eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Walokole wengi wa Bongo wamehairisha trip ya paradiso
Waende paradise, na ya dunia wamwachie nani?
Wengi walio maarufu wana lifestyle kama ya wasanii wa bongo muvi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walokole wengi wa Bongo wamehairisha trip ya paradiso
Ila maisha ya Kwenye Tv na Media ni ya Kipumbavu sana, Enzi hizo kabla Sijafika jiji la Chalamila kwa Sasa, nilikuwa nikimfuatlia Kakobe kwenye Tv akiwa anafundisha kanisani kwake apo Pembeni na Mlimani city nilijua ni Bonge la Kanisa na Pengine hata Waumini Maelefu kwa maelefu wangeweza kusali humo, nilivyokuja kupajua live Sikuamini tena kitu ya Kuona kwenye Tv.
Aliniomba sana nisimpige, akanipa mpaka buku nkamhurumia....sema alikuwa kavaa mzula na miwani watu walkuwa wananunua tu mahindi hawajui niyeye, mi sinaangaliga sana movie zake ndo nkamshtukia.Hukumpiga picha?
Ulikosea sana kupokea rushwa ya buku huku ukikosa mamilioni ya hela kwa kushindwa kumpiga picha huyo mchoma mahindi 😂Aliniomba sana nisimpige, akanipa mpaka buku nkamhurumia....
Nampenda sana yule kijana, alipoanza kulia tu ilinitachi sana...afu skuona ntafaidika nini na hiyo picha, hayo mamilion ningeyatengenezaje?Ulikosea sana kupokea rushwa ya buku huku ukikosa mamilioni ya hela kwa kushindwa kumpiga picha huyo mchoma mahindi 😂
Ungelipwa na Lulu baada ya kumpatia picha za mpenzi wake aliyetoweka kimiujiza kumbe yupo Nzega anachoma mahindi, aki ungekuwa milionea.hayo mamilion ningeyatengenezaje?
Amna..nmekutana nae mwaka jana tu apo,Lulu alkuw keshatoka gerezanUngelipwa na Lulu baada ya kumpatia picha za mpenzi wake aliyetoweka kimiujiza kumbe yupo Nzega anachoma mahindi, aki ungekuwa milionea.
Hapa ndio umeoendeza sasa!Amesema mwenyewe;
"Basi nimepata mwaliko mwingine wa kwenda kuhudumu congo [emoji120][emoji120].
Wakasema tunaomba picha ya matangazo, nikawatumia picha nyingi wachague. Wakanijibu hawazipendi maana nimevaa mahereni na macheni [emoji24][emoji24], wenyewe wanaita (mabishuu) wakasema wanataka niwatumie picha ambayo nimefunika kichwa na nisivae cheni wala herenii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mtihani mzitooo. Sikuwa na namna imebidi nikaipige picha wanayotaka na tayari nimewatumia. Duuu makanisa ya Kipentecoste ni balaa. Wamejua kuninyoosha [emoji1787][emoji1787][emoji122]..
Ngoja sasa uone wale wanaonionyaga nisivae hereni wala cheni leo watakavyotitirika hap,a maana wamepata wenzao."
Source: Facebook account ya Upendo Nkone.
Waimba gospel mnaotumia mkorogo piteni hapa mjifunze kitu kwa huyu mama.
View attachment 2656431