Ninyi mnakwama sana tulieni kwenye uchunguzi wenu,black people wapo kama kawaida white pia wapo toka huu ulimwengu uwepo...
Inachotakiwa hapa ni tukubaliane hakuna upotevu wala uonevu na utokomezwaji wa ustaarabu wa mtu mweusi,isipokuwa cc human being tuna matabaka tupo colour tofaut tofaut,but white people $ kush ndiyo waliosambaza zaid ustaarabu kwny dunia hii iliyo past,na all vinatoka future i mean repeat...ntashangaa nyenzo za marudio ziweze vp kutuumiza vichwa...
KUNA MAISHA YAMETANGULIA NA YAPO,inawezekana milion ya hatua za maisha ayo kwetu ikawa hata sumni hatujafikia...so tunapohitaji kufanya utafit wa maisha yetu kama wanadamu tusishike moja tulilolikuta kila mwanadamu ana ruksa ya kujiongoza na uwezo huo kila mmoja wetu anao...sasa kama tutakuwa na ya kushikilia tuliyoyakuta mabangoni hatutaelewa chochote....past world like movie project,inaweza kuwa evrthng linapangwa kwa kila sekunde ya muda....
Nakuja kiihivi me pia nimesaka sana asili ya hii ngoz yangu nyeuc nimeishia pacpo na jibu hiz ngoz zipo na nyeupe zilikuwako tu,na swala la ustaarabu hasa hasa watu weupe ndiyo waanzilishi na ni halina ubishi...kwann tunaforce kuwa cc weuc zama izo tulikuwa wenye uwezo wa juu ktk kila jambo na kudai cjui mitume na manabii walikua black,but mbn tuko empty sana kwa kila kitu hatuna ubunifu wowote tupo tupo tu...
HEBU TUACHE WENYE UTASHI WAO TUSIWEZE WAHUKUMU KUWA WALITUDUMAZA KWA JAMBO FULANI AMA KUTUPOKONYA UJUZJ FULANI...
mbona wakhemet walifunzwa ujuz na kila kitu mpka ustaarabu na watu hao hao weupe....
TUNAPOJICHUNGUZA TUSISHIKE MOJA SHIKA MAWILI...kwanza jitambue ww ndo kila kitu...you are evrythng nkiwa na maana hakuna kinachokuongoza zaid ya ww,
Dhana zenu hizo za makabrasha ya uongo zinawapoteza...ndomana kuna kipindi japan waliingiliwa na mtu aliejimix kutoka future time pale airport wakabaki vinywa waz...DUNIA NI PUZZLE moja mbaya na hatari.