johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?Mbunge mstaafu Upendo Peneza amesema kupitia Nafasi aliyonayo huko Chadema ataendelea kuwatumikia
Kwa sasa Upendo Peneza Msuya ni Mwanachama wa CCM pamoja na Mchungaji Msigwa
Source: Jambo TV
Bisha kwa hoja, hata Mchungaji bado unawatumikia CHADEMA kwa nafasi yake.Wewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
Mbunge mstaafu Upendo Peneza amesema kupitia Nafasi aliyonayo huko Chadema ataendelea kuwatumikia
Kwa sasa Upendo Peneza Msuya ni Mwanachama wa CCM pamoja na Mchungaji Msigwa
Source: Jambo TV
Binafsi namlaumu sana Amos kuwapokea hawa mamluki πΌWewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
ππππHawezi kusahau chadema maana ameitumikia kwa muda mrefu na kwa kuendelea kuchapia chapia ina maanisha sisiemu alienda kwa njaa tu....Na hata livyoitaja hakustuka mpaka kupita sekunde takribani 5 ndio watu wakamwambia ndani ya CCM.
ππππ it was slip of tongueMbunge mstaafu Upendo Peneza amesema kupitia Nafasi aliyonayo huko Chadema ataendelea kuwatumikia
Kwa sasa Upendo Peneza Msuya ni Mwanachama wa CCM pamoja na Mchungaji Msigwa
Source: Jambo TV
Visungura hivyoWewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
Kuna tongue slip moja inaniumizaga sana ya mabuziππππ it was slip of tongue
Kasema hivyo mtoa mada yupo sahii , hawa mwili upo ccm roho ipo chadema,Wewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
Kasema hivyo mtoa mada yupo sahii , hawa mwili upo ccm roho ipo chadema,
Mbunge mstaafu Upendo Peneza amesema kupitia Nafasi aliyonayo huko Chadema ataendelea kuwatumikia
Kwa sasa Upendo Peneza Msuya ni Mwanachama wa CCM pamoja na Mchungaji Msigwa
Source: Jambo TV
Hoj kama huyo upendo yuko timamu na pia jihoji kama una akili au la.Wewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
Ni kweli hata Mwigullu kaoa uchagani π..upendo mtoto wa kanda ya ziwa kapata mume toka kanda ya kaskazini? Hii nchi itaendelea kuwa moja siku zote.
Mnyika kagoma kuhamia Mikocheni HQ gongo ya Kinondoni kiboko πVisungura hivyo
Tulia wewe kada vijana wa CHADEMA wakamate nafasi huko ccm wawaongoze maana hamna akiliHao mamluki wa Mbowe waliopo CCM kwa kazi maalumu wasugue benchi mpaka waseme yote
Juma Lokole unapuyanga kweli mdogo wangu.Mnyika kagoma kuhamia Mikocheni HQ gongo ya Kinondoni kiboko π