Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Mkuu sumeria si nlishasema toka mwanzo ilikuwa ya watu weusi maana baada ya gharika la sumeria mfalme wao wa kwanza mwenye nguvu alikuwa Enmekar au amraphel aliyejenga ufalme mkubwa zaidi na ukafika ulipofika kupata hizi sifa na ndio historically ni nimrod sababu wanamifanano yote kihistoria,matukio na wakati ila lugha yao ndio ilikuwa na roots za semitic but walikuwa negroids sio weupe nmeshasoma vitabu zaidi ya 10 nmejiridhisha nachosema kuwa Enmekar ndie nimrod na wote tunafaham enmekar alirithi ufalme wa baba yake i.e KUSH mwenyewe na mkewe semiramis huko mesopotamia

Mtoto akawa nimrod ndio akaendeleza utawala wa watu weusi huko sumeria kwa miaka mingi baadaye hadi alipokuja kuzidiwa kete na mfalme neoldaechlomer na baadae sumeria ya kale ikafa huko mesopotamia na jamii ya watu weusi ikavuka bahari kuja afrika kupitia red sea....na wakasettle huko sudan ya sasa ambayo by then iliitwa kingdom of kush that's if at all wote tunaamini kuwa post flood world cradle ya civilization ilianzia middle east at least kwa reference zilizopo

Hivyo narudia tena kwa mara nyingine sumeria empire ilikuwa ya watu weusi mwanzoni kabla ya kuvamiwa na neoldaechlomer(spellings zina shaka) iliyosababisha amraphel kufurumushwa na watu wake kusambaa afrika na mashariki ya kati

Ntasaka hivo vitabu vyote nilivyosoma niviweke hapa vina facts kuanzia za writing mpka michoro kuthibitisha hayo kwa sasa niishie hapa
Zito utajusumbua bure, hiyo Sumerian hypothesis ni academic propaganda kufunika ukweli wa Africa chanzo cha ustaarabu....na weupe inawafariji sana, lakini chimbuko la Egypt ni mchanganyiko wa Ethiopia na Meroe, Sudan kusini
 
mkuu haya mambo ni utafiti unatakiwa usome sana sources kama 10 au 20 ndio uje na conclusion mie nmesoma article na vitabu vya kutosha mpaka biblia na midrash n.k nakusanya dots ndio nikaja na conclusion

CUSH ndie KISH...... Na ukumbuke baada ya nimrod kuchomolewa na utawala wa semites lazima walichora paintings za baadae kulingana na muonekano wao semites sio negroes waliopita ila ukisoma sources nyingi utagundua baada ya gharika la sumeria dunia nzima ilianza maisha upya wakiwa mashariki ya kati kma ambavyo vitabu vya dini hizi kubwa zinakubali

Kwahiyo at some point population ya dunia ilikuwa situated mashariki ya kati baada ya hapo ndipo wakatawanyika......ndio najengea hoja kuwa wakati ule ndipo utawala wa KISH/CUSH ulipoanzia mesopotamia na zunguka kote meaning of CUSH is BLACK na ndio mpka leo lilipokuwa uzao wa CUSH wote ni blacks na ni hamitic race kabisa..... Na ukitafiti utagundua Nimrod na uzao wake uliyotawala kuanzia Eridu/Akkad na Uruk walikuwa hamitic ingawa waliongea a mixed language perhaps sababu ya wakazi waliowakuta na kuwatawala na ukitaka kujua hili ufalme ulipogeuzwa kuwa Akkad empire ndio ukawa First semitic speaking empire in the world!!! Meaning before that haikuwa ya semitic people(weupe/waarab)

Ndio baadae nimrod akapigwa akanyanganywa ufalme ila aliendelea kutawala baadhi ya miji yye na hata vitukuu vyake waliendelea kutawala maeneo muhimu ya Mesopotamia/Sumerian empire na huko mbeleni hao weusi walikuja kutolewa na akkadian empire na other near east empires na waliobaki wakawa absorbed kwa hao semites

Nachosema ni nini sikatai uwepo wa semites/waarabu kwenye sumerian empire ila nachosema ni kwamba ufalme wa kwanza wa sumeria baada ya gharika la sumeria ulianzia KISH ambapo by then ulikaliwa na weusi hivyo ancient sumerians were blacks na utawala wa weupe umeanza possibly wakati wa sargon of akkad ndio maana lugha ikawa purely semitic kwa mara ya kwanza
Asante
 
699f0479570057c8354f3975a65a775e.jpg
Hapo vipi???? Waswahili Hao
 
Ninyi mnakwama sana tulieni kwenye uchunguzi wenu,black people wapo kama kawaida white pia wapo toka huu ulimwengu uwepo...

