Upepo cover; Shkamoo Ray C

Upepo cover; Shkamoo Ray C



Ni takribani wiki nzima sasa nasikiliza wimbo mmoja tu,Upepo cover aliyoifanya Ray C.

Baada ya kusikiliza version hii ya Ray C nikajaribu kusikiliza original version aliyofanya Rachel! Sikutumia hata sekunde 10 niliachana nayo na kurudi kusikiliza aliyoimba Legendary Ray C.

Kwa ujio huu umenifumbua masikio kusubiria ngoma kali kutoka kwako,naamini hutoniangusha...

Sijawahi kuwa shabiki wa msanii yeyote wa kike Tanzania hii zaidi ya Ray C,kwa jide nilijishikiza tu lakini sasa nimerudi nyumbani.
Niliposikiliza wimbo huu nililia sana.
Hiki kipaji kilishapotea!

Nafurahi umerudi tena,nakupenda sana Ray C,sana.
Tafadhali usiyarudie madawa...Kama sivyo leo hii huyo Yemi Alade angekuwa si lolote Afrika hii.

Nimeweka link hapo juu,team muziki mzuri mtajua namaanisha nini baada ya kusikiliza.
Hauhitajiki kurudia mara 2 kuuona uzuri wa huu wimbo.
Rachel kapotezwa vibaya sana humo.

Naam,Ray C is baaaaaaaaack
e9bef9e4395405d4d34c435b21255c0b.jpg
f2c093261a24ad205035c8267652ace2.jpg


P.S Ray C pls fanya cover ya Nashukuru ya Recho,kwa ajili yetu mashabiki wako.
Asante

Nifah

Kidogo kama hana pumzi. Simlinganishi na Rachel, namlinganisha na jinsi alivyoomba zake za awali. Kama Whitney
 
Nifah usiniloweke na kuni marinate kwa kusubiri matamu kutoka kwa Rayc!wengine bado tuna maumivu kwa huyu bint na tulijifanya kumsahau kwa kuwashabikia watoto kina linah mwasiti na hiki hivi vya juzizjuzi akina Diana Ruby lakini ukweli utabaki palepale kwa dadaz bongo fleva Rayc ni habari nyingine !
My wife is mad as hell kwa yanayomtokea rayc actually nilikuwa fan wake kupitia ushawishi wa wife every single day anaghani mashairi ya huyu bibie au kiplay her music!
Last time we met her at busara festival may be three or 4 yrs ago we were real sad ! I always try to shut her recently image and pretend it is 7 yrs ago!
We love tht dada and let her know that am ready to support her in any way possible !
This post of your real raise by expectation positively towards her!
Let her come back let her shine ago inshaallah!

Daaaaaah mkuu naona mkeo ni pacha wangu aiseeee. Maana nimekuwa nikiimba na kucheza sana nyimbo zake,dah sitaki kukumbuka enzi za sogea sogea nilivyokuwa mad juu ya huyu dada!

I wish Ray C mwenyewe apite hapa na kuona hii post yako mkuu,ubarikiwe sana.

In Shaa Allah kheyr.[emoji120]
 
Kidogo kama hana pumzi. Simlinganishi na Rachel, namlinganisha na jinsi alivyoomba zake za awali. Kama Whitney
Duh,hayo ni maoni yako mkuu.
Itabidi nimtafute mtaalamu fulani wa muziki ninayefahamiana nae...aniambie huu wimbo Ray C kakosea wapi.

Maana mimi sikio langu halinidanganyi,nimeikubali sana.
 
>>
Kwahiyo ni kama unaniambia
[emoji444] Basi mwambie aje...aje
Ooooooh aje...aje...
Aje na viuno vyake,aje....
Asije na sauti peke yake...aje[emoji444]
Hahahaaaaa
Umetishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!
 
Ktk wachawi wewe ni kiongozi,akiyarudia madawa utafaidika nini?
Roho mbaya tu.

Nifah sio uchawi yule bado ajapona trust me coz kupona madawa inabidi ukae soba mwaka angalu nanusu sasa nambie amefikisha
 
Nifah sio uchawi yule bado ajapona trust me coz kupona madawa inabidi ukae soba mwaka angalu nanusu sasa nambie amefikisha
Mkuu,kwa post ile hukuwa na nia njema kabisa "Lazima ayarudie madawa,ni suala la muda tu "
Ni kweli ana wakati mgumu,tuendelee kumtia moyo katika yale anayopitia sasa na sio kumvunja moyo.
Thanks
 
Kwa kweli mi sio fan wa Ray C, ila haka kawimbo amekatendea haki mno,kasauti unakasikia hadi rohoni.
 
Alikuambia usikilize? Kiherehere chako kikurudishie MB zako
Hahahaaaaa
Yani nimeusikiliza kwenye earphone nimeumia masikio... Nimejuta aisee...
Serous hata wakija wataalamu watakwambia ule wimbo ni mbaya
 
Mungu wangu! Siamini kama uko serious.

Rachel kapanda wapi? Ray C hapa kapanda mpaka goosebumps zinanitoka.
Rachel hana hata robo ya pumzi aliyonayo Ray C.
binamu umerud, nilisikia ulipewa ban
Mungu wangu! Siamini kama uko serious.

Rachel kapanda wapi? Ray C hapa kapanda mpaka goosebumps zinanitoka.
Rachel hana hata robo ya pumzi aliyonayo Ray C.
 
Yani nimeusikiliza kwenye earphone nimeumia masikio... Nimejuta aisee...
Serous hata wakija wataalamu watakwambia ule wimbo ni mbaya
Aaaaaah wapi wewe,masikio yako mabovu tu.
 
Back
Top Bottom