majaji tushaletewa muongozo, nyie kazeni, si unaona PROF JUMA kawekwa mfukoni? hamna mfumo huru wa mahakama, state attorney wanashinda kesi hata kama hazina ushahid, baraza la kodi nsio usiseme.
 
Bado kuna vyama vile 11 vitashiriki
Punga kweli wewe, vitaje kwa majina.

CCK iliyoanzishwa na SAM SITA NA MAKONDA imejiondoa, unataka chama gani kingine.

CHADEMA ambayo "imekufa" as per CHAKUBANGA imejitoa
 
Hivi vyama siasa ni vingapi hapa Tanzania? hicho ndio nakisikia leo!
 
Back
Top Bottom