Inachotakiwa hapa ni tukubaliane hakuna upotevu wala uonevu na utokomezwaji wa ustaarabu wa mtu mweusi,isipokuwa cc human being tuna matabaka tupo colour tofaut tofaut,but white people $ kush ndiyo waliosambaza zaid ustaarabu kwny dunia hii iliyo past,na all vinatoka future i mean repeat...ntashangaa nyenzo za marudio ziweze vp kutuumiza vichwa...

KUNA MAISHA YAMETANGULIA NA YAPO,inawezekana milion ya hatua za maisha ayo kwetu ikawa hata sumni hatujafikia...so tunapohitaji kufanya utafit wa maisha yetu kama wanadamu tusishike moja tulilolikuta kila mwanadamu ana ruksa ya kujiongoza na uwezo huo kila mmoja wetu anao...sasa kama tutakuwa na ya kushikilia tuliyoyakuta mabangoni hatutaelewa chochote....past world like movie project,inaweza kuwa evrthng linapangwa kwa kila sekunde ya muda....

Nakuja kiihivi me pia nimesaka sana asili ya hii ngoz yangu nyeuc nimeishia pacpo na jibu hiz ngoz zipo na nyeupe zilikuwako tu,na swala la ustaarabu hasa hasa watu weupe ndiyo waanzilishi na ni halina ubishi...kwann tunaforce kuwa cc weuc zama izo tulikuwa wenye uwezo wa juu ktk kila jambo na kudai cjui mitume na manabii walikua black,but mbn tuko empty sana kwa kila kitu hatuna ubunifu wowote tupo tupo tu...

HEBU TUACHE WENYE UTASHI WAO TUSIWEZE WAHUKUMU KUWA WALITUDUMAZA KWA JAMBO FULANI AMA KUTUPOKONYA UJUZJ FULANI...

mbona wakhemet walifunzwa ujuz na kila kitu mpka ustaarabu na watu hao hao weupe....


TUNAPOJICHUNGUZA TUSISHIKE MOJA SHIKA MAWILI...kwanza jitambue ww ndo kila kitu...you are evrythng nkiwa na maana hakuna kinachokuongoza zaid ya ww,

Dhana zenu hizo za makabrasha ya uongo zinawapoteza...ndomana kuna kipindi japan waliingiliwa na mtu aliejimix kutoka future time pale airport wakabaki vinywa waz...DUNIA NI PUZZLE moja mbaya na hatari.
Mawazo maxuri Asante
 
Mtazamo wangu,

Atlantis imetajwa na Plato kwenye Timaeus na Critias. Inaelezwa sababu za kutajwa kwenye hii mijadala ni mawazo ya Socrates juu ya nchi ambayo angependa kuishi. Mawazo ya Socrates ndo yalimpa wazo Plato juu ya aina ya taifa analotaka kuishi kwenye " the republic".
Kazi hizi zote za Plato zilikuwa za kubuni, lakini habari za Atlantis zilikuwepo na kwamba watu waliosafiri kutoka ugiriki kwenda misri walipitia Atlantis.
Story ya Plato inaishia kwa Atlantis kuzamishwa baharini kwakua miungu haikupendezwa nao.
Nionavyo mimi,
Uwepo wa Atlantis ni simulizi na hakuna ukweli, ubatili huu ni kwasababu wakati Plato anatunga hizo simulizi miaka 9000 nyuma yake ndo inasemekana Atlantis ilikuwepo. Mpaka anaandika hakua na ushahidi wowote zaidi ya simulizi tu, hata hivyo dhumuni lake halikua kuielezea Atlantis ilikua sehemu ndogo tu ya maelezo.
Pia "continental drift" na nguvu yake katika ushawishi wa mpangilio wa nchi karne hii unadhihirisha hakukua na ardhi ya ziada popote.
Mimi naona hakuwahi kuwepo na Atlantis na imejipatia umaarufu kutokana na watu kutokumuelewa Plato vizuri.
 
Ila Nimrod alikuwa black mkuu sababu ndio mtoto wa CUSH founder of kingdom of KUSH/ ethiopia..... So tunarudi kulekule ikimaanisha ancient sumerians were semitic-speaking negroids akiwemo Nimrod ama Enmekar kwa kisumeria
Israel walikuwa na operation Nimrod, ni wao huyo?
 
Mtazamo wangu,

Atlantis imetajwa na Plato kwenye Timaeus na Critias. Inaelezwa sababu za kutajwa kwenye hii mijadala ni mawazo ya Socrates juu ya nchi ambayo angependa kuishi. Mawazo ya Socrates ndo yalimpa wazo Plato juu ya aina ya taifa analotaka kuishi kwenye " the republic".
Kazi hizi zote za Plato zilikuwa za kubuni, lakini habari za Atlantis zilikuwepo na kwamba watu waliosafiri kutoka ugiriki kwenda misri walipitia Atlantis.
Story ya Plato inaishia kwa Atlantis kuzamishwa baharini kwakua miungu haikupendezwa nao.
Nionavyo mimi,
Uwepo wa Atlantis ni simulizi na hakuna ukweli, ubatili huu ni kwasababu wakati Plato anatunga hizo simulizi miaka 9000 nyuma yake ndo inasemekana Atlantis ilikuwepo. Mpaka anaandika hakua na ushahidi wowote zaidi ya simulizi tu, hata hivyo dhumuni lake halikua kuielezea Atlantis ilikua sehemu ndogo tu ya maelezo.
Pia "continental drift" na nguvu yake katika ushawishi wa mpangilio wa nchi karne hii unadhihirisha hakukua na ardhi ya ziada popote.
Mimi naona hakuwahi kuwepo na Atlantis na imejipatia umaarufu kutokana na watu kutokumuelewa Plato vizuri.
Nashkuru kwa maelezo yako murua nimekusoma kabisa mkuu
 
.
Israel walikuwa na operation Nimrod, ni wao huyo?
Nafkiri unaongelea Operation Nimrod ya SAS uingereza maana ndio walikuwa na operation Nimrod ya kuokoa mateka kwenye ubalozi wa iran nchini uingereza...... However sijafaham kwanni waliita operation nimrod hivyo siwezi kucomment chochote kuhusiana na jina hilo labda nimuite mtaalam wa intelijentsia
Malcom Lumumba Elungata
 
Nakumbuka nilipokuwa Mwenge Sec (Singida) mwaka 1972 nilipendelea sana kusoma vitabu vya Erich von Däniken. Huyu mwandishi ameandika vitabu kadhaa vinavyohusu Atlantis. Kitabu nilichokirudia rudia na hadi sasa nakikumbuka ni Chariots of the Gods? na vitabu vingine. Ni muda mrefu sana umepita na hiyo ilikuwa shauku ya ujanani ingawa kwa sasa siamini tena haya masuala. Tafuta vitabu vya huyu Erich von Däniken ameeleza sana kuhusu "extraterrestials" ambao waliitembelea dunia zama za kale. Na nadhani kwa zama hizi za utandawazi inawezekana kuna video zake youtube pia; kwa sababu ameshatengeneza DVDs na vipindi (documentaries) kadhaa vya television.
Mkuu Magonjwa Mtambuka kumbe ni great thinker hivi?? achana na jukwaa la siasa naona linatuficha ur bright side.
 
Natamani elimu hizi zingekuwa zinadadavuliwa kwa kina kwenye majumba yetu ya ibada, badala ya kinachoendelea hivi sasa..

Hii ishu ya Atlantis nilidhani ni story tu, lakini nimepitia scriptures kadhaa nikabaini kuna asilimia nyingi za ukweli. Siku nikipata wasaa nitashushia uzi wake ukiwa ni sehemu ya majibu ya uzi huu.

Kuhusu Wanefili

Hawa kwenye Biblia wameelezewa kuwa ni uzao wa Malaika waliozini na Binadamu. Kwenye Quran ni tofauti, kwa maana kwenye uislamu Malaika wanaelezwa kama viumbe visivyo na jinsia hivyo na havina matashi.. So ni ngumu kuingiliana na binadamu.. Badala yake, Quran na hadithi kadhaa zinakubali kwamba kuna kizazi cha majini (asili ya Ibilisi) waliwahi kuasi na kufanya matendo ya ngono na wanadamu hivyo kuangamizwa..

