Upesi sana Yanga SC hasa idara yake ya mawasiliano chini ya Msemaji Kamwe ituombe Radhi wadau kwa kutudanganya kusikovumilika

Upesi sana Yanga SC hasa idara yake ya mawasiliano chini ya Msemaji Kamwe ituombe Radhi wadau kwa kutudanganya kusikovumilika

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tokea Alhamisi iliyopita (ila najua baada ya Kuumbuka kwa leo wamefanya Editing) Kurasa halisi (Official Page) ya Yanga SC na zile za Mashabiki wake Wapuuzi Wapuuzi walitutangazia kuwa Mchezaji wa Yanga SC Beki Gift Fred ameitwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes)

Taarifa Kamili kutoka Chanzo Mama (Afisa wa Shirikisho la Soka nchini Uganda) imethibitisha kuwa Mchezaji Gift Fred ambaye Yanga SC walikuwa Wakitangaza Kuitwa Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) hajaitwa.

Yaani Mchezaji keshawasoma Viongozi wake walivyo Mabwege Mabwege na Wasiojielewa akaona kwakuwa Kamisi Chakula chao cha Kiganda cha Matoke, Binyebwa na Ebinjanjaru (Ndizi, Maharage na Karanga) akaona awadanganye Kaitwa Kikosi cha Uganda Cranes ili aondoke kirahisi na Mizuzu bila hata ya Kujiridhisha ikamruhusu.

Wewe Kiongozi hajui Kuvaa Kutwa tu anavalia Jeans zilizochanika huku Msemaji akiwa anabana tu Pua akiwa anaongea unategemea kuna la maana hapo?

Na huu Upuuzi wote wa Kudanganya ni ili tu Kuonyesha na Kuwaringishia Wapinzani kuwa Klabu yao ndiyo imeongoza kutoa Wachezaji wengi katika Vikosi vyao vya Timu zao za Taifa wanazotoka.

Yaani mmeumbuka patamu sana tu.
 
Yanga wazee wa kupenda sifa za kijinga.
Hadi Wanaboa Mkuu. Hi taarifa ingekuwa ni ya Uwongo wangekuja Kunishambulia hapa kama Nyuki ,ila sasa huwaoni kwakuwa nimewashika pabaya na ni ukweli kuwa Mchezaji Beki wao Gift Fred hajaitwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Uganda ( The Cranes ) na kwamba Walitudanganya Wadau wa Soka ( Mpira ) nchini Tanzania hivyo watuombe Radhi / Msamaha haraka.
 
Kwanini msianze kuomba kwa kuwadanganya makolo wenzenu kwanza kwa kuwadanganya,yan rage toka awape lile jina basi mmeamua kutembea nalo na makolo wenyewe wala awashtuki
 

Attachments

  • -1677010550.mp4
    2.8 MB
Kwanini msianze kuomba kwa kuwadanganya makolo wenzenu kwanza kwa kuwadanganya,yan rage toka awape lile jina basi mmeamua kutembea nalo na makolo wenyewe wala awashtuki
Ingia YouTube tuwekee ile Clip ya aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) akisema wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe.
 
Fred kaitwa nation team Uganda
Popoma acha ubishi
Unatupa wasiwasi kama ulipona maradhi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hakuitwa Uganda Cranes final squad for AFCON 2023 Qualifier match against Niger

Ila mleta uzi anaonekana hana shughuli zingine zakufanya zaidi ya kuifatilia habari za Yanga tu kiasi kwamba anateseka hata kwa vitu ambavyo havina maana kwake. Sasa Gift akiitwa au Asipoitwa sijui mleta uzi ananufaika kwa lipi. Ukifikia ushabiki wa mpira wa kiwango hiki, basi uelekeako ni kwenye uandawazimu.
 
Ni kweli hakuitwa Uganda Cranes final squad for AFCON 2023 Qualifier match against Niger

Ila mleta uzi anaonekana hana shughuli zingine zakufanya zaidi ya kuifatilia habari za Yanga tu kiasi kwamba anateseka hata kwa vitu ambavyo havina maana kwake. Sasa Gift akiitwa au Asipoitwa sijui mleta uzi ananufaika kwa lipi. Ukifikia ushabiki wa mpira wa kiwango hiki, basi uelekeako ni kwenye uandawazimu.
Kikubwa nimewaumbua na mmeumbuka kwa Uwongo kama si Utapeli wenu.
 
