Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Nikiri sina miaka mingi sana humu jukwaani ila nilichogundua ni kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidin kwa kukejeli imani zingine kwa namna moja au nyingine binafsi ni muumin mzuri wa dini yangu japo nina cycle ya watu wengi ambao si wa imani yangu naishi nao vzr na tuna bond nzuri sana plus nimeishi kwenye jamii zenye watu wa imani tofauti tofauti na nimejifunza kwenye maisha utu hutangulia kuliko kabila/imani ya dini au itikadi na yeyote anaweza kukufaa wakati wowote, kulikoni humu kukithiri kwa hizi mada ambazo binafsi sidhan kama zina tija yoyote maana mwisho wa siku kila mtu atabakia na anachokiamini na kwanini ukerekwe na anachokiamini mwingine ?