Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwahio shida iko wapi? SijakuelewaAliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Kumbe haka kadada kapuuzi sana...sasa hapo tatizo nini?...Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Wewe ndio unazo hapo kwa bob Makani 🐼Akili kweli huna Kaka
Kwani mmeshahamia?Kwahio shida iko wapi? Sijakuelewa
Labda Mwamba aliwakopesha Chadema Fedha za kununua Jengo la HQ..Sijapanic.
..Mbona haelezi kuwa serikali imenunua mtambo wa kuongeza makalio uko hospitali ya Mloganzila?
..Na kwamba Bashite amepata makalio makubwa toka huko?
Baada ya kuhamia CCM 🐼Inasemekana huyu demu ni mnyarwanda.
Sasa unamuuliza kuhusu nini na wewe ndio umeleta mada. Kwahiyo huelewi ulichoandika?Kuhusu nini?
Hapana kaka, ila watanzania tunapaswa kuwa makini sana katika hatua zetu.Baada ya kuhamia CCM 🐼
Humuoni alivyokakaaInasemekana huyu demu ni mnyarwanda.
Chadema mbona hampendi ukweli nawakati nyinyi ndio mnasema wakweliiiHuyu akatibiwe kuna shida kichwani...
Nadhani Chadema wamekuwa na Tabia ya kukopa Fedha kwa Mwenyekiti MboweMbona sioni logic ya accusations zake. I mbona ni kama hakuna shida yoyote kununua ofisi kwa njia hizo walizotumia chadema
Wamekasirika sanaChadema mbona hampendi ukweli nawakati nyinyi ndio mnasema wakweliii
Upended! Umeingia CCM ambako inabidi ubongo utoke libakie kasha tupu!Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Na bado tutajua mengiii.Wamekasirika sana
Wabunge wa viti maalumu kumbe nao wamechangia wakiwemo wa sasaAliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania