Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Ni kweli kama Mshana Jr. angetumia elimu yake aliyoipata kuwaweka pamoja wachawi na kuwapa ushawishi leo hii tz tungekuwa wa kwanza kufanya safari ya kwenda Mass lakini amefika dar amebadiri nia sasa nikufundisha uchawi wa kuagua ile nia safi ya kuigeuza uchawi kuwa sayansi ya fizikia ameshindwa
Sasa sijui wao wana dunia yao wanasafiri ila hawataki kusema labda mtu ukijaribu kuwa mchawi utajua ukweli lakini haiingii akilini ati uwe mchawi msomi kama mshana kwa ajiri ya kula nyama ya mtu.
Au huenda kula nyama ya mtu kunafunua mambo mengine ya siri inje ya pazia.
Labda hakuwahi kuwa na hilo wazo la kuwakusanya wachawi na kuutumia huo uchawi in a way it can bring technological development nchini. He must be advised
Nahisi katika kula nyama za binadamu kuna faida wanaipata otherwise haingii akilini kabisa.
 
Inategemea na umbali nyota ilipo kuna ambazo zipo umbali wa miaka ya mwendo wa mwanga 10 zingine 100 na zipo ambazo ni mbali sana hadi mamilioni ya miaka mwendo wa mwanga
Sasa sijajua ulikua unazungumzia nyora ipi
Ndo unazidi kunichanganya.
sasa inakuwaje kila siku jioni mwanga wa nyota tunauona
 
Ndo unazidi kunichanganya.
sasa inakuwaje kila siku jioni mwanga wa nyota tunauona
Tunauona mwanga wa nyota kila siku sababu bado upo kwenye mwendo unaendelea kusafiri kuja duniani
Kuna ambazo zishatokea supernova na kupotea ila mwanga wake bado unaendelea kusafiri na kwa kua zipo mbali sana basi sisi huku tunaona kama bado zipo kumbe zilishalipuka zamani sana
Na kuna nyota ambazo ni changa zimezaliwa ila kwakua zipo mbali saana huku bado hatujaziona sababu mwanga wake bado haujatufikia, Upo njiani unasafiri
 
Mkuu ungefanya kuileta JF kwa faida ya wengi na kuiweka kwenye server zetu!.
Project RAINBOW ilifeli na kuna pilot mmoja alikufa wakati wa testing kutokana na engine kuzimika pamoja na kioo kinachomkinga pilot pale mbele kuchomoka pia ikawa known kwa watu wengi jamaa wakaicancell mwaka 1958.
Wakaswitch kwenda PROJECT GUSTO ambayo hiyo ndio ikatoa ndege za A-2(Archangel 2) ambazo nazo walipozijaribu kwenye vita ya vietnam wakakuta bado zinaonekana kwenye enemy radar!.
Hiyo technology unaongelea ya teleportation sio iliyofanyiwa utafiti kwenye Project Gusto ila Gusto ilihusu kudivert radar za adui. Hiyo ishu ya binadamu alifaulu na kusafiri sijui wapi ni story tu!..
Teleportation haiwezekani kwa sasa labda baadae!..
mode wanazingua kila nikitupia uzi unashikiliwa mpaka unasahau ulitupia kitu ... that why nadirect moja kwa moja kwenye blogi yangu.
 
UMENIKUMBUSHA SERIES YA "THE EVENT" ilibanwa ikafutwa katikati ilikuwa na scenario kama hizo.
Wenzetu hawakuonyeshi kitu kama hawaja kifanyia majaribio so na uhakika hata kama hakijawahi kufanyika basi soon watafanya.
The Event umenikumbusha hii series ilipigwa ban
 
mode wanazingua kila nikitupia uzi unashikiliwa mpaka unasahau ulitupia kitu ... that why nadirect moja kwa moja kwenye blogi yangu.
Post Habari Mchanganyiko!. Ukipost Jamii Intelligence vumilia!.
 
Duh hivi wachawi wanatumia teknolojia kama hiyo kwanni hairasimishwi ilo itusaidie kama taifa !! Maana naamini wazungu wanatumia ushirikina sana tu ila wanautumia kuwanufaisha sio kurogana kama sisi huku

Nliwahi ona kuna chuo kabisa wanafundishwa DARK ARTS kabisa ila huku bongo watu wanaoweza hizi mambo wanaishia kuteleport kwenda kuroga watu wakati wazungu wanatumia kubuni silaha za kuwasaidia vitani
hicho chuo kipo wapi mkuu""!?? nammi nahitaji hiyo huduma
 
Inawezekana chombo kikatengenezwa maana kila kukicha wenzetu wanatafiti kupata mabadiriko ya mbadala mpya na kuachana na mambo ya zamani mfano;

Russia ametengeneza makombora yanayoweza kushambulia sehemu yeyote hapa duniani inaonekana yanasafiri kwa kasi ya 99.567sk inamaana ukiwa DSM kulipua mwanza utatumia 15.6sk
Ukiwa DSM kulipua Kampala utatumia sekunde km 1950 utatumia 24sk sasa ikiwezekana yakaboreshwa Mara 1000 ya kasi hii tayali unaikaribia kasi ya mwanga 92%

Inawezekana lakini kiumbe kitakachosafiri kwa hali ya kawaida itabidi kiwe kama kimekufa ili kitakapo fika kinakoelekea ndio kifanyiwe uponyaji kurudi hai lakini uwwzekano 99.9% KUFA kiumbe kitakacho safiri kwa kasi uwezekano wa kuishi ni 0.01%

Au kama tutatengeneza roboti ambazo tunaweza kuhamishia uhai hapo uwezekano wa kusafiri 100% maana miili tutakuwa tumeiacha Duniani
aiseee...impongo naona leo kichaa umekiacha milembe "" umekuja huku una mwaga tu nondo """natamani ningechelewa kuzaliwa ili namimi nije kushuhudia hicho kizazi kitakachokuwa kina safiri kwa kasi ya mwanga""" maana wameshaanza na kusafirisha vyakula kwa kasi ya mwanga kwakupitia mafrizer na na mafiji"" na subiria kuona kwa mwanadamu"" namna ambavyo litawezekana
....hii dunia kweli Ina mambo
 
Hahahahaa
Mkuu una maswali mazuri Sanaa but majibu yake nadhani umeyaandaa kichwani!

Kuna Nguvu kubwa ambayo imegawanyika!
Ipo nguvu KUU ambayo imegawanya vyote
Pia Ipo nguvu kinzani ambayo
Ipo siku ita take action Na kuharibu taswira ya ulimwengu Na kanuni zake za uendeshwaji ! Eg uvamizi na kuinuka kwa baadhi ya vitu ambavyo awali vilikuwa vimefichwa pia theory mbali mbali zitakuja Ku take action!
mafumbo ..a.k.a algebra.."" kama ilivyokawaida yako"""
 
Why ilipigwa marufuku mkuu??
Ilikuwa somehow inaelezea hii kitu. Ikapigwa ban usa isiendelee...
But ilikuwa na some truth kuhusu mipango ya hawa jamaa in the future hasa pale ending km vile sayari nyingine imeisogelea dunia....pale ingeendelea ingedadavua zaidi...ikapigwa ban.
 
Hahahaha unataka upite kwenye ukuta au ujifiche kwenye chupa ya maji???
vyote mkuu"" nadhani kuonewa itakuwa basiii..wakati nyinyi mnamlalamikia jiwe kuwapiga billion 1500...mimi nikishatoka kuhitimu masomo yangu namfuata kimiujiza pale magogoni na mwambia namie nahitaji mgao wangu
 
Back
Top Bottom