Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Hapana hakuwepo ndani ya meli ila alikuwepo ndani ya meli iliyokuwa inasimamia zoezi hilo yaani ikitokea lolote basi meli aliokuwemo ndio ingeenda kuokoa jahazi

Kma na yye angekuwa ndani ya meli either angekufa au kupoteza faham maana wengi waliokuwemo kwenye meli iliofanyiwa majaribio either walipoteza kumbukumbu au kupoteza faham kwa masaa mengi na wengine kurukwa na akili maana kubadilisha masafa ya kilometer zaidi ya 20 ndani ya sekunde 7 si mchezo
watu wanajitafutia mambo[emoji3]
 
Hapana hakuwepo ndani ya meli ila alikuwepo ndani ya meli iliyokuwa inasimamia zoezi hilo yaani ikitokea lolote basi meli aliokuwemo ndio ingeenda kuokoa jahazi

Kma na yye angekuwa ndani ya meli either angekufa au kupoteza faham maana wengi waliokuwemo kwenye meli iliofanyiwa majaribio either walipoteza kumbukumbu au kupoteza faham kwa masaa mengi na wengine kurukwa na akili maana kubadilisha masafa ya kilometer zaidi ya 20 ndani ya sekunde 7 si mchezo
watu wanajitafutiaga Majanga
 
Mkuu kuna aina 3 za teleportation (State teleportation, Energy teleportation na Particle teleportation). Kati ya zote hizo unayoongelea ni State teleportation ambayo so far ni kitu impossible!. Haiwezekani kitu kusafiri mwendo zaidi ya mwanga so far!, inawezekana labda walijaribu hiyo experiment yao na outcomes ya kutoweza safiri zaidi ya mwanga ndio hizo disfigurment kikifika kilipotumwa!..
Google kupitia kitengo chake cha Google X waliunda mission wakaiita "project moonshot" ambapo ndani yake waliweka na hiyo project ya 'teleportation' baada ya muda mrefu wa research waliachana nayo walipogundua ni kitu kisichowezekana kinapingana na sheria za physics!.
Hili halimaanishi hiki kitu hakiwezekani, lakini kitahitaji resource nyingi sana ndio maana kukawa na lab kutest mambo kama hayo. Kama experiment ya CERN huko Switzerland.
Hiyo Experiment inawezekana US Govt waliifanya lakini madhara yalowakuta ni makubwa!.
 
Mkuu kuna aina 3 za teleportation (State teleportation, Energy teleportation na Particle teleportation). Kati ya zote hizo unayoongelea ni State teleportation ambayo so far ni kitu impossible!. Haiwezekani kitu kusafiri mwendo zaidi ya mwanga so far!, inawezekana labda walijaribu hiyo experiment yao na outcomes ya kutoweza safiri zaidi ya mwanga ndio hizo disfigurment kikifika kilipotumwa!..
Google kupitia kitengo chake cha Google X waliunda mission wakaiita "project moonshot" ambapo ndani yake waliweka na hiyo project ya 'teleportation' baada ya muda mrefu wa research waliachana nayo walipogundua ni kitu kisichowezekana kinapingana na sheria za physics!.
Hili halimaanishi hiki kitu hakiwezekani, lakini kitahitaji resource nyingi sana ndio maana kukawa na lab kutest mambo kama hayo. Kama experiment ya CERN huko Switzerland.
Hiyo Experiment inawezekana US Govt waliifanya lakini madhara yalowakuta ni makubwa!.
Aseee ndio maana nlileta huu uzi JF intelligence.... Finally someone's talking about project CERN empu tupe mbili tatu kuhusu hiyo mambo

Nkirudi kwenye mada..... Ni kweli kama ulivosema state teleportation haiwezekani na wanadai hata ikitokea mwanadamu akiweza kuteleport atafika akiwa amekufa!! Maana ni lazima awe dissaassembled pale alipo na awe assembled mahali pengine upya so lazma afe kwanza !!! Hapo ndipo nilichoka kabisa

Ila yote kwa yote je tukio hili ni la kweli?? Au chumvi tu ili marekani iogopeke
 
Aseee ndio maana nlileta huu uzi JF intelligence.... Finally someone's talking about project CERN empu tupe mbili tatu kuhusu hiyo mambo

