Pre GE2025 Upendo Peneza: Jengo la HQ ya CHADEMA Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango (makato) ya Wabunge

Pre GE2025 Upendo Peneza: Jengo la HQ ya CHADEMA Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango (makato) ya Wabunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nadhani Chadema wamekuwa na Tabia ya kukopa Fedha kwa Mwenyekiti Mbowe

Ndio anatoa Ufafanuzi Jengo halina mkopo🐼

Ukishaona mtu anatumia neno Nadhani, ujue ni mchawi na muuwaji. Kama huna uhakika taarifa Kaa kimya.
 
Kama limenunuliwa kwa michango ya wabunge na ruzuku,basi uongozi unastahili pongezi za dhati.Hayo ndiyo matumizi yanayotakiwa.Pamoja na hayo hili li Peneza Lina matatizo kichwani.Walio karibu naye watafute namna ya kumsaidia maana anaweza kuanza kuvua nguo hadharani.
 
Kama limenunuliwa kwa michango ya wabunge na ruzuku,basi uongozi unastahili pongezi za dhati.Hayo ndiyo matumizi yanayotakiwa.Pamoja na hayo hili li Peneza Lina matatizo kichwani.Walio karibu naye watafute namna ya kumsaidia maana anaweza kuanza kuvua nguo hadharani.

Ni kweli ni kama ana stress.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida

Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi

Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya

Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Sasa alitaka linunuliwe kwa hela za zaka?
 
Upendo Peneza.......
Huyu Mh. angekaa kimya ili aonekane ni mwenye busara.
Yeye sio mrembo wala kisiasa kama Mh. Mdee lakini aone jinsi Mdee alivyopotezwa mpaka sasa anaomba POO kwa kuhudhuria mambo ya kijamii huko kwa kina MBOWE.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida

Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi

Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya

Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Sijaelewa, hapo alikuwa anawaponda au anawasifia viongozi wa CHADEMA kwa ununuzi wa jengo jipya?
 
Alikua wapi tangu siku zote hizo mm namuita mnafiki ila kma kuna malisho mazuri ameyapata ni vema angetulia !!!!
 
Kukaa kimya pia ni jambo jema
Kuna mwanamke nilikaa naye miaka 5 siku naachana nae anasema nina kibamia ha ha ha hakuwaambia kiini cha mm na yy kuachana ajabu alivyorudi tena nakula na kibamia kimeongezeka!!!!
 
Uongo mtupu sema maisha ya ufisadi kwa urefu wa kamba

sio maisha bora kwa kila mtanzania
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
 
Back
Top Bottom