bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Huyu mkimbizi atulie aache kubwabwaja ,waunga juhudi wenxake walibwabwaja sana wakaishiwa maneno chadema ipo palepale,kafa jiwe kaiacha sembuse yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa la mtume au nabii ni mali binafsi ya muasisi mwenyeweAnaweza kuibuka mtu akadai ni Jengo lake binafsi
Imetokea Sana Makanisa ya Mitume na Manabii 😀
Huyu hajui sisi Wananchi wa Mwanza tulivyochanga kujenga uwanja wa mpira wa Kirumba kwa kukatwa kilo moja ya pamba kila mwananchi na uwanja ukakamilika? Kwani kuchangia Kuna tatizo gani? Nadhani huyu Kuna fyuzi moja imelegea.Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Inabidi amwone Lucas Mwashambwa apewe semina elekezi mambo ya kutamka.Sasa shida iko wapi? Ningeona wa maana kama angesema fedha zimepatikana kwa ufisadi au rushwa!
Kwa hiyo ana chumba chake paleAliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Ni lini Upendo Peneza alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya chadema??? Au umekurupuka tuAliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Daah huyu ni classmate wanguKukaa kimya pia ni jambo jema
Siamini kama Peneza anatamka maneno hayo kwa kutumia akili yake, huenda anaandaliwa vitu vya kusema.Inabidi amwone Lucas Mwashambwa apewe semina elekezi mambo ya kutamka.
Hilo kabila lao dogo Lina visasi sana. Namwona jamaa yangu mmoja anajificha nyuma ya wasukuma lakini roho yake ni mbaya sana. Ameumiza watu wengi, huku akijidai kuwapandiamsha wasukuma kumbe wengine wao amewaonea na kuwadhulumu haki Yao...These guys kwakweli hata Mimi nawaona Wana agenda zao za siriDemu wa Dotto…. , kama kuhama angehama wakati wa Magu … , naona Doto kapewa cheo wakidhani atabadilisha Hali ya hewa na kuwavuta wasukuma ..waliomshauri Hivi Mwenyekiti wanasahau kuwa hata Magu hakuwa msukuma …hawa ni Jamii ndogo sana ya wahamiaji wengi walikuwa kama vibarua wa wasukuma sasa hawa watoto wao wanajitambulisha huku dar kama wasukuma..lakini wakiwa kanda ya Ziwa wanajulikana kuwa wao sio wasukuma na hawana uwezo wa kuvutia wasukuma ….wanawadharau ..
Hata magu alikuwa hawapendi wasukuma au wahaya ..kwakuwa amekuwa Akiona wanawadharau wanawaita wahamiaji …
Nionyeshe msukuma mmoja original aliyenufaika na Magu …hawa kina Dotto , Kalemani, na wengine wote ni jamii moja na Magu…na hawana influence yeyote kwa msukuma original sana sana wana influence kwa watu wa jamii moja kama Upendo
Akichana na bwana wake huyu atasema hata maumbile yake yalivyo. sasa kama lilinuliwa kwa fedhaAliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Ila sii kwa pesa za mauzo ya binaadamu😅Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
CCM Si wajinga huyo dada katumwa hapo, ni suala la muda tu utaona, ogopa Sana rafiki ambaye ukikaa naye anazungumzia vbaya rafiki zake jua Hata wewe usipokuwa nae atakuwa anakusema tuKwa vile CCM ni wajinga atapewa cheo muda si mrefu
Chadema ilimuamini ikampa ubunge akiwa na miaka 26 tu..Upendo Peneza ni kati ya wagombea ubunge waliodhalilishwa kijinsia na wana-Ccm wakati wa kampeni.
..Sasa kitu cha ajabu Upendo Peneza amehamia Ccm. Bunge linajadili unyanyasaji wa kijinsia. Na mgombea aliyemnyanyasa Upendo yuko Bungeni.
Cc Nguruvi3, Erythrocyte