KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Fake opposition is prevalent in failed countries..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya 😂😂😂Kwa hiyo mantiki yako ya makapi ina expire baada ya muda?
Unaposema uongo,uongo huwa unakuwa ukweli baada ya muda?
Watu huwa wanamquote Mwalimu Nyerere kwa aliyoyasema miaka mingi iliyopita wanakuwa wanaishi miaka aliyekuwepo?
Jifunze kutetea hoja yako kwa hoja za nguvu sio nguvu za hoja.
You never lose either you win or you learn.
Mahitaji huenda na wakati!Siasa za Tanzania kila siku zinarudi Nyuma badala ya kusonga mbele
UVCCM wameanza tena kushangilia mapokezi ya Makapi kutoka Vyama vya Upinzani
Nchi ngumu Sana.🐼
Ndio Sababu makada wanaingiza Watoto wao ChipukiziMahitaji huenda na wakati!
Pana ukweli hapo!Ndio Sababu makada wanaingiza Watoto wao Chipukizi
Nadhani kuna upungufu wa Vipaji
Upendo peneza sio Covid 19 ndio maana nashangaa kwanini alikataa kujiunga na kina Halima ila kaishia kwenda CCM for no reason.Chadema mliisha mfukuza,kwani kamati kuu ilivyowavua uanachama hao wamama na kuwaita COVID-19 ulikuwa wapi?ndio maana tunasema chadema sio chama cha Siasa bali wajasilisiasa, viongozi hawajui wamuondoe nani wabaki na yupi,mwisho wa siku chama kitabaki na akina Mdude wazee wa ndio mzee, Sasahivi bado kidogo Mdee na wezake, Chadema kimekuwa chama cha kuibua vipaji vya wanasiasa machachali na kuwaachia kuondoka.
Umechanganya mafaili hajafukuzwa . Umedandia gari kwa mbele.Chadema mliisha mfukuza,kwani kamati kuu ilivyowavua uanachama hao wamama na kuwaita COVID-19 ulikuwa wapi?ndio maana tunasema chadema sio chama cha Siasa bali wajasilisiasa, viongozi hawajui wamuondoe nani wabaki na yupi,mwisho wa siku chama kitabaki na akina Mdude wazee wa ndio mzee, Sasahivi bado kidogo Mdee na wezake, Chadema kimekuwa chama cha kuibua vipaji vya wanasiasa machachali na kuwaachia kuondoka.
CCM wamefika bei si unajua huko yamejaa mapooza tu ndiyo maana kila siku wana recycle watu wale wale wameona atawafaa . Kachukua mpunga mrefu tu na ahadi ya cheo akiwaacha akina Lucas mwashambwa wanasota tu humuAtakuwa kahaidiwa kijinafasi
Ova
Angalia hapa mzee Mdee alivyokuwa anamwaga chozi kwa kuibiwa kura halafu kaenda huko huko,mwalimu wao kipofuThe same happened to Halima & co. Chief.
Hii picha ilinigusa sana na kufanya nimfikirie sana Halima. Naamini tokea hapo hadi alipo sasa limekuwa badiliko kuu (turning point) ya maisha yake. Sidhani kama hadi leo ana amani kamili ndani yake. Alipoteza tunu kubwa sana sana!Angalia hapa mzee Mdee alivyokuwa anamwaga chozi kwa kuibiwa kura halafu kaenda huko huko,mwalimu wao kipofuView attachment 2880426
Mimba iliyokutunga ilipatikana kwenye mkesha wa mbio za mwenge. Una akili za kipumbavu sana. Bila shaka wewe ni mzigo kwa mamako!CHADEMA watabaki wasiojitambua tu na wavuta bangi kama Mdude Nyagali ambaye kichwani hazisomi.
Kahamia CCM lakini anajiona mwanachadema bado😀😀Aliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema, Mweka Hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndg. Upendo Peneza, amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi.
