Hahahaa mbutananga wakiachana tu na mumewe anamfungulia kesi ya kumbaka sjui anatumiaga nn yule mama dah....kwaivo unataka kuniambia yule jamaa alomuoa resty alikuwa akiishi ktk ile nyumba ya baba wa mtoto mkubwa wa resty? Baada ya kuchukuliwa ndo kuanza kutafuta nyumba nyingine ya kupanga? Maisha ya isnta raha saanaMbutananga kaolewa na hechibii moja matata la kisukuma wahenga walinena kila Jambo na wakati wake nampongeza mno mbutananga aisee.
Rest na Rachel bado wanachambana, huwa wanatulia na kuanza upya Yani ni ka wote ni mwezi mchanga
Na wala hatasubiri cha mafao wa pensheni! Mshahara wake ukizidi saana mwaka mmoja anajichomoa akafanye yakeMaisha yanaenda kasi sana, ila kiukweli kuishi na mwanamke mwenye hela na kakuzidi umri tusidanganye huwa hakuna furaha!
Hapo dogo kapata ajira akichukua mafao yake tu nduki!
Mapenzi ya social media yako complicated mnoooNasikia mumewe alioa mke wa pili walivyokua wanapendana jamn tusiamini Sana couple za mitandao wanaonekanaga Kama wako perfect
Hii ndio njia yenyewe na ukweli uliowazi mwenye kubisha na abishe tu huenda ubishi ni asili yake.Vijana wengi hawatongozi wanatafuta madalali wanaokua kiunganisho mfano umependa jimama andaa ka mshiko kidogo au ka ahadi kwa dalali kama aristotle,lokole au mashost wa mhusika etc dalali anamaliza mambo
Jimama akikupenda anaanza mazoea na kampan yako mpaka anakufikia na hufurukuti pale
Ila kumbuka Mbuta mwezi mchanga,mngemuuliza Lemutuz aliahirisha ndoa.Mbutananga kaolewa na hechibii moja matata la kisukuma wahenga walinena kila Jambo na wakati wake nampongeza mno mbutananga aisee.
Rest na Rachel bado wanachambana, huwa wanatulia na kuanza upya Yani ni ka wote ni mwezi mchanga
Hivi mbutananga alitakaga kuolewa na lemutuz kumbe, Ila wanawake wa huko uru kishimundu wengi huwa vichaa sijui shida Nini?Ila kumbuka Mbuta mwezi mchanga,mngemuuliza Lemutuz aliahirisha ndoa.
Kwa mfano majimama wa mikoani je? Ambako akuna kina lokole wala aristoteHii ndio njia yenyewe na ukweli uliowazi mwenye kubisha na abishe tu huenda ubishi ni asili yake.
Lol ukute kaolewa lakini si kwa akili yake kwakweli siku si nyingi atakuja na kesi za kubakwaIla kumbuka Mbuta mwezi mchanga,mngemuuliza Lemutuz aliahirisha ndoa.
Sasa lemutuz jamani ihiiiiii ana kifanyio kweli na mwili uleHivi mbutananga alitakaga kuolewa na lemutuz kumbe, Ila wanawake wa huko uru kishimundu wengi huwa vichaa sijui shida Nini?
Mbutananga atamupelekaje maana naona Sasa katulia na ndoa ya kanisani. Ila mwezi mchanga ukianza ni shida.Hahahaa mbutananga wakiachana tu na mumewe anamfungulia kesi ya kumbaka sjui anatumiaga nn yule mama dah....kwaivo unataka kuniambia yule jamaa alomuoa resty alikuwa akiishi ktk ile nyumba ya baba wa mtoto mkubwa wa resty? Baada ya kuchukuliwa ndo kuanza kutafuta nyumba nyingine ya kupanga? Maisha ya isnta raha saana
[emoji23][emoji23][emoji23] lemutuz na mbutananga wamefanana akili aisee, Ila Bora hakumuoa mbutananga maana wangrkuja kuzalilishanaSasa lemutuz jamani ihiiiiii ana kifanyio kweli na mwili ule
Kuna aina za mili bana hazipendezi kabisa! Kama rest anavojitutumuaga adi na kucheza utafikiri jumba linasogea kheeeeMbutananga atamupelekaje maana naona Sasa katulia na ndoa ya kanisani. Ila mwezi mchanga ukianza ni shida.
