connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh upendo ana u cute gani!Cute upendo mmmwaaaa
Napenda jinsi anavyopambania mazoezi...ila hapungui sasaView attachment 3065091
Ukichanganta na mchanganyiko wa Chaghawa kila msela Mjini anapewa udhaminiKupungua shughuli sana maana anashinda jikoni full kukaangiza vinono
Sura tofauti kabisa na huyu ni Mnigeria alidakwa zamani pana mjomba alitupakia rangi kumbe sio mwenyewe..Nasikia huyu kadakwa na madawa ya kulevya huko nchi za wenyewe
Ila kibongobongo usijisikie unyonge kwa Utajiri wa mtu mwingineSura tofauti kabisa na huyu ni Mnigeria alidakwa zamani pana mjomba alitupakia rangi kumbe sio mwenyewe..
Sio yeye!Nasikia huyu kadakwa na madawa ya kulevya huko nchi za wenyewe
Kwa nini mzee mimi nimetembea sana nimeona haya mambo nikiandika nyuzi humu mtakua mnasoma kila kukicha wengine wamefungwa Hong Kong wengine wamenyongwa China jamaa tunaowafahamu kabisa wengine wametupwa huku wamefungwa mawe huko bahari ya Msumbiji na kufia baharini ila wanapokua wanarudi bongo kama pana kitu wanafanya kumbe ni kuuza sumu..Ila kibongobongo usijisikie unyonge kwa Utajiri wa mtu mwingine
Wauza sumu wengine wamejificha na biashara za kuzuga South-Msumbiji na BongoKwa nini mzee mimi nimetembea sana nimeona haya mambo nikiandika nyuzi humu mtakua mnasoma kila kukicha wengine wamefungwa Hong Kong wengine wamenyongwa China jamaa tunaowafahamu kabisa wengine wametupwa huku wamefungwa mawe huko bahari ya Msumbiji na kufia baharini ila wanapokua wanarudi bongo kama pana kitu wanafanya kumbe ni kuuza sumu..
Hawajifichi na biashara yeyote wapo wazi hakuna kitu wanaweza kufanya zaidi ya sumu tu. Muuza sumu hawezi kuuza gari ambalo mteja atakuja kulikagua mara aulize ni diesel automatic sijui wakati kazi yake haina hizo mambo zote ikifika ni hela tu hasara yao ni kukamatwa.Wauza simu wengine wamejificha na biashara za kuzuga South-Msumbiji na Bongo
Hawajifichi na biashara yeyote wapo wazi hakuna kitu wanaweza kufanya zaidi ya sumu tu. Muuza sumu hawezi kuuza gari ambalo mteja atakuja kulikagua mara aulize ni diesel automatic sijui wakati kazi yake haina hizo mambo zote ikifika ni hela tu hasara yao ni kukamatwa.
Wewe umeacha siku hizi?Hawajifichi na biashara yeyote wapo wazi hakuna kitu wanaweza kufanya zaidi ya sumu tu. Muuza sumu hawezi kuuza gari ambalo mteja atakuja kulikagua mara aulize ni diesel automatic sijui wakati kazi yake haina hizo mambo zote ikifika ni hela tu hasara yao ni kukamatwa.
Ni haramu hiyo mazee mimi sifanyi haramu wengi wanaofanya hizo ni wale Elimu hawakupata kama sisi na miaka yote tunatoa Elimu kwa vijana wafanye biashara sahihi sio za kutafutana na polisi.Wewe umeacha siku hizi?
Achukue mikopo na apate mme mkorofi plus gari mbovu haitaji gymNapenda jinsi anavyopambania mazoezi...ila hapungui sasaView attachment 3065091
True mfano yule muuza mchicha hadi ulaya katiwa nyavuni airport itakuwa aliwauzia mchicha bangiKwa nini mzee mimi nimetembea sana nimeona haya mambo nikiandika nyuzi humu mtakua mnasoma kila kukicha wengine wamefungwa Hong Kong wengine wamenyongwa China jamaa tunaowafahamu kabisa wengine wametupwa huku wamefungwa mawe huko bahari ya Msumbiji na kufia baharini ila wanapokua wanarudi bongo kama pana kitu wanafanya kumbe ni kuuza sumu..
Mbona huyo ni maji ya kunde/ana rangi wakati muuza mchicha ni black kabisa?Nasikia huyu kadakwa na madawa ya kulevya huko nchi za wenyewe
Sio muuza mchicha huyo alokamatwa, muuza mchicha tunaye na tunatamba nae anatupikia mix mix.Mbona huyo ni maji ya kunde/ana rangi wakati muuza mchicha ni black kabisa?