Nkirudi kwenye mada..... Ni kweli kama ulivosema state teleportation haiwezekani na wanadai hata ikitokea mwanadamu akiweza kuteleport atafika akiwa amekufa!! Maana ni lazima awe dissaassembled pale alipo na awe assembled mahali pengine upya so lazma afe kwanza !!! Hapo ndipo nilichoka kabisa

Ila yote kwa yote je tukio hili ni la kweli?? Au chumvi tu ili marekani iogopeke
Mkuu kuna aina 3 za teleportation (State teleportation, Energy teleportation na Particle teleportation). Kati ya zote hizo unayoongelea ni State teleportation ambayo so far ni kitu impossible!. Haiwezekani kitu kusafiri mwendo zaidi ya mwanga so far!, inawezekana labda walijaribu hiyo experiment yao na outcomes ya kutoweza safiri zaidi ya mwanga ndio hizo disfigurment kikifika kilipotumwa!..
Google kupitia kitengo chake cha Google X waliunda mission wakaiita "project moonshot" ambapo ndani yake waliweka na hiyo project ya 'teleportation' baada ya muda mrefu wa research waliachana nayo walipogundua ni kitu kisichowezekana kinapingana na sheria za physics!.
Hili halimaanishi hiki kitu hakiwezekani, lakini kitahitaji resource nyingi sana ndio maana kukawa na lab kutest mambo kama hayo. Kama experiment ya CERN huko Switzerland.
Hiyo Experiment inawezekana US Govt waliifanya lakini madhara yalowakuta ni makubwa!.
Mkianza kuzungumzia CERN project mnitag wakuu
 
Aseee ndio maana nlileta huu uzi JF intelligence.... Finally someone's talking about project CERN empu tupe mbili tatu kuhusu hiyo mambo
Ila yote kwa yote je tukio hili ni la kweli?? Au chumvi tu ili marekani iogopeke
CERN ni muunganiko wa nchi za ulaya kwenye tafiti za masuala ya particles ina maana hadi masuala ya anti-matter yanafanyika pale. Masuala yote ya vitu vinavyohusu utafiti mkubwa zaidi wa Particles yanafanyika kwao, wana mtambo mkubwa unatoka Ufaransa hadi Uswiss ndani yake ndio hizo particle zinapotestiwa.
Kuongezea ndipo internet (world wide web) ilipozaliwa.
Kuna baadhi ya conspirancies zinasema kupitia majaribio ya CERN tunaweza fungua mlango wa ulimwengu nyingine ambapo tunaweza leta demons na viumbe vingine kuharibu ulimwengu wetu!. Pia wanasema ndio Teknolojia ya Time travel inapoweza kuja tokea!.
Lakini kubwa ni hilo la utafiti wao wa Anti-matter kuweza sababisha madhara kwa dunia yetu!.
Hizi chumvi za teleportation ni kama kiki zetu bongo tu; Tukitaka divert kitu tunatoa jambo lingine!.. Lakini wao wameweza kuziweka kiki zao zikakaa kwenye mainstream.
 
Mkuu kuna aina 3 za teleportation (State teleportation, Energy teleportation na Particle teleportation). Kati ya zote hizo unayoongelea ni State teleportation ambayo so far ni kitu impossible!. Haiwezekani kitu kusafiri mwendo zaidi ya mwanga so far!, inawezekana labda walijaribu hiyo experiment yao na outcomes ya kutoweza safiri zaidi ya mwanga ndio hizo disfigurment kikifika kilipotumwa!..
Google kupitia kitengo chake cha Google X waliunda mission wakaiita "project moonshot" ambapo ndani yake waliweka na hiyo project ya 'teleportation' baada ya muda mrefu wa research waliachana nayo walipogundua ni kitu kisichowezekana kinapingana na sheria za physics!.
Hili halimaanishi hiki kitu hakiwezekani, lakini kitahitaji resource nyingi sana ndio maana kukawa na lab kutest mambo kama hayo. Kama experiment ya CERN huko Switzerland.
Hiyo Experiment inawezekana US Govt waliifanya lakini madhara yalowakuta ni makubwa!.
Mkuu palantir ingekua vema kama ukagusia japo kidoogo kuhusu hizo aina 3 za teleportation
 
