Mwanaume marioo ana shida Sana, mpenda mteremko acha atumwe tu, maana yule angetakiwa amuongoze mke Sasa matokeo ndio anapelekeshwa mwenyewe. Hafu kazi kupigwa mapicha na video nijuavyo wanaume wanaojielewa hukuti Wana piga piga picha hovyo
Live sura yes na ngozi, ila ule mwili mmhh...ule unene sijui wa wapi[emoji849]Mimi Resty akichezaga mziki huwa nakimbia mimi sijui huwa hajionagi ni mzito na sijui huwa amelewa muda wote,na wanaume wa kitanzania hawajui kumueleaza mtu ukweli japo unauma anakuacha unadhalilika ila lizuri sana lile lidada
Yule mkaka kila mahali yuko nae, yaan wanaongozana hao mpaka! Nikawa najiuliza huyu jamaa anapiga mishe gani? Sipati jibuResty ni mzuri wa sura Ila amejiachia Sana na kuruhusu unene, hafu anapenda kumpost mumewe ngoja majimama ya mjini yamnyakue huyo mumewe ndio atajutraa.
Mimi huyo mumewe naona anatabia za kike kike hivi mwanaume rijali hawezi act ule utopolo wa resty full kupigana ma pichaYule mkaka kila mahali yuko nae, yaan wanaongozana hao mpaka! Nikawa najiuliza huyu jamaa anapiga mishe gani? Sipati jibu
We naee unapenda umbea ila wala huna mafile muhimu ya kupigia umbea.
Iko hivi
Rest alizaa na mtu, alokuwa anamiliki nyumba waliyopanga WCB enzi hizo, akakamatwa akawa jela.
So resty si alikuwa na mtoto nae, ndo mtoto akawa mmliki. Na ndo Resty akawa anapokaa kodi kama custodian.
Jamaa katika jela kachukua nyumba yake na kashaiuza.
Sawa?
Kuhusu Shkuba, alikuwa ni boyfriend wa Resty huyo huyo ila hawakuzaa, shkiba kazi zake ndo hizo, so rumour has it kuwa alikuwa anambebesha na resty.
Sasa hivi Rachel kaolewa ana mtoto mwingine na mumewe wa sasa.
Ila huku sa hiz analea yeye.
Jamaa anatunzwa tu.
Bibie busy na samaki na American garden ,juzi Kaanza kuuza majiko ya mkaa.
Upo?
Sasa uache kupenda kazi bil kuwa na vifaa shirikishi.
Raha ya umbea uwe na mafile ya watu husika.
Ndo hata ukiletewa kwa codes gani, we unaruka nao.
Sawa?
I miss warumi
Ukiona wapenzi Wana postiana mtandao kuwa wanapendana ujue mahusiano machungu. Mapenzi ya watu show off ndani huwa machungudah aisee kweli mitandaoni hakuna couple goals kila mtu anapambana na hali yake
Yule qnajibehave ka si mwanaume rijali bana wanaume wengi huwa hawapendi mapicha pichaHahahahah aiseee mbona unamchambua hivyo jamaa amekukosea nin ??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe una miaka mingapi?!Mwanaume akuzidi kuanzia miaka kumi awe mzoefu wa kila Jambo, akizudi elimu akili na maarifa, Sasa hapo huyo open atakuwa huyo ka mwanawe Sasa watakuwa wanashauriana Nini. Mimi mwenyewe sipendi date mwanaume tunayelingana umri kwanza huwa naona namshinda akili na yeye bado mtoto
Wanawake hampendani kabisaMie hata wiki moja siwezi ishi naye! Hakawii kuwa anasikiza tu bongofleva na matamthilia ya sultan sijui kara sevda sijui😆😆!
Basi tu imekuwa trend ya kijinga Sana...wewe umri Kama wa huyu dada unahamu gani Tena kuishi na mwanamume mwingine? Unawaonesha Nini wanao? Si ana binti kbs huyu? Unashindwaje kukaa na wanao ukawalea tu? Kama ni Mahusiano yako yawe ya Siri sirini! Eti unaachika unaenda kuolewa Tena oyeee🤧🤧🤧!tena unaolewa na bongofleva..hutaacha ona rangi zote
Mmh.. basi li resty mi nalipendagaa.. sema tuu sina connection mjini hapa.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Live sura yes na ngozi, ila ule mwili mmhh...ule unene sijui wa wapi[emoji849]
Mie nampenda hustle zake Sana tu...na nikienda dar namuunga Sana tu. Wala sina haja ya kumchukiaWanawake hampendani kabisa
Mjini mtaji ni kiunoAsa huyu kijana ihiiiiii in (magu's voice) atakuwa kaenda kutafuta fursa
Sana best yanguMie nampenda hustle zake Sana tu...na nikienda dar namuunga Sana tu. Wala sina haja ya kumchukia