Upepo cover; Shkamoo Ray C

Mimi wiki hii nzima ni Ray C pekee,AliKiba alikaa benchi [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Nimeona remix ya video ya Aje, nikawaza kumbe video nazo zinakuwaga na remix!
 

Ndio namlilia,kwani kuna ajabu gani? Ni kwa mapenzi yangu juu yake.

Hata huyo Jide ilikuwa kidogo abaki story kama sio ujio wa Ndi ndi ndi
Hatujui Ray C nae atarudi vipi.

Hahahaaaaa umeanza kumsema Jide na uchawi kitambo sana,vipi wewe ndio mganga wake mkuu?
 
na huwakuti wakitajana kwa majina kwenye interview..
utasikia dada angu / mdogo angu!
kwakweli bado tunawahitaji sana....
Sijui kwanini waliamua kutumbukia kwenye madawa jamani!
Dah [emoji24]
 
Nashukuru itakuwa poa. Halafu aimbe, "Nashukuru nimerudi, nashukuru nimerejea"
 
Something unique ya Ray C ni sauti,ndio maana unatamani kumsikiliza tena na tena.

Kwangu mimi Rachel kakalishwa hapa.
 
Dah nifah ray c ni level zingine aiseee
 
Kwa cover hii Ray C yuko vzr sana, hii nyota iliyokuwa imepotea sasa nimerudi kwenye music,
I love Ray c songs since day 1
[HASHTAG]#Anaejua[/HASHTAG] anajua
 
jide alishabaki story, ashukuru Ndi ndi ndi[emoji23]
 
Nilimskiliza akiwa FNL ya wiki ileee! Nilimuelewa sana. Kinje. Et al Mungu anawaona!
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Ile ni bonus tu,jiwe lajaaaaa.

Sawa, ngoja tusubiri maana upepo wa Muziki ya Darasa umeisha, tunasubiri kuona nani anakuja na hit nyingine tena.
 
Mkuu Rai...Ray C kama tulivyo binadamu wengine hajakamilika.
Hayo yamepita sasa tuangalie mbele.

Binafsi namshukuru Mungu sana kwa hapa alipo hivi sasa compared to Ray C yule wa juzikati hapo.

Tumpongeze kwa hatua hii tafadhali.
Nimeipenda hii hekima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…