Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Labda hakuwahi kuwa na hilo wazo la kuwakusanya wachawi na kuutumia huo uchawi in a way it can bring technological development nchini. He must be advised
Nahisi katika kula nyama za binadamu kuna faida wanaipata otherwise haingii akilini kabisa.
 
Inategemea na umbali nyota ilipo kuna ambazo zipo umbali wa miaka ya mwendo wa mwanga 10 zingine 100 na zipo ambazo ni mbali sana hadi mamilioni ya miaka mwendo wa mwanga
Sasa sijajua ulikua unazungumzia nyora ipi
Ndo unazidi kunichanganya.
sasa inakuwaje kila siku jioni mwanga wa nyota tunauona
 
Ndo unazidi kunichanganya.
sasa inakuwaje kila siku jioni mwanga wa nyota tunauona
Tunauona mwanga wa nyota kila siku sababu bado upo kwenye mwendo unaendelea kusafiri kuja duniani
Kuna ambazo zishatokea supernova na kupotea ila mwanga wake bado unaendelea kusafiri na kwa kua zipo mbali sana basi sisi huku tunaona kama bado zipo kumbe zilishalipuka zamani sana
Na kuna nyota ambazo ni changa zimezaliwa ila kwakua zipo mbali saana huku bado hatujaziona sababu mwanga wake bado haujatufikia, Upo njiani unasafiri
 
mode wanazingua kila nikitupia uzi unashikiliwa mpaka unasahau ulitupia kitu ... that why nadirect moja kwa moja kwenye blogi yangu.
 
UMENIKUMBUSHA SERIES YA "THE EVENT" ilibanwa ikafutwa katikati ilikuwa na scenario kama hizo.
Wenzetu hawakuonyeshi kitu kama hawaja kifanyia majaribio so na uhakika hata kama hakijawahi kufanyika basi soon watafanya.
The Event umenikumbusha hii series ilipigwa ban
 
mode wanazingua kila nikitupia uzi unashikiliwa mpaka unasahau ulitupia kitu ... that why nadirect moja kwa moja kwenye blogi yangu.
Post Habari Mchanganyiko!. Ukipost Jamii Intelligence vumilia!.
 
hicho chuo kipo wapi mkuu""!?? nammi nahitaji hiyo huduma
 
aiseee...impongo naona leo kichaa umekiacha milembe "" umekuja huku una mwaga tu nondo """natamani ningechelewa kuzaliwa ili namimi nije kushuhudia hicho kizazi kitakachokuwa kina safiri kwa kasi ya mwanga""" maana wameshaanza na kusafirisha vyakula kwa kasi ya mwanga kwakupitia mafrizer na na mafiji"" na subiria kuona kwa mwanadamu"" namna ambavyo litawezekana
....hii dunia kweli Ina mambo
 
mafumbo ..a.k.a algebra.."" kama ilivyokawaida yako"""
 
Why ilipigwa marufuku mkuu??
Ilikuwa somehow inaelezea hii kitu. Ikapigwa ban usa isiendelee...
But ilikuwa na some truth kuhusu mipango ya hawa jamaa in the future hasa pale ending km vile sayari nyingine imeisogelea dunia....pale ingeendelea ingedadavua zaidi...ikapigwa ban.
 
Hahahaha unataka upite kwenye ukuta au ujifiche kwenye chupa ya maji???
vyote mkuu"" nadhani kuonewa itakuwa basiii..wakati nyinyi mnamlalamikia jiwe kuwapiga billion 1500...mimi nikishatoka kuhitimu masomo yangu namfuata kimiujiza pale magogoni na mwambia namie nahitaji mgao wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…