Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
hii hapa mkuu videoWewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
View: https://x.com/ExMayorUbungo/status/1824318889167036465?t=UfrDR4ZU0KlhKwfxsT4Z3Q&s=09
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii hapa mkuu videoWewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
Sugu anatembelewa tu 🐼Juma Lokole unapuyanga kweli mdogo wangu.
Awadh effect.Sugu anatembelewa tu 🐼
Hata msigwa yeye ni chadema isipokuwa covid19Mbunge mstaafu Upendo Peneza amesema kupitia Nafasi aliyonayo huko Chadema ataendelea kuwatumikia
Kwa sasa Upendo Peneza Msuya ni Mwanachama wa CCM pamoja na Mchungaji Msigwa
Source: Jambo TV
Ni kweli hata Mwigullu kaoa uchagani 😃
Mili ipo CCM lakini akili zipo CHADEMAMbunge mstaafu Upendo Peneza amesema kupitia Nafasi aliyonayo huko Chadema ataendelea kuwatumikia
Kwa sasa Upendo Peneza Msuya ni Mwanachama wa CCM pamoja na Mchungaji Msigwa
Source: Jambo TV
Mpaka UWT mmeshituka asee kazi ipoBinafsi namlaumu sana Amos kuwapokea hawa mamluki 🐼
Unaweza kudhani Upendo Peneza amekosea lakini maandiko yanasema kimtokacho mtu ndio kimejaa moyoni mwake 😃😃
CCM watu wote hawana akiliTulia wewe kada vijana wa CHADEMA wakamate nafasi huko ccm wawaongoze maana hamna akili
Wamevuta mkwanja mrefu nyie wafia chama mnapiga miayo tu halafu wanaendelea kusifia chama chao cha zamani kwenye majukwaa ya CCM,dharau kubwa sana kwenu mboga mboga .Binafsi namlaumu sana Amos kuwapokea hawa mamluki 🐼
Unaweza kudhani Upendo Peneza amekosea lakini maandiko yanasema kimtokacho mtu ndio kimejaa moyoni mwake 😃😃
Tumeshawajua 🐼Wamevuta mkwanja mrefu nyie wafia chama mnapiga miayo tu halafu wanaendelea kusifia chama chao cha zamani kwenye majukwaa ya CCM,dharau kubwa sana kwenu mboga mboga .
Hawana tofauti na ule msukule wa GSM Haji Manara kule Yanga muda wote anaiwaza Simba tu kwani ndiyo iko moyoni mwakeTumeshawajua 🐼
Makala hawezi kuwazuia maana ni haki yao kikatiba na ni faida kwa ccm kuelekea uchaguzi mkuu na wa Serikali za mitaa.Binafsi namlaumu sana Amos kuwapokea hawa mamluki 🐼
Unaweza kudhani Upendo Peneza amekosea lakini maandiko yanasema kimtokacho mtu ndio kimejaa moyoni mwake 😃😃
Wewe ndo hujamuelewa, yani aliteleza badala ya kuitaja ccm akaweka chadema huyo ni Upendo sasaWewe ni mzima kichwani? Mwanachama wa ccm ana nafasi gani Chadema?
Hamna cha kuwafanya kama ambavyo hata covid19 mmewashindwa.Tumeshawajua 🐼
alikuwa anatest attention ya watu kama wanamfuatiliaAnatafuta sana teuzi huko
Hebu wamuangalie jamani
Ova