McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,070
- 12,596
Nadhani jibu nilishalitoa huko nyuma ya kuwa mungu aliumba mataifa mbali mbali na kila taifa likiwa na lugha yake,tamaduni zake na rangi zao na kila taifa lilitofautiana na jingine kutokana na sifa hizo hapo juu...kwahiyo weusi wa africa ni taifa na weupe nao wana mataifa yao...NO LONGER DEBATEMkuu swali ulilouliza ni illogical kabisa sorry to say that sababu kama ukihoji weupe walitoka wapi kama wote tukiwa weusi je naye si atakuuliza kama wwe unadhani dunia nzima tulikuwa weupe je sisi weusi tumetoka wapi?? More debate
mungu mwenyewe anasema kila kitu kimewekwa katika utaratibu wake...mzunguko wa dunia,jua kuchomoza,uzaliano,tabia nk.....iweje mungu akaweka genetic inheritance halafu taratibu hizo zikakengeuka taratibu hizo..nakumbuka kila kitu kinafuata taratibu hizo automatically........NOTHING CAN REVERSEMkuu kwani is it impossible mtu mweusi kuzaa rangi tofauti kama MUNGU akiamua??
Mmmh kumbuka hapa shida inakuja baada ya gharika je aliyepona gharika na wale wanaye kina Sam/shem ham na japhet walikuwa race gani sababu lazima walifanana na baba yao hapo ndio swali linakuja rangi zilibadilikaje mfano kama Nuh alikuwa mzungu je weusi walitoka wapi na mfano Nuh alikuwa mweusi je wazungu walitoka wapi?? Still debate itaanzia hapo ndio maana bado nauliza hiyo transition ilitoka wapi maana Mungu aliumba watu wawili tu mwanzoni........ Nuh naye alikuwa race moja je weusi na weupe walianzia wapiNadhani jibu nilishalitoa huko nyuma ya kuwa mungu aliumba mataifa mbali mbali na kila taifa likiwa na lugha yake,tamaduni zake na rangi zao na kila taifa lilitofautiana na jingine kutokana na sifa hizo hapo juu...kwahiyo weusi wa africa ni taifa na weupe nao wana mataifa yao...NO LONGER DEBATE
Kwani hakuna intermarriage?? Hivi unajua at some point haiti ilikuwa nusu wazungu nusu waafrika ila sahivi WOTE ni weusi at least 99%....... Ina maana intermarriage ikatokea kwa waafrika wote kuoana na wazungu race ya NEGRO na CAUCASIAN zikafa rasmi utasema tumepinga genetic plan za Mungu kisa tumeoana sisi kwa sisi??? Au unataka kusema Mungu hataki tuoane na watu wa rangi tofauti??mungu mwenyewe anasema kila kitu kimewekwa katika utaratibu wake...mzunguko wa dunia,jua kuchomoza,uzaliano,tabia nk.....iweje mungu akaweka genetic inheritance halafu taratibu hizo zikakengeuka taratibu hizo..nakumbuka kila kitu kinafuata taratibu hizo automatically........NOTHING CAN REVERSE