Mkuu palantir ingekua vema kama ukagusia japo kidoogo kuhusu hizo aina 3 za teleportation
Mkuu tutakuwa hatujamtendea haki zitto junior kuuhamisha mjadala!. Lakini kifupi moja ni kuhamisha kitu (state), ingine kusafiri kwa nguvu (energy) na ya mwisho ni uwezo wa kuinua kitu(levitation).
Unaonaje wewe hiyo experiment ni kweli au story kama za John Titor!?..
Cc: Mzee wa Torano
 
Aseee ndio maana nlileta huu uzi JF intelligence.... Finally someone's talking about project CERN empu tupe mbili tatu kuhusu hiyo mambo

Nkirudi kwenye mada..... Ni kweli kama ulivosema state teleportation haiwezekani na wanadai hata ikitokea mwanadamu akiweza kuteleport atafika akiwa amekufa!! Maana ni lazima awe dissaassembled pale alipo na awe assembled mahali pengine upya so lazma afe kwanza !!! Hapo ndipo nilichoka kabisa

Ila yote kwa yote je tukio hili ni la kweli?? Au chumvi tu ili marekani iogopeke
Hivi ile hali ya kuwaza mtu alafu unashtukia ana gonga mlango wako wa nyumba kufungua unakuta ni yeye na unaishia kumuambia tu,nilikuwa nakuwaza sasa hivi.Je inawezekana kuwa huyo mtu umemteleport?.
 
CERN ni muunganiko wa nchi za ulaya kwenye tafiti za masuala ya particles ina maana hadi masuala ya anti-matter yanafanyika pale. Masuala yote ya vitu vinavyohusu utafiti mkubwa zaidi wa Particles yanafanyika kwao, wana mtambo mkubwa unatoka Ufaransa hadi Uswiss ndani yake ndio hizo particle zinapotestiwa.
Kuongezea ndipo internet (world wide web) ilipozaliwa.
Kuna baadhi ya conspirancies zinasema kupitia majaribio ya CERN tunaweza fungua mlango wa ulimwengu nyingine ambapo tunaweza leta demons na viumbe vingine kuharibu ulimwengu wetu!. Pia wanasema ndio Teknolojia ya Time travel inapoweza kuja tokea!.
Lakini kubwa ni hilo la utafiti wao wa Anti-matter kuweza sababisha madhara kwa dunia yetu!.
Hizi chumvi za teleportation ni kama kiki zetu bongo tu; Tukitaka divert kitu tunatoa jambo lingine!.. Lakini wao wameweza kuziweka kiki zao zikakaa kwenye mainstream.
Mkuu ukipata wasaa tupe darasa khs hii CERN project nasikia ina mpango wa kuangamiza dunia
Sasa cjui ni kweli au kiki km unavyosema?
 
Mkianza kuzungumzia CERN project mnitag wakuu

Hii hapa Chief

CERN
Kiufupi CERN ni Conseil Européen pour la Recherche Nucléaire au European Organization for Nuclear Research. CERN inahusika na particle physics experiments ambapo ndo the largest machine in the world ambayo imejengwa underground kwa mzunguko wa 4700 miles imejengwa uswisi na kupitia katika mpaka wa ufaransa na uswisi.

CERN wamejenga Large Hadron Collider (LHC) kwa dhumuni la ku discover "GOD'S PARTICLES" au "Higg Boson". Kwa lugha nyepesi wanataka kujua particle inayo hold everything together (like atom ina neutron, electron na proton ambazo nazo zina subatomic zake kila moja, hivyo wanataka kujua the tiniest or smallest particle that is invisible but do exist, ambayo ndo higg boson experiment)
Kuielewa zaid CERN, yenyewe ndo ya kwanza kuanzisha world wide web "www", wao ilikuwa kwa ajili ya ma researchers kuwasiliana na bbade wakaitoa kwa public.
Turudi katika mada yetu, CERN wanafanya experiment za kugonganisha proton kwa proton ili kupata other particles katika detectors zao.

Wao CERN wanadai kwamba wakifanikiwa kupata God particles wataweza ku discover the door or a gateway ambayo wataweza ku discover vitu kutoka huko au kutuma kitu kwenda huko.

