Upewe billion moja au free ticket ya kuingia mbinguni

Upewe billion moja au free ticket ya kuingia mbinguni

Kimsingi ulichoongea ni halisi Ila Ni kinyume chake. Kila mwanadamu anapozaliwa anapewa free ticket ya kuingia mbinguni, shetani anaihitaji hiyo ticket, ndio sababu utasikia ukitaka kuwa tajiri lala na mzazi wako, ua mwanao, kufuru Mungu n.k

Maana yake utengeneze MAZINGIRA ya kutosamehewa na Mungu ( kumbuka sio kila dhambi ya kusudi Mungu anasamehe),hio ticket inaitwa UZIMA WA MILELE, ili mtu awe mchawi, mganga , tajiri wa mashetani sharti kubwa ni kuuza UZIMA

Hata ukitubu kwa kulia na kujikojolea Mungu hatakusamehe KAMWE
 
Vyote viwil haviwezekani huwezi kunipa hyo billion Wala ticket ya kwenda mbinguni au MUNGU ni baba Ako😂 au we ndo una tiketi za mbingun😂
 
Kupata hyo billion ni kusota kufanya kazi na kwenda mbinguni ni matendo Yako mema na Imani Yako Kwa MUNGU
 
Back
Top Bottom