si mataifa yote yalifutwa...WALIANGAMIZWA WATU WA NUHU!!!!!!!!.........WALIANGAMIZWA PIA WATU WA LUT!!!...lakini sio kizazi kizima walikua wakiangamizwa wale waliopatiwa neno juu ya uovu waliokuwa wakiufanya na bado wakakengeuka mafundisho hayo thats means watu wengine waliachwa wakiwa hai....yani ni sawa na kusema hivi wamarekani wanaunga ndoa za jinsia moja na afrika tunalikataa hilo..ikija gharika watafutwa wale ambao walishushiwa mtume ama nabii kwa ajili ya kuwarekebisha na wakakengeuka...kwahiyo nabii angeshushwa kwa marekani na sio dunia nzima...na gharika ingewakuta wale wale waliokengeuka na sio duniaMmmh kumbuka hapa shida inakuja baada ya gharika je aliyepona gharika na wale wanaye kina Sam/shem ham na japhet walikuwa race gani sababu lazima walifanana na baba yao hapo ndio swali linakuja rangi zilibadilikaje mfano kama Nuh alikuwa mzungu je weusi walitoka wapi na mfano Nuh alikuwa mweusi je wazungu walitoka wapi?? Still debate itaanzia hapo ndio maana bado nauliza hiyo transition ilitoka wapi maana Mungu aliumba watu wawili tu mwanzoni........ Nuh naye alikuwa race moja je weusi na weupe walianzia wapi
Maana usigeneralise tu kuwa aliumba mataifa sasa mataifa yote yalifutwa akabaki Nuhu je kma alikuwa mzungu ikawaje waafrika tukatokea weusi na wengine waarab wachina etc
Naona reference zetu ni tofauti mkuu ndio maana hatuelewani.... Mimi naamini kulikuwa na global flood sio mafuriko ya nchi moja tu maana hata major races ziko 3 tu na yaani Caucasians Mongoloids na Negroids ambazo roots zake ni Kwa Shem Ham na Japhet and it makes sense ila tukisema gharika lilikuwa kwa eneo moja tu hapo utanipotezasi mataifa yote yalifutwa...WALIANGAMIZWA WATU WA NUHU!!!!!!!!.........WALIANGAMIZWA PIA WATU WA LUT!!!...lakini sio kizazi kizima walikua wakiangamizwa wale waliopatiwa neno juu ya uovu waliokuwa wakiufanya na bado wakakengeuka mafundisho hayo thats means watu wengine waliachwa wakiwa hai....yani ni sawa na kusema hivi wamarekani wanaunga ndoa za jinsia moja na afrika tunalikataa hilo..ikija gharika watafutwa wale ambao walishushiwa mtume ama nabii kwa ajili ya kuwarekebisha na wakakengeuka...kwahiyo nabii angeshushwa kwa marekani na sio dunia nzima...na gharika ingewakuta wale wale waliokengeuka na sio dunia
sijajua kwa upande wa iman yako,,,,,ni vipi inavyoelezea watoto wa damu walivyokuwa wakizaliwa?....tunaweza anzia hapoNaona reference zetu ni tofauti mkuu ndio maana hatuelewani.... Mimi naamini kulikuwa na global flood sio mafuriko ya nchi moja tu maana hata major races ziko 3 tu na yaani Caucasians Mongoloids na Negroids ambazo roots zake ni Kwa Shem Ham na Japhet and it makes sense ila tukisema gharika lilikuwa kwa eneo moja tu hapo utanipoteza
However swali langu linakuja kama jamii zingine zilkuwepo lini walitofautishwa mzungu mweusi na msemiti.... Au una maana adam alipozaa walitoka watoto wa rangi tofauti tofauti hivyo je Adam alikuwa rangi gani???
