Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Asa huyu kijana ihiiiiii in (magu's voice) atakuwa kaenda kutafuta fursa
Pole yake huyu kijana kama kweli kafuata fursa, mwanamke anaweza fanya chochote akiwa kwenye mapenzi mazito ila kwa kuwa asili, imani na desturi vinamtaka mwanaume kuwa kiongozi kwenye mambo yahusuyo familia na uchumi likiwa moja ya mamba inafika mahala mwanamke anachoka na mahusiano kufa
 
Hakuna ndoa ya mwanamke kuoa ilidumu!!!! Mwanamke hawezi mzidi mwanaume kwa kila kitu na mahusiano yakadumu!
 
Odo Rachel gani tena kaolewa na ana mtoto busy na garden? Au ulimaanisha Resty?
 
Mimi Resty akichezaga mziki huwa nakimbia mimi sijui huwa hajionagi ni mzito na sijui huwa amelewa muda wote,na wanaume wa kitanzania hawajui kumueleaza mtu ukweli japo unauma anakuacha unadhalilika ila lizuri sana lile lidada
Simply hajui kucheza.
Si sababu ya unene.
Hajui kucheza hajui moves hajui chochote.
Fan ya kucheza music si yake kabisa.
 
Huu uzi unanifanya nitafute pesa na connection ya mjini.
 
Duuuuh ulivyo mfokea sasa lol
 
Sasa lemutuz jamani ihiiiiii ana kifanyio kweli na mwili ule
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Khaaaaah jamaniiiiih dhambi hizi lol
 
Fact za harakaharaka Dada Open jiko alitengana na mumewe wa kwanza. Dada alikuwa anapenda kutembea kwenye uber ya huyo dogo mido. Mido kijana wa kinondoni alikuwa dereva wa uber. Akazamia kwenye penzi na mteja wake wa siku nyingi.

Sababu wote ni waislamu ni jambo la heri kuoana kuliko kuzini. Kiufupi mwanamke yuko vizuri na anajituma kiuchumi kuliko mume. Mungu awajaalie kheri kwenye ndoa yao na inshaalah kwa akili zao wote watafika mbali kiuchumi.
 
hahaaa eti amelewa muda wote..si ndo kujichetua sasa

Mimi Resty akichezaga mziki huwa nakimbia mimi sijui huwa hajionagi ni mzito na sijui huwa amelewa muda wote,na wanaume wa kitanzania hawajui kumueleaza mtu ukweli japo unauma anakuacha unadhalilika ila lizuri sana lile lidada
 
Ni ujuha kuweka mambo ya sirini kwenye mitandao ya kijamii maana once pakiwa na ups na down mnajivua nguo!
 
kumbe kafeli..mkewe anavyomsifia Mr lawyer sasa

 
Huyo jamaa mbona anaonekana kama ndio operations manager wa bar ile kufuata vinywaji mohans na rav 4 ile aliyoirithi toka kwa patron shkuba mara kwenye bodaboda hakuna lawyer pale kuna mtu wa mipango tuu na anatumwa kweli na yule mwenziwake
Mwanaume marioo ana shida Sana, mpenda mteremko acha atumwe tu, maana yule angetakiwa amuongoze mke Sasa matokeo ndio anapelekeshwa mwenyewe. Hafu kazi kupigwa mapicha na video nijuavyo wanaume wanaojielewa hukuti Wana piga piga picha hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…