Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimama lipi ilo mdauHuwez kuwa na consistency ya tendo kama mwenza humzimii kihivyo....sasa dude kama lile ukishakual week 1 tu hutaman tena....ndomana vijana wanakunywa snaa kvant ili kuondoa msongo wa mawazo anapokua tendoni
Kuna soko amelenga hapo mdau kaa mbaliPale airport anauza vitu Bei ghali balaaa
Haaaaa, kumbe ndo maana anafanya mazoezi kwa nguvuChawa (Marioo) wa zamani anajuta maana bidada "kashaoa" kijana mpya kimya kimya.
YesHaaaaa, kumbe ndo maana anafanya mazoezi kwa nguvu
Kwa life style hii ampeleke binti yake boarding schoolChawa (Marioo) wa zamani anajuta maana bidada "kashaoa" kijana mpya kimya kimya.
Ukimwi upo jamani
Dr KumpenekeMwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.
Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.
Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.
Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?
Cc: warumi
Dogo alishafukuzwa kaja mwingine kwa Siri kubwaUkitaka kujua kinachompata kila mja hutafanya yako. Muombeeni maisha mema katika ndoa mpya.
Mama ntilie wa ki sure.
Mama bado anayo meno ya kuvunja mifupa.Dogo alishafukuzwa kaja mwingine kwa Siri kubwa
Gym pengine itamboostMama bado anayo meno ya kuvunja mifupa
Ila kujilipua kule inabid uwe desperate mnoo. Yaan mtu uliyekosa hope ya maisha kabisaa.Mama bado anayo meno ya kuvunja mifupa
Zamu ya Nani Leo?Ila kujilipua kule inabid uwe desperate mnoo. Yaan mtu uliyekosa hope ya maisha kabisaa.
PoleniNaskia ndoa imeota mabawa 😂