Nyie mbona nasikia muhindi ni wa kuzugia tu ila mumewe haswa ni Mario flani hivi
Anamzuga Nani sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mbona nasikia muhindi ni wa kuzugia tu ila mumewe haswa ni Mario flani hivi
Wacha tuoneMjini Kuna mambo ila I hope this time watadumu na huyu
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Ila Pendo anapenda ndoa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]. Ila yule Muhindi mbona kama shoga yake [emoji40]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
@Mzigua90 umemisika sana humu ndaniIla Pendo anapenda ndoa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]. Ila yule Muhindi mbona kama shoga yake [emoji40]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Nimerudi mkuu. Nilikua nakimbizana na maisha ila nimerudi sasa hivi@Mzigua90 umemisika sana humu ndani
Nasikia kwa mange asee...sijui dearNi alikuwa anaishi hapa?AU?
Yametimia
Umario ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Anayependa au kupenda Mario ni nadra sana kupenda watu wa rika lako. Yaani ni kama pepo lileMarioo wana shida sana jomoni[emoji849][emoji849][emoji16]
Mazoezi bila mpangilio wa kula ni kazi bure. Mtu unafukia miwanga , bia , kitimoto etc halafu kila siku uko gym, my friend utakuwa tufe.Sijatukana mamba Ila unene wetu wa Africa ni ulaji wa wanga mwingi lakini mazoezi hamna hasa wa mjini vijijini huko ni nadra kukuta watu wanene, hata Mimi nikitulia tu bila mazoezi mwili huja kwa Kasi ya 4g hata tunafanya nao mazoezi walikuwa wanene Sana sikuhizi wamekuwa wembamba Hadi inashangaza. So unene ni choice yako na ulaji tu Wala haihusiani na kutukana mamba au nini
DuuhIla Pendo anapenda ndoa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]. Ila yule Muhindi mbona kama shoga yake [emoji40]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Mbona mmefukua huu Uzi Kun habari gani...wengine insta hapaingiliki mabando Bei juu😂😂😂Dada anafanya mazoezi huyu lakini minyama haimuishi. Madaktari hii imekaaje?
Mi hata sijui nimeuona tu upo juu. Labda ameachika kaolewa tenaMbona mmefukua huu Uzi Kun habari gani...wengine insta hapaingiliki mabando Bei juu😂😂😂
Khaaa anakulana na wanawake wenzake?! [emoji15]Mwanaume anayekula wanaume wenzake ni wakuachwa ASAP ila hata huyo upendo naye hukoboa wanawake wenzake why aliona wivu?
Dah na mimi nakupenda [emoji179][emoji177][emoji177][emoji8][emoji8][emoji3590] hata sijui kwannThanks my dear snowhite for appreciating I love you pia my dear.
Dada anafanya mazoezi huyu lakini minyama haimuishi. Madaktari hii imekaaje?
Huyu anafanya mazoezi sana jamani. Ilitakiwa nyama zipungue kidogo..ila kama unavyosema atakuwa anafakamia msosi kupita maelezoMwili unatokana na misosi tu ,mazoezi ni % ndogo sana yanapunguza mwili.
Hata ukifanya mazoezi masaa 24 kama unaendelea na utaratibu wa kula vile vile lazima utafutuka tena mara nne ya awali.
Eheee anafakamia kama kawaida,unene ni kula sana tu so soultion ya kupungua ni kupunguza kula sana yaani utapungua bila zoezi.Huyu anafanya mazoezi sana jamani. Ilitakiwa nyama zipungue kidogo..ila kama unavyosema atakuwa anafakamia msosi kupita maelezo