Ila humu tunadanganyana ila we acha tuu,jaman ndugu zangu tusijikweze sana alafu embu tuangalie kila tunapojikweza tunakimbilia kwa wakush WA misri,wakuu haya mambo watu wanaujua siri hizi na kwa undani zaidi na wakeleketwa kidg wangekua wa ethiopia,sasa kwann hamjiuliz wao wako kimya ila cc ndo tunajitia ubishi kuwa was developer many years ago,yaa kama tungekuwa mfano tuna akili zisingetoka tungejikontroll wenyewe lakini mbn tuko unga tu kila karne zinaposonga?!!,AF mmisri usimfananishe na mtu Wa mtwara ni tofaut japo kwa sasa nawaona wameingiliana sana na ngz nyeupe so wale Wa kahawia wanatoweka,Dunia ina mengi msikurupuke twendeni mdg mdg nami pia nimekubali kwenda mdg mdg,uwez soma maandiko na kuyachukulia kirahic rahic tu kila mtu huandika kwa alicho kiongezea kiufikir ili hali alikuwa mwandishi bora.