Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Hahahhaa huyo huyo mkuu kuna uzi wake unaweza pita ukaongezea mawili matatu ingawa waarabu wanamuita OG IBN ANAQ hivyo wamepora ngano yetu hii sababu hatuna maandishi ya kuback up stori hii

Mfalme OG: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Halafu kuna kitu huwa najiuliza sana. Hivi huu ustaarabu wa kuwa na maandishi ulianzia wapi? Na kwa nini wenzetu kwa asilimia kubwa wana herufi za kwao wenyewe ila sisi hapana. Kwa afrika watu wenye maandishi ya kwao niliwaona ni wahabeshi labda na farao wa misri ya kale.

Au Mimi sielewi nini? Hivi hii imekaaje?

Mkuu Zitto kuna bandiko lolote linalohusu hicho kitu ili niondoe ujinga?
 
Ni changamoto shida historia yetu kiukubwa hatukuiweka kwenye maandishi ndio maana ni ya kuokoteza sana ila wenzetu wana maandishi tokea miaka 4000 kabla ya Yesu ndio maana inakuwa rahisi kupata mtiririko kamili ila sisi tunaunga unga sana ndio maana humu inakuwa ngumu kukuta mada kwa mrengo wa historia
Nitakusahihisha ndugu Kabwe,
historia yetu imeandikwa vizuri sana, tena inarudi zaidi ya miaka 10000, kabla ya kuzaliwa Kristo, tieni nguvu huko bungeni tufundishwe historia yetu, sio aliyoandika huyo mkoloni kutuhusu
 
Narudia tena kwa herufi kubwa HATUKUWEKA KWENYE MAANDISHI ndio maana leo hii tumeporwa invention zetu zote sifa anapewa mzungu

Kuna uzi nliweka hapa kuhusu mfalme OGU huyu inasemekana simulizi yake ilikuwa ni pwani ya Tanzania na alifia mtwara/bagamoyo ila kwa kuwa tuliishia kuongea kwa mdomo tu simulizi ya HUNKU BIN UNUQ iliishia kuporwa na wazungu na wakamuita UJ BIN ANAQ!!! Same case kwa ngano ya kuhusu gharika kule umasaini au kuwepo kwa MESSIAH huko Nigeria ya kale ambaye hadithi yake ni sawa na Yesu kabisa..... Ila hatukuandika ndio maana leo tunaaminishwa manabii wote mitume wote majemedari wote waliofanya makubwa walikuwa WAZUNGU au MASHARIKI YA KATI ila hakuna MTU mweusi

So tuandike..... Anza wwe kina Malcom Lumumba kina Mshana Jr etc muandike maarifa yote mlionayo maybe miaka ya mbele wajukuu zetu watakuwa na cha kujivunia na kusoma kuhusu mababu zao maana lasihivyo wataishia kusoma hadithi za mashariki ya kati as if ni waarabu au wayahudi weusi!!!
Very well said
Tulifundushwa, na bado tunafundishwa Mambo ya uongo
 
Nitakusahihisha ndugu Kabwe,
historia yetu imeandikwa vizuri sana, tena inarudi zaidi ya miaka 10000, kabla ya kuzaliwa Kristo, tieni nguvu huko bungeni tufundishwe historia yetu, sio aliyoandika huyo mkoloni kutuhusu
Imeandikwa wapi na sisi weusi kabisaa?? Unless unaongelea Afrika kaskazini na pembe ya Afrika....ila afrika ya kati,magharibi na kusini tulikuwa tunatunza kichwani tu kwa oral tradition ila hatukuandika maandishi ndio maana watu walipopelekwa utumwani au wakifariki wanaondoka na madini yote kichwani ila misri ama ethiopia walijitahidi mpaka wakoloni wanakuja walikuwa ethiopia wana BIBLIA yao kabisa wakashindwa kuwapotosha lolote otherwise na wenyewe wangeburuzwa kama sisi na wangeambiwa queen of Sheba alikuwa mzungu!! Na wangedanganywa kuwa alexandee the great hakuwahi pigwa na Queen Candice wa ethiopia

TUANDIKE TUANDIKE TUACHE LEGACY
 
Halafu kuna kitu huwa najiuliza sana. Hivi huu ustaarabu wa kuwa na maandishi ulianzia wapi? Na kwa nini wenzetu kwa asilimia kubwa wana herufi za kwao wenyewe ila sisi hapana. Kwa afrika watu wenye maandishi ya kwao niliwaona ni wahabeshi labda na farao wa misri ya kale.

