Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
AiseeShangazi mlea wana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeShangazi mlea wana
Pale airport anauza vitu Bei ghali balaaa
Mlezi wa wana
umekaa kimbea sana afu kama umemaindi kitu.Zamu ya Nani Leo?
Mwenye file la mume mpya muhindi alete kumekucha[emoji38][emoji38]
YametimiaOpen anaringia pesa za urithi japo anajitahidi kuziendeleza,hivyo alijiamini mwanaume hawezi lolote mbele ya zile pesa. Hata huyu aliyenae lengo likitimia kijana anaondoka mapemaa
Kaolewa na mhindiMwenye file la mume mpya muhindi alete kumekucha[emoji38][emoji38]
Chanzo n nn?Hii ndoa ilikufa mapema sana wala haikudumu ila alikua anaficha
HakikaHiyo ndio maana ya 'open kitchen'; yaani pako wazi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwenye file la mume mpya muhindi alete kumekucha[emoji38][emoji38]
Ni alikuwa anaishi hapa?AU?Kaolewa na mhindi
Naona leo ni anniversary 2 yrs..kaweza kuficha aiseeKaolewa na mhindi
Sio kidogo yani[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wambea tunangojeka....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila Pendo anapenda ndoa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]. Ila yule Muhindi mbona kama shoga yake [emoji40]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Eeeeh kuna kijana wanamtuma mtandaoni ndo mwenyewe ila Muhindi ni "mwenzie" anamtumia tu kama cover kwenye hiyo habari yake.Nyie mbona nasikia muhindi ni wa kuzugia tu ila mumewe haswa ni Mario flani hivi
Mjini Kuna mambo ila I hope this time watadumu na huyuEeeeh kuna kijana wanamtuma mtandaoni ndo mwenyewe ila Muhindi ni "mwenzie" anamtumia tu kama cover kwenye hiyo habari yake.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app