witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Wanaija hawawezi penda demu hivi hivi...Hahahaaaaa Mungu amsaidie tu isijekuwa mpopo yupo after something maana Jide hanaga bahati ya wanaume kuanzia Ruge hadi Gadna heheeeeee nimeanza umbea sasa.
Yaani hapo kifupi VIUNGO kafata pesa nothing else...
Na anamchuna kweli, manake hizo trip ni hakunaga mara kwa wakwe Abuja, Mara Canada vacational we acha tuu jamaa ana bahati sana!