Maelezo ni mengi. Nimedaka haya kwa uchache yatuongezee maarifa. Bahati nzuri/mbaya yapo kwa kiingereza;

The holy Quran also speaks about the people of ‘Ad and Thamud. They were huge and powerful, and could uproot trees with their hands. They were also civilized and skilful. But because of their strength and wealth, they rejected the truth and caused a lot of havoc and mischief on the land. So Allah punished them. Allah wiped them off the surface and it was as though they never existed.

Mengine;

Allah says in the holy Quran in Surah 41:15: “As for ‘Ãd, they turned arrogant on earth, opposed the truth, and said, “Who is more powerful than we?” Did they not realize that GOD, who created them, is more powerful than they? They were unappreciative of our revelations.”
And Also in Surah 89:6-9: “Saw you not how your Lord dealt with the ‘Ad (people). Of the (city) of Iram, with lofty pillars, The like of which were not created in the land? And (with) the Thamud (people), who hewed out rocks in the valley?

Tusiache kusoma na kujifunza zaidi..
 
Kwani wewe si umeambiwa lilipotea tuu, shida nini
Ilizama baharini.... Ila shida yangu nijue kama liliexist na lilikuwa na uwezo gani maana nakumbuka nmeona documentary Hitler akituma makomandoo kwenda kutafuta hiyo nchi ili kujua watu walioishi mule na wawatumie kutawala mabara mengine

So it's important mkuu
 
Sa skiza, mna mambo hata sielew mnatoa wapi.

Kuna shetani( lucifer), kuna jini awa ndo fallen angels ile theruthi ya malaika walotupwa chini pamoja na Lucifer. Soma biblia ina maelezo mazuri. Hawa wote wameumbwa kwa moto Lucifer isipo kua Lucifer kwa madini kadhaa zaidi yame ainishwa pia kwenye biblia.
Jini ni malaika waasi hao pia ndo huitwa mapepo ama pepo wachafu.
Wewe unaeleza kikristo,mwenzako unaeleza kiislamu hakuna sababu ya wewe kumpinga Wala yeye kukupinga,swali hili hili ukimuuliza muumini Wa dini nyengine atakupa majibu ambayo huyategemei, ndio Dunia ilivyo mbaya zaidi hii midini yote tumeletewa na weupe!
Nalog off
 
"lililoongelewa na mwanafalsafa wa kigiriki Plato kwamba lilikuwa na teknolojia kubwa kuliko hata ya sasa "
Hapo tu ndo umezingua mkuu unajua kwa nn? Plato kazaliwa 427 na kufariki 347 sasa yeye alijuaje kuwa teknolojia ya atlantic ni kubwa kuliko ya miaka hii ya sasa ?
 
"lililoongelewa na mwanafalsafa wa kigiriki Plato kwamba lilikuwa na teknolojia kubwa kuliko hata ya sasa "
Hapo tu ndo umezingua mkuu unajua kwa nn? Plato kazaliwa 427 na kufariki 347 sasa yeye alijuaje kuwa teknolojia ya atlantic ni kubwa kuliko ya miaka hii ya sasa ?
Kwa enzi zake mkuu.... Licha ya plato tu hata Hitler naye ambaye aliishi kipindi teknolojia ipo kubwa alituma kikosi cha makomandoo kwenda kusaka ilipo atlantis na watafute race iliyoishi pale ili iweze kuwasaidia wajerumani kwenye vita ya kuitawala dunia. So ipo common understanding kwamba hao Atlantis walikuwa na teknolojia kubwa kwa wakati wao.
 
Bara la Atlantis kipindi cha Nuhu kurudi nyuma lilikua likitumiwa kama Base/makazi ya Viumbe waliopatikana baada ya Fallen angels kuingiliana kingono na binaadam (WANEFILI)
Baadae lilipotea hilo bara na kubaki barafu tu lakini mpango uliopo sasa hv under secret societies (Iluminat) ni kulirudisha tena na kurudisha Nephilism bloodline. Soon we are reached NWO
Hebu acheni kupotosha watu kwanza malaika sio wanaume sio wanawake na Mungu amewaumba malaika kumtii na kumuabudu sio kwa namna nyingine
 
Back
Top Bottom