Nataka nijue source ya rangi zilipobadilikia
Mie reference hasa ni biblia haisemi rangi ya Adam ila hata kma wangekuwa watoto wake wama rangi tofauti ila Nuhu na mkewe walikuwa na rangi moja sababu Nuhu alioa mtoto wa baba mkubwa wake na biblia iko wazi hakuchanganya damu na ukoo wa Cain hivyo alichukua rangi ya seth ila baada ya gharika tunaona ndipo kunaanza races tatu za watoto wa Nuhu yaani Ham baba wa Weusi, japhet baba wa wazungu/caucasians na Shem baba wa semites/mongoloidssijajua kwa upande wa iman yako,,,,,ni vipi inavyoelezea watoto wa damu walivyokuwa wakizaliwa?....tunaweza anzia hapo
mpaka kesho kuna wacha Mungu (wana wa Mungu) na wasiomcha/wasioamini kuwa Mungu yupo (wana wa wanadamu) na mara chache watu hawa huzaa aidha kwa kuoana au uzinzi kwanini majitu hayazaliwi like that time?Ok ni hivi mkuu wana wa Mungu biblia iko wazi kabisa warumi 8:12-25 hasa mstari wa 14
14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu
Biblia ipo wazi kabisa kuwa mtu anayeongozwa na roho wa Mungu ndio anakuwa MWANA WA MUNGU sasa tunajua wote kaini alimuua abili hivyo obvious alikuwa haongozwi na roho ya Mungu tena kwa muktadha huo!!! Sasa basi tumuangalie na seth aliyezaliwa baada ya abili kufa biblia inasema
Mwanzo 4: 26
26 Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA
Hapa tunaona kwenye mwanzo 4 kuwa kumbe uzao wa Sethi ulikuwa unaliitia jina la Bwana na kwa sababu hiyo wamefuzu kuwa WANA WA MUNGU maana biblia iko wazi kabisa kuwa wanaoongozwa na Mungu ndio wana wa Mungu sasa basi tunapata picha kuwa mwanzo 6 inaongelea Watoto wa Seth kma wana wa Mungu na watoto wa Wanadamu kma ni wale wasiomcha Mungu ambao ni watoto wa Cain hivyo sioni kokote kuna andiko linasema maana ya WANA WA MUNGU ni malaika wala hakuna andiko linasema malaika walishawahi kuzaa na binadamu kama lipo karibu utusaidie
Nafikiri umenielewa
Ahsante
inshort kwa mujibu wa uislamu watoto wa ADAMU walikuwa wakizaliwa mapacha wakiume asubuhi mapacha wakike jioni na kila pacha ataoana na pacha mwenzie...yani mkubwa wa asubuhi atamuoa mkubwa wa jioni hivy hivy mdg kwa mdg......thats means kizazi kikubwa kilianzia hapa na mataifa mbali mbali yalianza kuzaliwa hapa kabla hata ya gharika ya iliyowakumba watu wa NUHUMie reference hasa ni biblia haisemi rangi ya Adam ila hata kma wangekuwa watoto wake wama rangi tofauti ila Nuhu na mkewe walikuwa na rangi moja sababu Nuhu alioa mtoto wa baba mkubwa wake na biblia iko wazi hakuchanganya damu na ukoo wa Cain hivyo alichukua rangi ya seth ila baada ya gharika tunaona ndipo kunaanza races tatu za watoto wa Nuhu yaani Ham baba wa Weusi, japhet baba wa wazungu/caucasians na Shem baba wa semites/mongoloids
Hivyo confusion ndio inaanzia hapa kwamba ham au shem walitoa wapi rangi tofauti ilihali baba yao alikuwa na rangi moja..... Yaani kma Nuhu alikuwa mweupe kivp Ham alikuwa mweusi and viceversa
Kwahyo lazima rangi ilikuwa moja na mwingine ilitokea sababu ambayo hatufahamu ndio mjadala unaanzia hapo wa binti hemed kwamba probability ya mweusi kuzaa mweupe ni kubwa mf albino au weupe tu kma wachagga n.k ila ni ngumu mzungu/Caucasian kuzaa BLACK yaani ni kma haiwezekani
Kingine hata fuvu la kwanza likipigiwa hesabu ni la mtu mweusi so lazima wazungu ndio secondary race yaani walikuja tu baada ya GHARIKA ila nature ya mwanadamu wa kwanza inaweza kuwa mweusi kma anavyodai binti hemedi if at all tutaconsider archeology na biblia
Mkuu ni kweli wana wa Mungu unaweza kuwaterm kama wanadamu ila ni vizuri tuzifanyie kazi tafsiri halisi za kiebrania sio za biblia ya kiswahilimpaka kesho kuna wacha Mungu (wana wa Mungu) na wasiomcha/wasioamini kuwa Mungu yupo (wana wa wanadamu) na mara chache watu hawa huzaa aidha kwa kuoana au uzinzi kwanini majitu hayazaliwi like that time?
mimi pia ni mkristo na ninaamini unachoamini pia lkn bado hii sehemu inanipa shida sana maelezo ninayopewa hayajitoshelezi.
