misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Mapambano ananufaika mzee wa mansion tu, bora amechagua njia yakeUmeacha mapambano ukiwa bado kijana sana, tena umekata tamaa tukiwa tunaelekea kwenye kilele cha Mafanikio.
Wakatti tunaandamana wote kupinga Mauaji ya Mwangosi, Emmanuel Nchimbi alikuwa mhusika, akishirikiana na Michael Kamuhanda.
Tunakutakia kila la heri