Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri..View attachment 2198413
View attachment 2198414
View attachment 2198415
Jioni unakaa na birika yako ya chai ukipunga upepo. Tatizo ni safari za chooni kama unakunywa bia.
Yes kumbe unawezekana kabisa chakushangaza tunawekaga simtank la majiView attachment 2198413
View attachment 2198414
View attachment 2198415
Jioni unakaa na birika yako ya chai ukipunga upepo. Tatizo ni safari za chooni kama unakunywa bia.
Kale kanyumba ketu ka uzeeni pale Mbweni kako mwishoni kumalizika. Anza basi mpango wa hiyo gardenNi kuongeza ngawira na kumuelekeza fundi
Afadhali ukae na birika, ukikaa na Kvant unaweza kukosea ngazi mara tu unaitwa mgonjwa.Nimeona eneo la kukaa na birika😁😁😁
View attachment 2231468
Nimeshawishika kwakweli kutoa vyumba vyangu viwili,jiko , toilet 2 na barcone ila yangu itakuwa haipo juu sana kama hiyo itaanzia level ya dirisha lilipoishia kwa juu ili nikiweka kimsoga cha mabati kisiboeNimeona eneo la kukaa na birika😁😁😁
View attachment 2231468
Pensheni si inaingia? Kwa mtogole tunauza. Umri huu sio wa kushea oksijeni na wanywa mnaziHapa unakaa ukitoka kukusanya kodi Kwamtogole hubby.
Kumbe tuko wengi hahahaaaYes kumbe unawezekana kabisa chakushangaza tunawekaga simtank la maji
Sun shade itapendeza zaidi kuliko paa la kudumu.Ni kuongeza ngawira na kumuelekeza fundi
Labda ziwe mbili za chumbani na public za njeIzo ngazi zikiwa kwa ndani inakuwa poa
Tena ukishuka unaingia moja kwa moja chumbani
Ya kwako tu moja ya ndani inatoshaLabda ziwe mbili za chumbani na public za nje
Kumbe izo ndio sunshade naziona sana kwenye maswiming pools ya juu ya magorofa
Hapo kwenye hio balcony unakaa kama kenge manyunyu ya mvua yakianza tu nakimbia ndaniKumbe izo ndio sunshade naziona sana kwenye maswiming pools ya juu ya magorofa