econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Wameshapanic wote
Na bado Upendo Peneza Msuya hajasema 😂
Hana jipya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshapanic wote
Na bado Upendo Peneza Msuya hajasema 😂
Chadema mbona hampendi ukweli nawakati nyinyi ndio mnasema wakweliii
Nadhani Chadema wamekuwa na Tabia ya kukopa Fedha kwa Mwenyekiti Mbowe
Ndio anatoa Ufafanuzi Jengo halina mkopo🐼
Labda Mwamba aliwakopesha Chadema Fedha za kununua Jengo la HQ
Na bado tutajua mengiii.
baada ya kuwafunua wanaume wa chadema kwa muda mrefu sana ee🤣Anawafunua wanaume wa CCM kwa Sasa.
baada ya kuwafunua wanaume wa chadema kwa muda mrefu sana ee🤣
Kama limenunuliwa kwa michango ya wabunge na ruzuku,basi uongozi unastahili pongezi za dhati.Hayo ndiyo matumizi yanayotakiwa.Pamoja na hayo hili li Peneza Lina matatizo kichwani.Walio karibu naye watafute namna ya kumsaidia maana anaweza kuanza kuvua nguo hadharani.
bila shaka ni matunda ya maridhiano, right 🐒Wala, huyo ni nyumba ndogo wa msaidizi wa kassim kikazi. So amemlazimisha aingie CCM.
Sasa alitaka linunuliwe kwa hela za zaka?Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Ngoja wamchakate huko labda akili itakaa sawaSasa alitaka linunuliwe kwa hela za zaka?
Sijaelewa, hapo alikuwa anawaponda au anawasifia viongozi wa CHADEMA kwa ununuzi wa jengo jipya?Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Kuna mwanamke nilikaa naye miaka 5 siku naachana nae anasema nina kibamia ha ha ha hakuwaambia kiini cha mm na yy kuachana ajabu alivyorudi tena nakula na kibamia kimeongezeka!!!!Kukaa kimya pia ni jambo jema
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Anawashwa kile.kitu kikiwa kirefu sana kinaletaga shida kichawani UH++++(Huyu akatibiwe kuna shida kichwani...
Pumbavu, hayo tuyaache, huku uliko wanasemaje? Niletee cigarLa Ufipa st au Mikocheni?