Upepo mkali Tanga Mjini

Upepo mkali Tanga Mjini

Huu upepo huenda umetoka kwa mabeberu, watu wameugua sana vifua na homa
Mabeberu sio watu nasikia wamechukua joto letu wamehamishia kwao thus dar haijawahi kuwa na baridi kama mafinga siku hizi
 
Wabaya sana, wanataka kutuua na baridi
 
Hii naiona kama ni depopulation plan
 
Nadhani ikisha corona wamepata chanjo wanataka kutuuwa kwa baridi sasa.
Tukiletewa ugonjwa wa baridi sisi tutakimbilia wapi kwenye joto
 
Umeniwahi Mkuu hahahahahaha Gwajiboy kafanikiwa kuuamsha msukule kule chato umeamua kushukia Tanga uje ujionee chanjo alizopiga marufuku zimeanza bongo. Imagine hilo jicho atakalomkata wa kudemka kisha tusi juu 🤣🤣🤣🤣
mwendazake anarudi!.....
 
Back
Top Bottom