Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Sio muuza mchicha huyo alokamatwa, muuza mchicha tunaye na tunatamba nae anatupikia mix mix.
Wanamsagia kunguni mdada wa watu, wa kishua mwenyewe, mihela kaikuta ya urithi....mamake alisomaga Havard enzi hizo plus alikuwa mpambanaji....na yeye karithi hela na kupambana.
Watuachie Loveness wetu.
sema analea sana wana kisha wanajipigia na kusepa
 
Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.

Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.

Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.

Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?

Cc: warumi


Ukishakuwa super Woman lazima uolewe tena!
 
Kuwa na vijana wadogo hivi ni pasua kichwa,ila ndio hivyo kipendacho roho...
Prishaz aisee hili jina linafanana na jina la mtu namjua kabisa...aisee asije akawa mwenyewe....anyways huyo dogo atakuwa huwa anazama sana mgodini, kwa kifupi dogo ni mchimba chumvi, madogo mjini wanajilipua
 
Na alishaachana na huyo dogo akaolewa na jamaa flani mhindi kitambo sana....na ukute pia walishaachana na mhindi akajiolea kengine kadogo dogo

Na Huyu tena wataachana, maisha yasiyokuwa na furaha !
 
Ndoa ya kwanza Huwa watu wanakosea kuingia ya pili Huwa ni marekebisho ya makosa waliyofanya thus ya pili Huwa inadumu
Huyu kaolewa ya pili, haikudumu
akaolewa ya Tatu, haijadumu nayo naona anajiita Single siku hiz na motivations nying kuhusu self love.
Ukishaona Upendo anaanza mambo ya Self love , ujue kashashusha contena!

Ila ana moyo
Mi moja tu chali , naogopa hata kutizama video za harusi nini harusi zenyewe!
 
Na Huyu tena wataachana, maisha yasiyokuwa na furaha !
walishaachana akaolewa tena, na huyo aliyeolewa naye tena wameshaachana.
Yuko zake busy anakanda chapati na kufanya mazoezi na kujenga apartments zake!

Ila najua tu ataolewa tena!
U!H!
 
Na alishaachana na huyo dogo akaolewa na jamaa flani mhindi kitambo sana....na ukute pia walishaachana na mhindi akajiolea kengine kadogo dogo
Yule muhindi hakuwa mume wake, aliolewa na jamaa flan wa Ilala giant hiv.
AH siku nyiiiiiiing
 
Yule muhindi hakuwa mume wake, aliolewa na jamaa flan wa Ilala giant hiv.
AH siku nyiiiiiiing
Aahhh raha jipe mwenyewe, haya maisha ya kuishi unawaza kina flani watanionaje huwezi ishi maisha yako hadi unakufa
 
Back
Top Bottom