Au Mimi sielewi nini? Hivi hii imekaaje?

Mkuu Zitto kuna bandiko lolote linalohusu hicho kitu ili niondoe ujinga?
Ustaarabu wa kuandika ulianzia bara la Africa, Sudani, Ethiopia na Misri ya kale
 
meandikwa wapi na sisi weusi kabisaa?? Unless unaongelea Afrika kaskazini na pembe ya Afrika.
Zito Africa kaskazini na Pembe ya Africa yote ni Africa, usiwe mmojawapo wa wale waliorogwa akili na ubaguzi wa rangi kututenganisha, usichokijua ni historia ya kale ya bara hili
zitto waarabu ni wageni bara la Africa, na wala uislamu hauijui historia ya bara la Africa, Wala Africa haikuumbwa na Muhammad, alipozaliwa Muhammad Wa Africa weusi walikuwa watawala wa Arabian peninsula, aidha Muhammad' mwenyewe alikuwa kizazi cha watu weusi, alikuwa mweusi tii
Sudani kusini ndio kitovu cha bara la Africa
 
Zito Africa kaskazini na Pembe ya Africa yote ni Africa, usiwe mmojawapo wa wale waliorogwa akili na ubaguzi wa rangi kututenganisha, usichokijua ni historia ya kale ya bara hili
zitto waarabu ni wageni bara la Africa, na wala uislamu hauijui historia ya bara la Africa, Wala Africa haikuumbwa na Muhammad, alipozaliwa Muhammad Wa Africa weusi walikuwa watawala wa Arabian peninsula, aidha Muhammad' mwenyewe alikuwa kizazi cha watu weusi, alikuwa mweusi tii
Sudani kusini ndio kitovu cha bara la Africa
Du binti Hemedi noumah
 
Zito Africa kaskazini na Pembe ya Africa yote ni Africa, usiwe mmojawapo wa wale waliorogwa akili na ubaguzi wa rangi kututenganisha, usichokijua ni historia ya kale ya bara hili
zitto waarabu ni wageni bara la Africa, na wala uislamu hauijui historia ya bara la Africa, Wala Africa haikuumbwa na Muhammad, alipozaliwa Muhammad Wa Africa weusi walikuwa watawala wa Arabian peninsula, aidha Muhammad' mwenyewe alikuwa kizazi cha watu weusi, alikuwa mweusi tii
Sudani kusini ndio kitovu cha bara la Africa

Ni kweli wahabeshi, waliwatawala wa Yemen kwa kupeleka jeshi la kwao lililowakomboa wa Yemen halafu wakawatawala kwa muda mrefu kiasi.

Hapo kwenye Muhammad alikuwa kizazi cha watu weusi huyo ni Muhammad wa wapi unayemzungumzia?
 
Zito Africa kaskazini na Pembe ya Africa yote ni Africa, usiwe mmojawapo wa wale waliorogwa akili na ubaguzi wa rangi kututenganisha, usichokijua ni historia ya kale ya bara hili
zitto waarabu ni wageni bara la Africa, na wala uislamu hauijui historia ya bara la Africa, Wala Africa haikuumbwa na Muhammad, alipozaliwa Muhammad Wa Africa weusi walikuwa watawala wa Arabian peninsula, aidha Muhammad' mwenyewe alikuwa kizazi cha watu weusi, alikuwa mweusi tii
Sudani kusini ndio kitovu cha bara la Africa
Nimesoma historia ya Afrika kitabu kinaongelea afrika ilivyokuwa 1000 BC..... So najua nachosema ila hicho kitabu kimeandikwa na Mzungu pia so sio credible sana mkuu

Na nmesema wazi waafrika walioandika kma afrika kaskazini na pembe ya afrika ndio pekee wamejikomboa ndio maana mpaka leo wameshindwa potosha historia yao maana ipo kwenye maandishi