Safari hii haijaanza ndani ya Wiki moja, imeanza ndani ya muda mrefu sana, nikafanya mawasiliano na Viongozi na hatimaye wakakubali kunipokea, Wiki hii niliitumia kama nafasi yangu ya kumshukuru Mungu kwa miaka 15 aliyonipa nikiwa Chama cha Upinzani (CHADEMA) na kumuomba anipe nguvu, anipe ustahimilivu, anipe hekima, anipe busara na nguvu za kutumika kwenye Chama changu kipya (CCM)"
"Nilijiunga na CHADEMA kwa sababu nilikuwa na kiu ya kutafuta mabadiliko ya kweli ndani ya Nchi yetu, nakumbuka baada ya Baba yangu kusikia kwa muda mrefu sana niko kwenye Siasa siku moja akaniita akaniambia nimesikia kwa muda mrefu, akanishauri niache Siasa, akanipa hela akaniambia faya vitu vingine achana na Siasa, nikaendelea, baadaye siku moja akaniita akaniambia Upendo nakuona una dhamira ya kweli ya kutumika kwa ajili ya Siasa, tukaongea na baadaye akanishauri akaniambia sawa umeamua kujiunga na Siasa kwa nini usijiunge na CCM?, sababu nilizompa za kumkatalia zaidi ya miaka 15 iliyopita nilimuambia Baba huku ninaona fursa ya kuwa sehemu ya kutafuta mabadiliko ndani ya Nchi yangu, Baba kidogo alichokuwanacho akanipa akasema endelea na unachokifanya, nimekwenda na kumwambia kuwa sasa naanza safari mpya na pia amenipa baraka zake, safari hiyo niliyoianza miaka 15 iliyopita nilitamani nilitamani kuona Tanzania yetu ikibadilika, Tanzania yetu ikiwa bora, lakini leo nikiwauliza nyie wana CCM mliopo hapa kwa ukweli kabisa bila ushabiki au Wananchi wengine mlioko hapa leo niwaulize, hivi CHADEMA mnatuelewa kweli?
CHADEMA IPO KWA AJILI YA KUTAFUTA MABADILIKO YA WANANCHI?
"Kweli (CHADEMA) tuko kwa ajili ya kutafuta mabadiliko ya Wananchi?, kweli tuko kwa ajili ya kubadilisha maisha ya Watanzania?, baada ya kujiuliza maswali hayo, nikimuangalia Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan tangu siku anapishwa, ukifuatilia nilikuwa na interview na BBC niliwapa hisia zangu za kweli kwa maneno aliyotamka, Mama alitamka na aliahidi kuleta Nchi pamoja, Mheshimiwa Rais alitamka kuwaunganisha Watanzania, Mheshimiwa Rais alitamka kufanya reforms, kwa lugha nyingine na rahisi ya kutamka ni kwamba Mwanamageuzi kwa sasa wa kweli ni Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na ninasema hivyo kwa sababu ameongea na ametenda"
RAIS SAMIA ALITOA MALIMBIKIZO YOTE YA RUZUKU ILIYOSUSIWA NA CHADEMA
Kuna mtu kuongea ili aonekane mwema, kuna mtu kuongea ili kutuliza Watu na kuna mtu kuongea ili kufanyia kazi yale aliyoyaongea, Mheshimiwa Rais alivyoingia madarakani kabla ya jambo lolote lile aliwatafuta Viongozi wangu wa Upinzani kwamba njooni, turudi tuitengeneze Nchi, njooni tuzungumze, hayo ilikuwa ni awamu ya kwanza ya kutafuta maridhiano, ikaenda ikaenda, safari hiyo ya maridhiano ambayo Wananchi mlikuwa hamuijui safari ile ilikufa, tukaanza safari nyingine mpya ya maridhiano, mnafahamu kwamba CHADEMA tumekuwa tunasusia ruzuku, lakini Mheshimiwa Rais akakubali kutoa hiyo ruzuku na sio tu kutoa ruzuku lakini pia malimbikizo yote ya ruzuku"
OFISI MPYA ZA CHADEMA ZIMETOKANA NA PESA ZA RUZUKU
