Pre GE2025 Upendo Peneza: Jengo la HQ ya CHADEMA Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango (makato) ya Wabunge

Pre GE2025 Upendo Peneza: Jengo la HQ ya CHADEMA Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango (makato) ya Wabunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mkimbizi atulie aache kubwabwaja ,waunga juhudi wenxake walibwabwaja sana wakaishiwa maneno chadema ipo palepale,kafa jiwe kaiacha sembuse yeye
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida

Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi

Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya

Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Huyu hajui sisi Wananchi wa Mwanza tulivyochanga kujenga uwanja wa mpira wa Kirumba kwa kukatwa kilo moja ya pamba kila mwananchi na uwanja ukakamilika? Kwani kuchangia Kuna tatizo gani? Nadhani huyu Kuna fyuzi moja imelegea.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyo manzi angetulia kwanza.... Hiyo kauli yake haina madhara kwa CHADEMA zaidi ya kuwajenga kisiasa. KAKURUPUKA. Sasa kama chama kimetumia ruzuku na michango kununua jengo lenye hadhi si ni jambo la maana? Atulie kwanza kwasababu inaonekana bado ana mahaba na chama chake cha zamani.
 
Hii mada imekaa kama kitu mtu kajitungia tu kaleta hapa na watu wanapoteza muda wao buree. mleta hii mada hebu tuwekee video yake akiyazungumza hayo uliyoandika.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida

Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi

Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya

Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Kwa hiyo ana chumba chake pale
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida

Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi

Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya

Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Ni lini Upendo Peneza alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya chadema??? Au umekurupuka tu
 
Ila watu wengine sijui wakoje?

Ye huku kahama hapamfai ya nini kusema ya alikotoka?
Kama vile bado anawashwa na chadema.

Madam move on huu ukurasa ushaufunga tizama uliko anza kujipanga na ujipiganie ccm ina wenyewe, Magufuli tu ndo aliwapa wapinzani vyeo hata mama alisema kampeni zijazo hampigii mtu debe. Ohooo we poteza muda kwa kujadili ya ulikotoka!
 
Demu wa Dotto…. , kama kuhama angehama wakati wa Magu … , naona Doto kapewa cheo wakidhani atabadilisha Hali ya hewa na kuwavuta wasukuma ..waliomshauri Hivi Mwenyekiti wanasahau kuwa hata Magu hakuwa msukuma …hawa ni Jamii ndogo sana ya wahamiaji wengi walikuwa kama vibarua wa wasukuma sasa hawa watoto wao wanajitambulisha huku dar kama wasukuma..lakini wakiwa kanda ya Ziwa wanajulikana kuwa wao sio wasukuma na hawana uwezo wa kuvutia wasukuma ….wanawadharau ..
Hata magu alikuwa hawapendi wasukuma au wahaya ..kwakuwa amekuwa Akiona wanawadharau wanawaita wahamiaji …
Nionyeshe msukuma mmoja original aliyenufaika na Magu …hawa kina Dotto , Kalemani, na wengine wote ni jamii moja na Magu…na hawana influence yeyote kwa msukuma original sana sana wana influence kwa watu wa jamii moja kama Upendo
Hilo kabila lao dogo Lina visasi sana. Namwona jamaa yangu mmoja anajificha nyuma ya wasukuma lakini roho yake ni mbaya sana. Ameumiza watu wengi, huku akijidai kuwapandiamsha wasukuma kumbe wengine wao amewaonea na kuwadhulumu haki Yao...These guys kwakweli hata Mimi nawaona Wana agenda zao za siri
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida

Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi

Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya

Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Akichana na bwana wake huyu atasema hata maumbile yake yalivyo. sasa kama lilinuliwa kwa fedha
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida

Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi

Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya

Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Ila sii kwa pesa za mauzo ya binaadamu😅
 
..Upendo Peneza ni kati ya wagombea ubunge waliodhalilishwa kijinsia na wana-Ccm wakati wa kampeni.

..Sasa kitu cha ajabu Upendo Peneza amehamia Ccm. Bunge linajadili unyanyasaji wa kijinsia. Na mgombea aliyemnyanyasa Upendo yuko Bungeni.

Cc Nguruvi3, Erythrocyte
 
Back
Top Bottom