Ila afrika magharibi kati na kusini ambapo ndio inatengeneza 80% ya waafrika HATUKIANDIKA historia yetu ila tulitumia Fasihi simulizi tu ndio maana ikawa rahisi kupoteza asili yetu na kupotoshwa kwa historia yetu so unaposema ongelea afrika usiangalie nchi chache angalia kwa ujumla wetu

Cc Fillipina Bellini
 
Nimesoma historia ya Afrika kitabu kinaongelea afrika ilivyokuwa 1000 BC..... So najua nachosema ila hicho kitabu kimeandikwa na Mzungu pia so sio credible sana mkuu

Na nmesema wazi waafrika walioandika kma afrika kaskazini na pembe ya afrika ndio pekee wamejikomboa ndio maana mpaka leo wameshindwa potosha historia yao maana ipo kwenye maandishi

Ila afrika magharibi kati na kusini ambapo ndio inatengeneza 80% ya waafrika HATUKIANDIKA historia yetu ila tulitumia Fasihi simulizi tu ndio maana ikawa rahisi kupoteza asili yetu na kupotoshwa kwa historia yetu so unaposema ongelea afrika usiangalie nchi chache angalia kwa ujumla wetu

Cc Fillipina Bellini

Na athari hasi mojawapo ya masimulizi ni kwamba inapoteza uhasilia wake wa hicho kinachosimuliwa imma kwa msimuliaji kusahau baadhi ya nukta au kuharibiwa kwa kuongezewa uzushi ambao ukapoteza mantiki nzima. Sana sana wazee wetu walituachia michoro ya kwenye mapango.

Binti hemedi, karibu katika hili
 
Na athari hasi mojawapo ya masimulizi ni kwamba inapoteza uhasilia wake wa hicho kinachosimuliwa imma kwa msimuliaji kusahau baadhi ya nukta au kuharibiwa kwa kuongezewa uzushi ambao ukapoteza mantiki nzima. Sana sana wazee wetu walituachia michoro ya kwenye mapango.

Binti hemedi, karibu katika hili
Ni kweli mkuu hata ile ngano ya Unju Bin Hunuki kuna chumvi nyingi ziliongezwa ndio maana wengine wakasema alikufa mtwara kwa kuzama kwenye tope.... Mara wengine waseme alipasuka vipande vipande yote haya sababu haikuandikwa kwa details zake zote ila simulizi imefanya kila mtu awe na version yake ya ngano hii mwisho wa siku inakosa uhalisia na kuaminika

Ni changamoto kwa kweli
Cc Fillipina Bellini Fatima binti hemedi
 
Bara la Atlantis kipindi cha Nuhu kurudi nyuma lilikua likitumiwa kama Base/makazi ya Viumbe waliopatikana baada ya Fallen angels kuingiliana kingono na binaadam (WANEFILI)
Baadae lilipotea hilo bara na kubaki barafu tu lakini mpango uliopo sasa hv under secret societies (Iluminat) ni kulirudisha tena na kurudisha Nephilism bloodline. Soon we are reached NWO
Samahani, Mkuu!
1.Azazeli ni nini?

2.Azazeli ni nani?

3.Kuna uhusiano gani kati ya Azazeli na Mbuzi wa Azazeli?

4.Kuna uhusiano gani kati Fallen Angeles na Los Angeles ya USA?

5.WANEFILI waliangukia wapi? wako wapi kwa sasa? Wamehukumiwa moja kwa moja au wanangojewa hadi kiama?

6.Ni nani nani watakao ikamilisha Nephilism? Wanatoka wapi? Wanaongozwa na nani na nani?
 
1.AZAZELI ni nini?

2.AZAZELI ni nani?

3.Kuna uhusiano gani kati ya AZAZELI na MBUZI WA AZAZELI?


4.Kuna uhusiano gani kati ya WANEFILI na LOS ANGELES ya USA?

5.Wako wapi WANEFILI kwa sasa? Waliangukia wapi mwanzo? Wameshahukumiwa jumla au wanangojea mpaka kiama?

6.NEPHILISM ya leo itakamilishwa na nani na nani? Kutoka mataifa yapi? Ni nani yuko nyuma juu ya hili? Anasaidiwa na nani na ametumwa na nani?

#Da'Vinci
 
Back
Top Bottom