Upendo Nkone anyooshwa na walokole wa DRC


Kua uyaone. Na bado utayaona mengi.
 
Ulikosea sana kupokea rushwa ya buku huku ukikosa mamilioni ya hela kwa kushindwa kumpiga picha huyo mchoma mahindi 😂
Nampenda sana yule kijana, alipoanza kulia tu ilinitachi sana...afu skuona ntafaidika nini na hiyo picha, hayo mamilion ningeyatengenezaje?
 
Ungelipwa na Lulu baada ya kumpatia picha za mpenzi wake aliyetoweka kimiujiza kumbe yupo Nzega anachoma mahindi, aki ungekuwa milionea.
Amna..nmekutana nae mwaka jana tu apo,Lulu alkuw keshatoka gerezan
 
Hapa ndio umeoendeza sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…