ngota wa nzambe
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 121
- 136
Sidhani kama utaweza maana unaonekana una 'kipato reasonable" ila tatizo lipo kwenye "MENTALITY"....Niaje watalaam wenye jamvi lenu? Kama mnavyokumbuka, nilipata ajali na ka baby walker kangu wiki kadhaa zilizopita, basi nimepata mtu nikamsukumia kama kalivyo kwa bei ya hasara, sasa nimeongezea ongezea, nataka nirudi barabarani soon, ila safari hii nataka nisogee juu kidogo, na mtima wangu ukavutika moja kwa moja, kwa German machine fulani, na sio nyingine ni Audi A4, sasa watalaam mniambie, vipi nitamudu kulihudumia hili au nitasafoccate? Kipato changu constant ni almost 1.8M monthly, japo sometimes naweza kuzidi kidogo! Karibuni jamaniView attachment 1776036
Chukua huo ushauri wa Stanley, utamkumbuka!Niaje watalaam wenye jamvi lenu? Kama mnavyokumbuka, nilipata ajali na ka baby walker kangu wiki kadhaa zilizopita, basi nimepata mtu nikamsukumia kama kalivyo kwa bei ya hasara, sasa nimeongezea ongezea, nataka nirudi barabarani soon, ila safari hii nataka nisogee juu kidogo, na mtima wangu ukavutika moja kwa moja, kwa German machine fulani, na sio nyingine ni Audi A4, sasa watalaam mniambie, vipi nitamudu kulihudumia hili au nitasafoccate? Kipato changu constant ni almost 1.8M monthly, japo sometimes naweza kuzidi kidogo! Karibuni jamaniView attachment 1776036
Shukrani sana mkuu kwa ushauri, nitaufanyia kaziSidhani kama utaweza maana unaonekana una 'kipato reasonable" ila tatizo lipo kwenye "MENTALITY"....
Kwanza, Achana na "Mentality za Kitoyota"
Then kwa kipato hicho, go for the 'executive saloons' na sio izo 'compact'.
Ila kama unataka "compact saloon" binafsi narecommend "BMW 3 SERIES F30"
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mkuu, isije kuwa na wewe una "Unjustified fear" tu ya haya magari! Ngoja tuwasubiri wanao yamiliki watupatie uzoefu!Acheni kujitafutia magonjwa ya presha na kisukari bila sababu.Kwa kipato chako cha TZS1.8 million kwa mwezi hilo gari ni gereza lako la kifahari kwa sababu taa ya check engine ya hiyo gari ikiwaka kuizima ni TZS 1.8 million ambacho ndicho kipato chako kwa mwezi!
[emoji3064][emoji3064][emoji3064] MmhAcheni kujitafutia magonjwa ya presha na kisukari bila sababu.Kwa kipato chako cha TZS1.8 million kwa mwezi hilo gari ni gereza lako la kifahari kwa sababu taa ya check engine ya hiyo gari ikiwaka kuizima ni TZS 1.8 million ambacho ndicho kipato chako kwa mwezi!
Hatari sana Mkuu.Chukua huo ushauri wa Stanley, utamkumbuka!
Anatakiwa awe na kipato gani mkuu?Sidhani kama utaweza maana unaonekana una 'kipato reasonable" ila tatizo lipo kwenye "MENTALITY"....
Kwanza, Achana na "Mentality za Kitoyota"
Then kwa kipato hicho, go for the 'executive saloons' na sio izo 'compact'.
Ila kama unataka "compact saloon" binafsi narecommend "BMW 3 SERIES F30"
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mnataka mbaki wenyewe?Kwann usibakie toyota mbona nzuri tu na maintanance zake ni cheap.
Haya magari ya ajabu mtuachie ma'Car enthusiasts ambao hatuogopi kuexperiment. Gari inakutia hasara unakomaa nalo hadi unaelewa namna ya kudeal nalo na linatulia.
Soma vizuri hapo.Anatakiwa awe na kipato gani mkuu?
Hizi ndo "Mentality za Kitoyota Toyota" ninazoziongelea sasa.Acheni kujitafutia magonjwa ya presha na kisukari bila sababu.Kwa kipato chako cha TZS1.8 million kwa mwezi hilo gari ni gereza lako la kifahari kwa sababu taa ya check engine ya hiyo gari ikiwaka kuizima ni TZS 1.8 million ambacho ndicho kipato chako kwa mwezi!
Pamoja ila usiombe ushauri kwa watu wa Toyota hawanaga clue.....zungumza na wamiliki.Shukrani sana mkuu kwa ushauri, nitaufanyia kazi
🤥Acheni kujitafutia magonjwa ya presha na kisukari bila sababu.Kwa kipato chako cha TZS1.8 million kwa mwezi hilo gari ni gereza lako la kifahari kwa sababu taa ya check engine ya hiyo gari ikiwaka kuizima ni TZS 1.8 million ambacho ndicho kipato chako kwa mwezi!
Mbona umeongea kinyonge?Ahamie huko tu mzee baba
Ni timu Toyota huyo......ndo huo unyongeMbona umeongea kinyonge?