Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
vyama vyenye wawakilishi bungeni, mabaraza ya madiwani .kata, mitaa na vijiji vimeshjitoa. Baadae vikafuatia vile vyama ambavyo walau viongozi wake wakuu wanafahamika.Vilivyobaki sidhani kama hata viliweza kufikisha wagombea 10 kwa ujumla wao