Upendo usivyo eleweka

Upendo usivyo eleweka

Kila mtu anayo tafsiri yake kuhusu upendo.
Upendo ni tegemeo la kupata kitu toka kwa mtu unaempa upendo
 
Daima upendo una sura mbili, japo wengi wanaijua moja, wakati wa raha,
faraja na nyimbo na zawadi kedekede, wanaridhika na upendo huo,
ila upendo una kipimo chake wakati wa shida,
karaha na wakati wa magonjwa wakati ambapo waona
tabia, kasoro na mapungufu; hapo ndipo upendo hupimwa,
Yule anayeweza kusimama nawe, wakati wengine kawaida wangekukimbia,
tena awezae kukufichia aibu wakati wengine kikawaida wangekutangaza,
Yule ambaye hapendi kuona unaharibikiwa,
hata mkikosana hapendi kuona unateseka
Huyo ndiye mwenye upendo wa kweli
Huyo ndiye mwenye upendo wa kweli
Upendo Upendo
(upendo) haupo (haumo) katika maneno
(unaonekana) Unaonekana (onekana) kwa matendo
Yeh yeh yeh
(Hauonekani) hauonekani (honekani) kwenye raha
(wathibitika) wathibitika wakati wakati wa shida
Wathibitika (wathibitika wakati wa shida)
Watu duniani wanahangaika, kupenda Vinavyopendeza,
wanasahau kupenda vinavyo Pendeza,
hakuna thamani isipokuwa kupenda Visivyo pendeka,
Kama mkiwapenda wale wapendao mwafanya
Ziada gani, wapendeni waombeeni wanao Waudhi,
Baba yenu Mbinguni atawapa thawabu,
na watu watasemaa huu ndio upendo wa kweli,
Jipime kama kweli wewe una upendo, Ulifanyaje,
ndugu yako alipokukosea Ulimsengenya,
au ulimuombea ulimpenda bure, au ulimpaka matope
Ulimsengenya, au ulimuombea
Ulimpenda bure, au ulimpaka matope
Jijibu kama una upendo wa kweli
Jijibu kama una upendo wa kweli

Countrywide soma hiyo
Hili desa umelipata wapi? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Mkuu ebu tuheshimiane kidogo
Uliniuliza swali nikakujibu kwa upendo tu! Ila umevuka mipaka naomba urudi kwenye mstari ili next time tusionane wabaya.
Pole 😒
 
Upendo unatengenezwa kwa group la Damu pia kwa sababu fulani. Au kwa kukaa pamoja kwa muda mrefu. Si kweli umekutana Demu kwa mala ya kwanza kwenye mwendo kasi ukampenda hizo zinakuwa ni Tamaa ya papuchi Ila baada ya kukaa pamoja kwamuda ndiyo upendo unajitengeza. Pia hiyo papuchi inaweza kuvunja upendo.
 
Upendo kama upendo sisi malaya tunatamka upendo kwa ajili ya kudinyana tu na ndo tunajua maana ya nakupenda nikiambiwa nakupenda pia nawaza kwenye sita kwa tano yangu
 
Mistari ya Ambwene hiyo ni moja ya nyimbo yake naikubali sana.!!
Humo kaelezea vizuri UPENDO
Japo gospel Mimi huwa na sikiliza za Cosmas Chidumule tu 😁😁😁
 
Back
Top Bottom