UPDP nayo yajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa

UPDP nayo yajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa

Hivi vyama siasa ni vingapi hapa Tanzania? hicho ndio nakisikia leo!


Orodha kamili ya vyama vya siasa nchini Tanzania]
chama namba 19 kilianzishwa enzi zile SAMWELI SITTA anataka kutoka CCM, na alimtumia DAUDI ALBERT BASHITE kukisajili , ila baadae mission ikafeli


#ChamaKifupi chakeKimeanzishwaBungeBWZBAMSADC-PFBUA
1​
Chama cha Mapinduzi (Chama Cha Mapinduzi)
CCM​
1977​
26348744
2​
Civic United Front (Chama cha Wananchi)
CUF​
1992​
353311
3​
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
CHADEMA​
1992​
49
0​
0​
0​
0​
4​
Union for Multiparty Democracy
UMD​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
5​
NCCR-Mageuzi (Chama cha Mageuzi na Ujenzi wa Taifa)
NCCR-M​
1992​
5
0​
1
0​
0​
6​
National League for Democracy
NLD​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
7​
Attentive Democracy Party(Demokrasia Makini)
MAKINI​
2001​
0​
0​
0​
0​
0​
8​
United People's Democratic Party
UPDP​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
9​
National Reconstruction Alliance
NRA​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
10​
Democratic Party (Chama Cha Kidemokrasia)
DP​
2002​
0​
0​
0​
0​
0​
11​
Tanzania Democratic Alliance
TADEA​
1990​
0​
0​
0​
0​
0​
12​
Tanzania Labour Party
TLP​
1993​
1
0​
0​
0​
0​
13​
United Democratic Party
UDP​
1994​
1
0​
0​
0​
0​
14​
Chama cha Haki na Ustawi (Chama cha Haki na Ustawi)
CHAUSTA​
1998​
0​
0​
0​
0​
0​
15​
Progressive Party of Tanzania – Maendeleo
PPT-MAENDELEO​
2003​
0​
0​
0​
0​
0​
16​
People's Voice (Sauti ya Umma)
SAU​
2005​
0​
0​
0​
0​
0​
17​
Traditional Dhow (Jahazi Asilia)
2004​
0​
0​
0​
0​
0​
18​
Alliance for Tanzanian Farmers Party (Chama Cha Wakulima)
AFP​
2009​
0​
0​
0​
0​
0​
19​
Social Party (Chama Cha Kijamii)
CCK​
2012​
0​
0​
0​
0​
0​
20​
Alliance for Democratic Change(Umoja wa Mabadiliko ya Demokrasia)
ADC​
2012​
0​
0​
0​
0​
0​
21​
Party for People's Redemption(Chama cha Ukombozi wa Umma)
CHAUMMA​
2013​
0​
0​
0​
0​
0​
22​
Alliance for Change and Transparency (Umoja wa Mabadiliko na Uwazi)
ACT​
2014​
0​
0​
0​
0​
0​
 
Orodha kamili ya vyama vya siasa nchini Tanzania][hariri | hariri chanzo]
#ChamaKifupi chakeKimeanzishwaBungeBWZBAMSADC-PFBUA
1​
Chama cha Mapinduzi (Chama Cha Mapinduzi)
CCM​
1977​
26348744
2​
Civic United Front (Chama cha Wananchi)
CUF​
1992​
353311
3​
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
CHADEMA​
1992​
49
0​
0​
0​
0​
4​
Union for Multiparty Democracy
UMD​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
5​
NCCR-Mageuzi (Chama cha Mageuzi na Ujenzi wa Taifa)
NCCR-M​
1992​
5
0​
1
0​
0​
6​
National League for Democracy
NLD​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
7​
Attentive Democracy Party(Demokrasia Makini)
MAKINI​
2001​
0​
0​
0​
0​
0​
8​
United People's Democratic Party
UPDP​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
9​
National Reconstruction Alliance
NRA​
1993​
0​
0​
0​
0​
0​
10​
Democratic Party (Chama Cha Kidemokrasia)
DP​
2002​
0​
0​
0​
0​
0​
11​
Tanzania Democratic Alliance
TADEA​
1990​
0​
0​
0​
0​
0​
12​
Tanzania Labour Party
TLP​
1993​
1
0​
0​
0​
0​
13​
United Democratic Party
UDP​
1994​
1
0​
0​
0​
0​
14​
Chama cha Haki na Ustawi (Chama cha Haki na Ustawi)
CHAUSTA​
1998​
0​
0​
0​
0​
0​
15​
Progressive Party of Tanzania – Maendeleo
PPT-MAENDELEO​
2003​
0​
0​
0​
0​
0​
16​
People's Voice (Sauti ya Umma)
SAU​
2005​
0​
0​
0​
0​
0​
17​
Traditional Dhow (Jahazi Asilia)
2004​
0​
0​
0​
0​
0​
18​
Alliance for Tanzanian Farmers Party (Chama Cha Wakulima)
AFP​
2009​
0​
0​
0​
0​
0​
19​
Social Party (Chama Cha Kijamii)
CCK​
2012​
0​
0​
0​
0​
0​
20​
Alliance for Democratic Change(Umoja wa Mabadiliko ya Demokrasia)
ADC​
2012​
0​
0​
0​
0​
0​
21​
Party for People's Redemption(Chama cha Ukombozi wa Umma)
CHAUMMA​
2013​
0​
0​
0​
0​
0​
22​
Alliance for Change and Transparency (Umoja wa Mabadiliko na Uwazi)
ACT​
2014​
0​
0​
0​
0​
0​

Ahsante, kumbe ni vingi kiasi hicho!!!
 
Ahsante, kumbe ni vingi kiasi hicho!!!


Nilimsikia CHAKUBANGA a.k. a SLOW SLOW akisema CHADEMA imekufa, sasa sijui hivyo vingine vitakuwaje?
MBOWE hatoki uenyekiti, sijui kama chakubanga anajua hata wenyeviti wa vyama vingine 22
 
11 gani wakati tayari viwili vimejiondoa?

Huyo Dovutwa sio wa kumuamini, hata kama vile vyama vya upinzani makini vitaamua kufanya ushirikiano wa pamoja, hiki cha Dovutwa kisiwe sehemu ya umoja huo, maana itakuwa ni kuchanga mamba na kenge.
 
Hahaha CHADEMA imeongoza wengine wanafuata.

Dovutwa alikuwa ameweka wagombea wapi?!

Mamluki anatafuta kuingia kupata taarifa za waliojitoa.
 
Back
Top Bottom