Upepo cover; Shkamoo Ray C

Upepo cover; Shkamoo Ray C

Mimi wiki hii nzima ni Ray C pekee,AliKiba alikaa benchi [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Nimeona remix ya video ya Aje, nikawaza kumbe video nazo zinakuwaga na remix!
 
Unamlilia ray c!!! [emoji38]
Ray c akijitambua kama ww ndiyo atakaa kwenye mstari. Anatakiwa kuwa free from inside na siyo kingine. Otherwise hawezi kusogea popote, atakuwa wa history, halafu jide ni mchawi ana roho mbaya, wanawake hawasaidiani hata kidogo.

Ndio namlilia,kwani kuna ajabu gani? Ni kwa mapenzi yangu juu yake.

Hata huyo Jide ilikuwa kidogo abaki story kama sio ujio wa Ndi ndi ndi
Hatujui Ray C nae atarudi vipi.

Hahahaaaaa umeanza kumsema Jide na uchawi kitambo sana,vipi wewe ndio mganga wake mkuu?
 
na huwakuti wakitajana kwa majina kwenye interview..
utasikia dada angu / mdogo angu!
kwakweli bado tunawahitaji sana....
Sijui kwanini waliamua kutumbukia kwenye madawa jamani!
Dah [emoji24]
 


Ni takribani wiki nzima sasa nasikiliza wimbo mmoja tu,Upepo cover aliyoifanya Ray C.

Baada ya kusikiliza version hii ya Ray C nikajaribu kusikiliza original version aliyofanya Rachel! Sikutumia hata sekunde 10 niliachana nayo na kurudi kusikiliza aliyoimba Legendary Ray C.

Kwa ujio huu umenifumbua masikio kusubiria ngoma kali kutoka kwako,naamini hutoniangusha...

Sijawahi kuwa shabiki wa msanii yeyote wa kike Tanzania hii zaidi ya Ray C,kwa jide nilijishikiza tu lakini sasa nimerudi nyumbani.
Niliposikiliza wimbo huu nililia sana.
Hiki kipaji kilishapotea!

Nafurahi umerudi tena,nakupenda sana Ray C,sana.
Tafadhali usiyarudie madawa...Kama sivyo leo hii huyo Yemi Alade angekuwa si lolote Afrika hii.

Nimeweka link hapo juu,team muziki mzuri mtajua namaanisha nini baada ya kusikiliza.
Hauhitajiki kurudia mara 2 kuuona uzuri wa huu wimbo.
Rachel kapotezwa vibaya sana humo.

Naam,Ray C is baaaaaaaaack
e9bef9e4395405d4d34c435b21255c0b.jpg
f2c093261a24ad205035c8267652ace2.jpg


P.S Ray C pls fanya cover ya Nashukuru ya Recho,kwa ajili yetu mashabiki wako.
Asante

Nifah

Nashukuru itakuwa poa. Halafu aimbe, "Nashukuru nimerudi, nashukuru nimerejea"
 
kajitahidi lakini sidhani kama kafanya kwa kiwango cha kuzidi original version. Kwa mimi original version bado ni fire kuliko hii ya ray c.

ila jana nimesikiliza interview yake EA radio, huyu dada anahitaji kurudi kwenye utangazaji. She has something unique katika utangazaji.
Something unique ya Ray C ni sauti,ndio maana unatamani kumsikiliza tena na tena.

Kwangu mimi Rachel kakalishwa hapa.
 


Ni takribani wiki nzima sasa nasikiliza wimbo mmoja tu,Upepo cover aliyoifanya Ray C.

Baada ya kusikiliza version hii ya Ray C nikajaribu kusikiliza original version aliyofanya Rachel! Sikutumia hata sekunde 10 niliachana nayo na kurudi kusikiliza aliyoimba Legendary Ray C.

Kwa ujio huu umenifumbua masikio kusubiria ngoma kali kutoka kwako,naamini hutoniangusha...

Sijawahi kuwa shabiki wa msanii yeyote wa kike Tanzania hii zaidi ya Ray C,kwa jide nilijishikiza tu lakini sasa nimerudi nyumbani.
Niliposikiliza wimbo huu nililia sana.
Hiki kipaji kilishapotea!

Nafurahi umerudi tena,nakupenda sana Ray C,sana.
Tafadhali usiyarudie madawa...Kama sivyo leo hii huyo Yemi Alade angekuwa si lolote Afrika hii.

Nimeweka link hapo juu,team muziki mzuri mtajua namaanisha nini baada ya kusikiliza.
Hauhitajiki kurudia mara 2 kuuona uzuri wa huu wimbo.
Rachel kapotezwa vibaya sana humo.

Naam,Ray C is baaaaaaaaack
e9bef9e4395405d4d34c435b21255c0b.jpg
f2c093261a24ad205035c8267652ace2.jpg


P.S Ray C pls fanya cover ya Nashukuru ya Recho,kwa ajili yetu mashabiki wako.
Asante

Nifah

Dah nifah ray c ni level zingine aiseee
 
Kwa cover hii Ray C yuko vzr sana, hii nyota iliyokuwa imepotea sasa nimerudi kwenye music,
I love Ray c songs since day 1
[HASHTAG]#Anaejua[/HASHTAG] anajua
 
Ndio namlilia,kwani kuna ajabu gani? Ni kwa mapenzi yangu juu yake.

Hata huyo Jide ilikuwa kidogo abaki story kama sio ujio wa Ndi ndi ndi
Hatujui Ray C nae atarudi vipi.

Hahahaaaaa umeanza kumsema Jide na uchawi kitambo sana,vipi wewe ndio mganga wake mkuu?
jide alishabaki story, ashukuru Ndi ndi ndi[emoji23]
 
Nilimskiliza akiwa FNL ya wiki ileee! Nilimuelewa sana. Kinje. Et al Mungu anawaona!
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Ile ni bonus tu,jiwe lajaaaaa.

Sawa, ngoja tusubiri maana upepo wa Muziki ya Darasa umeisha, tunasubiri kuona nani anakuja na hit nyingine tena.
 
Mkuu Rai...Ray C kama tulivyo binadamu wengine hajakamilika.
Hayo yamepita sasa tuangalie mbele.

Binafsi namshukuru Mungu sana kwa hapa alipo hivi sasa compared to Ray C yule wa juzikati hapo.

Tumpongeze kwa hatua hii tafadhali.
Nimeipenda hii hekima
 
Back
Top Bottom