Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #41
Acha ukabilaHapa Tanzania gospel ni ya wanyakyusa, wengine wanaiga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ukabilaHapa Tanzania gospel ni ya wanyakyusa, wengine wanaiga tu
😀😀Kutumia Facebook inahitaji umakini sana,Kuna account verified kabisa ila ni fake na Kuna wahuni wanakazi ya kukuza account fake za watu maarufu waliochelewa au hawana kabisa page Facebook na Kisha wanakuja kuwauzia hao hao wasaniiBado unatumia Facebook? Huko zimejaa fake account tupu hakuna msanii Wala kiongozi mkubwa wa kisiasa anatumia Facebook
Nadhani umakini unahitajika unapotumia kila mtandao na sio Facebook tu.😀😀Kutumia Facebook inahitaji umakini sana,Kuna account verified kabisa ila ni fake na Kuna wahuni wanakazi ya kukuza account fake za watu maarufu waliochelewa au hawana kabisa page Facebook na Kisha wanakuja kuwauzia hao hao wasanii
Umeoa huko mkuu?Haya makanisa hua hata masikio hawatoboagi
Nisahihi
Kapendeza sana kwa kweliAmebadilika amekuwa mweupe.
[emoji1783][emoji1783][emoji1783] ,kimtindoUmeoa huko mkuu?
Sawa bosi 😂[emoji1783][emoji1783][emoji1783] ,kimtindo
Kaoa kiaje? Q
Uno lilikatwa na king David huko uyahudi hadi nguo ikamvuka akabaki naked kabisa 😂Congo hii ya akina Alka Mumba ambayo watu wanakata uno bila shida
Alikata uno mpaka mke akamdharauUno lilikatwa na king David huko uyahudi hadi nguo ikamvuka akabaki naked kabisa 😂
Hayo mauno ya Congo yanayokatwa bila nguo kuwavuka wakata uno ni ya kitoto tu hayo 😂
Nikumbushe pia kilichomtokea huyo mke baada ya kumdharau mumewe mkata uno.Alikata uno mpaka mke akamdharau
Nikukumbushe tu mkuu
Huyo binti wa Sauli hakupata mtoto kabisa.Nikumbushe pia kilichomtokea huyo mke baada ya kumdharau mumewe mkata uno.
Umeona sasa madhara ya kumdharau mtiwa mafuta wa Bwana!Huyo binti wa Sauli hakupata mtoto kabisa.
Kanumba hakufa...alfake kifo chake, nishakutana nae nzega anachoma mahindiFace book Kuna account ya kanumba Kila siku anapost movie zake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hukumpiga picha?Kanumba hakufa...alfake kifo chake, nishakutana nae nzega anachoma mahindi