Huna Akili labda Cranes ya Tegeta Masaiti Kinondoni Jijini Dar es Salaam ila siyo Uganda Cranes ninayoifahamu Mimi.
Aliitwa kwa vile Abdu Aziizi Kayondo alikuwa hajathibitisha kujiunga na Cranes kutokana na ratiba ya mpira Israel kubadilika badilika. Baada ya Kayondo kuthibitisha ikabidi Gift asiwekwe kwenye squad kwa vile wanacheza namba moja na limit ya timu ni wachezaji 23 tu; Kayondo ni mdogo kwa umri na ana stamina kubwa sana kuliko Gift.
 
Tokea Alhamisi iliyopita (ila najua baada ya Kuumbuka kwa leo wamefanya Editing) Kurasa halisi (Official Page) ya Yanga SC na zile za Mashabiki wake Wapuuzi Wapuuzi walitutangazia kuwa Mchezaji wa Yanga SC Beki Gift Fred ameitwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes)

Taarifa Kamili kutoka Chanzo Mama (Afisa wa Shirikisho la Soka nchini Uganda) imethibitisha kuwa Mchezaji Gift Fred ambaye Yanga SC walikuwa Wakitangaza Kuitwa Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) hajaitwa.

Yaani Mchezaji keshawasoma Viongozi wake walivyo Mabwege Mabwege na Wasiojielewa akaona kwakuwa Kamisi Chakula chao cha Kiganda cha Matoke, Binyebwa na Ebinjanjaru (Ndizi, Maharage na Karanga) akaona awadanganye Kaitwa Kikosi cha Uganda Cranes ili aondoke kirahisi na Mizuzu bila hata ya Kujiridhisha ikamruhusu.

Wewe Kiongozi hajui Kuvaa Kutwa tu anavalia Jeans zilizochanika huku Msemaji akiwa anabana tu Pua akiwa anaongea unategemea kuna la maana hapo?

Na huu Upuuzi wote wa Kudanganya ni ili tu Kuonyesha na Kuwaringishia Wapinzani kuwa Klabu yao ndiyo imeongoza kutoa Wachezaji wengi katika Vikosi vyao vya Timu zao za Taifa wanazotoka.

Yaani mmeumbuka patamu sana tu.
GENTAMYCINE my bulaza, hivi utaratibu wa mchezaji kuitwa timu ya taifa ukoje,? Kinafanyika nini? Nini wajibu wa chama cha soka na haki zake, nini wajibu wa club na haki zake?
 
Aliitwa kwa vile Abdu Aziizi Kayondo alikuwa hajathibitisha kujiunga na Cranes kutokana na ratiba ya mpira Israel kubadilika badilika. Baada ya Kayondo kuthibitisha ikabidi Gift asiwekwe kwenye squad kwa vile wanacheza namba moja na limit ya timu ni wachezaji 23 tu; Kayondo ni mdogo kwa umri na ana stamina kubwa sana kuliko Gift.
Rubbish.
 
GENTAMYCINE my bulaza, hivi utaratibu wa mchezaji kuitwa timu ya taifa ukoje,? Kinafanyika nini? Nini wajibu wa chama cha soka na haki zake, nini wajibu wa club na haki zake?
1. Awe na Sura ya Mvuto ili asitishe Mashabiki hasa Watoto

2. Awe anapata Nafasi katika Klabu yake

3. Asiwe Mweusi sana hadi Camera zikapata taabu Kummulika

4. Wajibu wa Chama na Klabu ni kuhakikisha Mchezaji huyo yuko kwenye Fomu muda wote

Gift Fred hajaitwa Kikosi cha Timu ya Taifa cha Uganda ( The Cranes ) na Yanga SC wametudanganya Wadau wa Michezo nchini hivyo watuombe Radhi upesi.
 
1. Awe na Sura ya Mvuto ili asitishe Mashabiki hasa Watoto

2. Awe anapata Nafasi katika Klabu yake

3. Asiwe Mweusi sana hadi Camera zikapata taabu Kummulika

4. Wajibu wa Chama na Klabu ni kuhakikisha Mchezaji huyo yuko kwenye Fomu muda wote

Gift Fred hajaitwa Kikosi cha Timu ya Taifa cha Uganda ( The Cranes ) na Yanga SC wametudanganya Wadau wa Michezo nchini hivyo watuombe Radhi upesi.
Kwa hii comment nimejiridhisha pasi na shaka kuwa haujui mpira na pia una utoto mwingi sana. Hata majukumu huyajui ya chama cha soka, unachokijua wewe ni majungu na uongo na fitina tu
 
Popoma jitahidi kupunguza shobo. Na pia uache kupenda mambo ya kike. Maana itafikia siku tutakutoboa pua na kukuvalisha dera.
 
Back
Top Bottom