Yule jamaa kaolewa na resty analelewa kila kitu na kafeli law school, Ila na resty na huyo bwanake Hana SAUTi kupiga piga mapicha mwanaume kawa ka mjinga hivi ingetakiwa amushape resty Ila ndo Hana kitu maskini.
Resty kapanga tu hyo nyumba wanayoishi, hafu na dadake naye kibeten chake kimemkimbia had kanywa sumu eti in Rachel's voice
Uliza upewe story yao,inasemeka Lemutuz alitaka karatasi lakini akachemka sijui ilikuwaje kila mmoja ana hadithi yake.ILa kwa Mbuta nadhani na maupweke ya ughaibuni yanachangia maana kwa wenzetu ukijichanganya kidogo tu zinaachia na wao wanakufanya mtaji utapewa midawa mpaka ujute kuzaliwa.Hivi mbutananga alitakaga kuolewa na lemutuz kumbe, Ila wanawake wa huko uru kishimundu wengi huwa vichaa sijui shida Nini?
Hahaaaa resty ule mwili unamfanya aonekane mtu mzima na mumewe ka mtoto hafu apunguze kumu post mumewe wako ka matahira flani hivi. Mola niepushie na mwili jumba aisee.Kuna aina za mili bana hazipendezi kabisa! Kama rest anavojitutumuaga adi na kucheza utafikiri jumba linasogea kheeee
Mbutananga nadhani stress za wazungu hazikumuacha salama, hata lemutuz mwenyewe aliharibikiwa huko huko nje.Uliza upewe story yao,inasemeka Lemutuz alitaka karatasi lakini akachemka sijui ilikuwaje kila mmoja ana hadithi yake.ILa kwa Mbuta nadhani na maupweke ya ughaibuni yanachangia maana kwa wenzetu ukijichanganya kidogo tu zinaachia na wao wanakufanya mtaji utapewa midawa mpaka ujute kuzaliwa.
Anaweza ndo akatulia sasa kama mwanaume akimuonea huruma akampenda na kumvumilia,ila kama ana yake ndo yallah tena.Lol ukute kaolewa lakini si kwa akili yake kwakweli siku si nyingi atakuja na kesi za kubakwa
Kikubwa ndo hicho,Lemutuz nampendaga sana kiukweli na huwa simuweki kundi la wehu hata anajielewa na jasiriMbutananga nadhani stress za wazungu hazikumuacha salama, hata lemutuz mwenyewe aliharibikiwa huko huko nje.
Mimi Resty akichezaga mziki huwa nakimbia mimi sijui huwa hajionagi ni mzito na sijui huwa amelewa muda wote,na wanaume wa kitanzania hawajui kumueleaza mtu ukweli japo unauma anakuacha unadhalilika ila lizuri sana lile lidadaHahaaaa resty ule mwili unamfanya aonekane mtu mzima na mumewe ka mtoto hafu apunguze kumu post mumewe wako ka matahira flani hivi. Mola niepushie na mwili jumba aisee.
Resty hata akijamba ana post ig
Resty ni mzuri wa sura Ila amejiachia Sana na kuruhusu unene, hafu anapenda kumpost mumewe ngoja majimama ya mjini yamnyakue huyo mumewe ndio atajutraa.Mimi Resty akichezaga mziki huwa nakimbia mimi sijui huwa hajionagi ni mzito na sijui huwa amelewa muda wote,na wanaume wa kitanzania hawajui kumueleaza mtu ukweli japo unauma anakuacha unadhalilika ila lizuri sana lile lidada
Lemubebezi alikuwa active member huku ametukimbia sijui shida Nini?Kikubwa ndo hicho,Lemutuz nampendaga sana kiukweli na huwa simuweki kundi la wehu hata anajielewa na jasiri