"CHADEMA tumekuwa tukipata ruzuku ambayo imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka, mwaka 2015 mpaka 2020 ilikuwa inafika mpaka milioni 300, ukijumlisha na hela za Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Majimbo Kwa miaka yote ni almost 5 Bilion lakini tulikuwa hatuna Ofisi nzuri ya Chama, tumelipwa malimbikizo ya ruzuku, hiyo Ofisi mnayoiona (Ofisi mpya ya CHADEMA iliyoko Mikocheni, Dar es Salaam) ni matunda ya Pesa za ruzuku, jengo jipya mnaloliona ni matunda ya Pesa zilizokuwa zimekataliwa sasa Chama kikapewa, Watu wakamegana Megan kidogo pale, kuna Watu walitaka matumizi yawe mengine lakini wakasema hapana, iwe imetosha tukanunue Ofisi sasa Chama kikapata Ofisi mpya ambayo leo ndo inatumika"
RAIS SAMIA NI MVUMILIVU NA MSTAHIMILIVU
"Tulikuwa hatuna uhuru wa kufanya mikutano iliyofutwa kwa tamko la Rais na Mheshimiwa Rais (Samia Suluhu Hassan) aliirusha kwa tamko hilohilo la Rais, kwahiyo Mheshimiwa Rais akaruhusu mikutano ya hadhara na jambo moja na kubwa ambalo Watanzania inabidi tujifunze kutoka kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, jambo moja kubwa kama mengine yatatushinda lakini inabidi tujifunze kama Viongozi ni kuwa na uvumilivu na ustahimilivu" -Peneza "Kwenye ile mikutano tumemsema kwa lugha za aina yoyote ile tunazozijuwa, kwa lugha za kebehi, kwa lugha za namna yoyote ile unayoweza kusema lakini Mheshimiwa Rais ameamua kuangalia kilicho cha muhimu"
RAIS SAMIA ANATAKA TANZANIA YENYE DEMOKRASIA
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa) amekuwa Chachu ya kutafuta mabadiliko ya kweli ndani ya CCM na leo hii tunaona amemchagua Mheshimiwa Katibu Mkuu (Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu mpya wa CCM) anayefanana na adhma hiyo, amegundua Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anataka Tanzania yenye Demokrasia, anataka Tanzania ambayo Watu wanaheshimiwa haki zao, anataka Tanzania ambayo Wananchi na wanaweza kufanya shughuli zao huku wakiheshimiwa na haki zao zikipatikana"
NDANI YA VYAMA VYA UPINZANI HAKUNA DEMOKRASIA
"Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa sana, kwamba Vyama vya Upinzani Kwa asili vinapaswa kuwa jicho la Demokrasia lakini leo ukiangalia mienendo na matendo, hata leo unataka kupigania Tume Huru ya Uchaguzi lakini ukifuatilia yaliyoko ndani kwao unaweza ukashika kichwa, unasimamia ubadhirifu, fuatilia yaliyoko ndani unaweza ukashika kichwa kwahiyo mwisho wa siku unasema anayejiita jicho la Demokrasia na yeye anahitaji kuangaliwa"
VIONGOZI CHADEMA WAMEFANYA ULAFI NA UBADHIRIFU WA RUZUKU.
Na ndugu zangu jambo lingine ambalo wamegundua ni kwamba wamefanya biashara hiyo kwa muda mrefu sana, wamefanya biashara ya ulaghai kwa muda mrefu sana, wamefanya kwa ulafi mkubwa sana, wamenogewa lakini wameshtuka tayari 2024 hiyo inataka Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, wameshtuka 2025 ni Kesho kutwa sasa kama huna uhalali kwa Watu unawafanyaje?, na unajuwa tena kwamba kuna biashara nyingine kule ya kufanya ubadhirifu kwenye ruzuku, wanataka ruzuku ya mwaka 2025 iwe nyingi halafu wanataka na huu Uchaguzi kidogo hali ichangamke, Uchaguzi ujao washinde sasa unaanzaje?, unawaingiza Watu Barabarani kidogo unapima joto kujuwa wamekuja wangapi ili kujuwa kama kamtaji bado kapo"
Amemezeshwa desa. Haya ni yaleyale walioyosema kina LIJUA LIKALIUmeacha mapambano ukiwa bado kijana sana, tena umekata tamaa tukiwa tunaelekea kwenye kilele cha Mafanikio.
Wakatti tunaandamana wote kupinga Mauaji ya Mwangosi, Emmanuel Nchimbi alikuwa mhusika, akishirikiana na Michael Kamuhanda.
Tunakutakia kila la heri
Amemezeshwa desa. Haya ni yaleyale walioyosema kina LIJUA LIKALI
Chomelea.Inawezekana hata wewe ni Malaya tu