Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Tatizo ni Mods kue na upendeleo wa dini fulani na kufuta uzi za upande mgine,......Nikiri sina miaka mingi sana humu jukwaani ila nilichogundua ni kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidin kwa kukejeli imani zingine kwa namna moja au nyingine binafsi ni muumin mzuri wa dini yangu japo nina cycle ya watu wengi ambao si wa imani yangu naishi nao vzr na tuna bond nzuri sana plus nimeishi kwenye jamii zenye watu wa imani tofauti tofauti na nimejifunza kwenye maisha utu hutangulia kuliko kabila/imani ya dini au itikadi na yeyote anaweza kukufaa wakati wowote, kulikoni humu kukithiri kwa hizi mada ambazo binafsi sidhan kama zina tija yoyote maana mwisho wa siku kila mtu atabakia na anachokiamini na kwanini ukerekwe na anachokiamini mwingine ?
Hatutakiwi kushabikia vita kwa namna yoyote haijalishi nani ana power zaidi ya mwingineTukiwaambia hamas na iran na itikadi zao ni utapeli mnasingizia udini.
Very foolish
Umepita kwa Kiboko ya Wachawi na kupokea upako aloachilia bila shaka.Tukiwaambia hamas na iran na itikadi zao ni utapeli mnasingizia udini.
Very foolish
So tuendelee kuitana makafiri,wavaa kobazi n.k si ndio ? Unavyoona hiyo mijadala ina tija gani ?Hakuna chuki yoyote kwenye majadiliano ya Kidini humu.
Mtoa mada huenda hujawahi kuhudhuria mihadha ya Kidini live.
Watu Wanachalurana sana lakini chakula cha mchana wanaenda kula pamoja na wanaongea vizuri tu.
Jaribu kwenda pale Kariakoo kuna kijiwe cha mda mrefu sana cha mjadala wa Kidini tena karibu na kituo cha polisi na hakuna ugomvi wowote uliowahi kutokea
Labda wewe ndio hujui.
Au wewe sio Mtanzania.
Nikiri sina miaka mingi sana humu jukwaani ila nilichogundua ni kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidin kwa kukejeli imani zingine kwa namna moja au nyingine binafsi ni muumin mzuri wa dini yangu japo nina cycle ya watu wengi ambao si wa imani yangu naishi nao vzr na tuna bond nzuri sana plus nimeishi kwenye jamii zenye watu wa imani tofauti tofauti na nimejifunza kwenye maisha utu hutangulia kuliko kabila/imani ya dini au itikadi na yeyote anaweza kukufaa wakati wowote, kulikoni humu kukithiri kwa hizi mada ambazo binafsi sidhan kama zina tija yoyote maana mwisho wa siku kila mtu atabakia na anachokiamini na kwanini ukerekwe na anachokiamini mwingine ?
Pilipili usiyoila yakuwashia nini gentleman? Iweje ung'ang'ane na kisicho na tija kwako gentleman..Nikiri sina miaka mingi sana humu jukwaani ila nilichogundua ni kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidin kwa kukejeli imani zingine kwa namna moja au nyingine binafsi ni muumin mzuri wa dini yangu japo nina cycle ya watu wengi ambao si wa imani yangu naishi nao vzr na tuna bond nzuri sana plus nimeishi kwenye jamii zenye watu wa imani tofauti tofauti na nimejifunza kwenye maisha utu hutangulia kuliko kabila/imani ya dini au itikadi na yeyote anaweza kukufaa wakati wowote, kulikoni humu kukithiri kwa hizi mada ambazo binafsi sidhan kama zina tija yoyote maana mwisho wa siku kila mtu atabakia na anachokiamini na kwanini ukerekwe na anachokiamini mwingine ?
Unafananisha uzito wa imani ya kidini na ushabiki wa simba ya Yanga mkuu ?!!Pilipili usiyoila yakuwashia nini gentleman? Iweje ung'ang'ane na kisicho na tija kwako gentleman..
kuna haja gani kubababika na kinachokukwaza ikiwa wanaojadiliana wanafanya hivyo kwa ungwana na mapenzi yao?
si ukae kando kwa amani kama hujiskii vizuri kwenye majadiliano hayo ya kidini gentleman?
Na kwa hulka yako,
kesho si utakuja tena hapa kulalamika kwamba mijadala na malumbano kati ya mashabiki wa Simba na Yanga yanachochea chuki na uhasama?
Na keshokutwa ukaja tena kulalamika dhidi ya majadliano na malumbano baina ya wana CCM na chadema na kusingizia yataleta chuki na kuvuruga amani hali ya kua hawa watu ni ni familia, ndugu, marafiki, kaka, dada na shemeji nje ya vyama vyao?π
Ni muhimu kuwapa fursa wadau kujadiliana yale wanayoona yanafaa kwa uhuru na amani. Ukiona vinginevyo jiweke pembeni tu na itapendeza zaidi π
binafsi naamini we can do better kama jukwaa la great thinkers sina shida na mijadala/challenge ila tu pale inapokuwa na mlengo wa kukejeli kuliko kujifunza na ndo kinachojidhihirisha mara nyingi humu , tafuta mjadala wa dini ambao watu walijadiliana kiungwana bila kejeli nipo hapaUnafananisha uzito wa imani ya kidini na ushabiki wa simba ya Yanga mkuu ?!!
sifananishi na wala sibabaiki na dini au ushabiki wa timu wa mtu mwingine kwa namna yoyyote ile.Unafananisha uzito wa imani ya kidini na ushabiki wa simba ya Yanga mkuu ?!!
I always endorse humanity popote ninapokuwa simuangalii mtu yeyote kwa jicho la chuki kisa dini yakeHata ukisoma kitabu chako cha dini vizuri pia kinachochea chuki dhidi ya imani nyingne π€
Hii ni mbegu ambayo in long run hatujui itazaa nini hata huku jamii forum nawaasa mods wawe makini na vitu kama hivi usiidharau platform kama hii ya jamii forum tumeona Kenya na Libya machafuko yalianzia mitandaon na Afrika ya kati Seleka na ant baraka yalianzia kidg kdg kama hivi juzi kuna mtu alifungua uzi akisema ana endorse Islamophobia .sifananishi na wala sibabaiki na dini au ushabiki wa timu wa mtu mwingine kwa namna yoyyote ile.
ispokua nashangaa tu kuona mtu eti anababaika na kufura kabisa na mtu mwingine kufakamia kitimoto na bia ambayo yeye haimuhusu chochote π