Upepo cover; Shkamoo Ray C

Upepo cover; Shkamoo Ray C

Kumbe ukila madawa unakuwa na sauti nzuri eeh....ngoja nami nitafute
[emoji241]
 
Ila huyu dada ni mzuri jamani dah!!!sauti nzuri sura nzuri figure nzuri kasoro tabia tu ndo sijui...kanikumbusha ukimwona ya diamond Bella alivyotembeamo akamfunika founder
 
Hilo huwa naliwazia sana,Ray C kakamilika kila kitu.
Ni mzuri mnooooooo! Mungu kamjaalia kila kitu.

Daah..mkuu Ray C alikua zaman bana
kwenye ule wimbo wake wa "uko wap nikufate" in her voice bana...mtoto jicho jicho lol
 
Back
Top Bottom