Kwahiyo rangi ndio zilianzia hapa mkuu?? Je Adam alikuwa rangi gani kiasi aweze kuzaa watu wa rangi tofauti au ni miujiza tu ilitokeainshort kwa mujibu wa uislamu watoto wa ADAMU walikuwa wakizaliwa mapacha wakiume asubuhi mapacha wakike jioni na kila pacha ataoana na pacha mwenzie...yani mkubwa wa asubuhi atamuoa mkubwa wa jioni hivy hivy mdg kwa mdg......thats means kizazi kikubwa kilianzia hapa na mataifa mbali mbali yalianza kuzaliwa hapa kabla hata ya gharika ya iliyowakumba watu wa NUHU
Ona hiliNi bara ambalo mchato anasadikika alitokea huko
Sumerian ndo wa kwanza kuandika mkuuHalafu kuna kitu huwa najiuliza sana. Hivi huu ustaarabu wa kuwa na maandishi ulianzia wapi? Na kwa nini wenzetu kwa asilimia kubwa wana herufi za kwao wenyewe ila sisi hapana. Kwa afrika watu wenye maandishi ya kwao niliwaona ni wahabeshi labda na farao wa misri ya kale.
Au Mimi sielewi nini? Hivi hii imekaaje?
Mkuu Zitto kuna bandiko lolote linalohusu hicho kitu ili niondoe ujinga?
Ila Nimrod alikuwa black mkuu sababu ndio mtoto wa CUSH founder of kingdom of KUSH/ ethiopia..... So tunarudi kulekule ikimaanisha ancient sumerians were semitic-speaking negroids akiwemo Nimrod ama Enmekar kwa kisumeriaIla mgiriki ndiye anaeongoza kwa maandiko ya kidunia na vingi vimekopiwa huko na pia mkitaka kujua zaidi msikimbilie kituoni pale misri rudini nyuma huko kwa kina nimrod Iraq kule ndo kila kitu unapata,sema tatizo linakuja kwny waamin bible akichambua ya kule ataona kama anapakwa tope usoni ila ndivyo ilivyo.
Hapana muafrika anayejikweza ila huo ndio ukweli hta misri wanafaham wao ni wababa wa civilization na wamisri wa kale walikuwa purely blacks wakitokea kwa mizraim mwana wa HAM na hta historical paintings za misri zinaconfrim kuwa walikuwa watu weusi kabisa ila hao waarab wamekuja baadae sana so binti hemed hajajikweza ila anaongea uhalisiaIla humu tunadanganyana ila we acha tuu,jaman ndugu zangu tusijikweze sana alafu embu tuangalie kila tunapojikweza tunakimbilia kwa wakush WA misri,wakuu haya mambo watu wanaujua siri hizi na kwa undani zaidi na wakeleketwa kidg wangekua wa ethiopia,sasa kwann hamjiuliz wao wako kimya ila cc ndo tunajitia ubishi kuwa was developer many years ago,yaa kama tungekuwa mfano tuna akili zisingetoka tungejikontroll wenyewe lakini mbn tuko unga tu kila karne zinaposonga?!!,AF mmisri usimfananishe na mtu Wa mtwara ni tofaut japo kwa sasa nawaona wameingiliana sana na ngz nyeupe so wale Wa kahawia wanatoweka,Dunia ina mengi msikurupuke twendeni mdg mdg nami pia nimekubali kwenda mdg mdg,uwez soma maandiko na kuyachukulia kirahic rahic tu kila mtu huandika kwa alicho kiongezea kiufikir ili hali alikuwa mwandishi bora.