WHAT IS A GATEWAY OR A DOOR THAT CERN EXPECT TO DISCOVER?
Nikikurudisha nyuma kidogo kuhusu CERN, kuna kitu kinaitwa ANTIMATTER ambayo CERN imetengeneza LHC ili iweze ku discover ku hold na ku control anti matter. Inasemekana kuwa antimatter is very unstable so inaweza ikaleta destruction duniani. Hivyo kupitia antimatter wataeza kupata God's particle.
Hili ndo linalowaogopesha wengi kwa wanaofatilia kila wanachokifanya CERN, kwamba they want to create a portal au vortex ambayo ita link parallel universes.
Parallel universe kama inavotamkika ni universes ambazo hazikutani kabisa. Mfano sisi Binadamu ni certain dimension (to be exact 3rd Dimension beings) hivyo kuna Dimensions zingine ambazo hatuwez ku interact nazo. So mlango (a gateway) utakaopatika CERN utakuwa umeanzisha inter-dimension between different universes.

WHY IT BECAME A CONSPIRACY THEORY?
Kwanza kabisa CERN wameuita mwaka 2015 kuwa "INTERNATIONAL YEAR OF LIGHT". Kwamba lile swali tulilokuwa tunajiuliza kuhusu BIG BANG THEORY liko karibu kujibiwa maana pindi LHC ikiwashwa kwa energy kubwa ambayo ni 13 TERA ELECTRO VOLTAGE (13TeV) ambayo haijawahi kufanya kazi kwa nguvu hiyo ambapo itakuwa na uwezo wa kuzungusha proton kwa speed nearly speed ya mwaga (speed of light) ili kufanikisha collision kubwa haijawai tokea ili wapate God's particles ndipo watajua kuwa origin ya universe ni nini.

Pili kuna sanamu la Mungu wa Kihindi (SHIVA) katika Headquarter yake. Ukifatilia SANA kuhusu God Shiva ni Mungu wa kihindi mwenye maana ya "The Distroyer". Swali ni kwanini wameamua kumweka Shiva, Hivyo imebaki kuwa na majibu mengi ila majibu machache ni kwamba endapo watakapoweza kufungua huo mlango " a gateway" Shiva ambaye ndo the Distoryer ambaye pia anaaminika kuwa ndo Lucifer atatoka. Jibu lingine kwamba watatoka spritual beings ambazo ni demons ambapo watakufa watu wengi sana maana the only energy ya ku fungua mlango huo people's souls, jibu jengine ni kutoka kwa Antichrist ambaye atafanya wonders na watu kumfata, na la mwisho ni kukutana kwa mara ya kwanza na extraterrestrial beings.

MAWAZO MENGINE
Nikiingia katika iman ya kikristo yenye maelezo ambayo yanaweza kuipa mada hii changamoto ni Mnara wa babeli. Wengi tunajua habari ya mnara wa babeli ambao watu wa kale walijenga mnara ili kilele chake kifike mbinguni ili wasipate kutawanyika uson mwa dunia na wajiapatie jina kupitia hapo.
Mwanzo 11:1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
2 Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
3 Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
4 Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
5 Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
6 Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
8 Basi Bwana akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.


Kwanza tupate kujua kuwa nia yao ilikuwa kufika Mbinguni na Bwana akasema hawa hawatazuiliwa kwa neno lolote ikimaanisha hawashindwi kitu kwa watakachoamua kukifanya hivyo akawabadili lugha.

Sasa waliwezaje kutaka kufanya mnara ufike Mbinguni wakati Mbinguni ni other than spiritual world? Na ukiangalia kwa sasa hivi ni ngumu kujenga mnara ambao utakaoweza fika mawinguni, sasa hao waliwezaje kutaka kujenga mnara ufike Mbinguni!!??

Well kwa mtazamo mwengine walikuwa wanajenga mlango wa kwenda mbiguni (walikuwa wanajenga kitu ambacho kina link different dimensions "a gateway" ) kama wanavyofanya CERN kwa sasa.
Hivyo Hii ya CERN ikifanikiwa na atakayetoka katika huo mlango ndo atakuwa the new Messiah ambaye ni Antichrist ambaye pia ni Nephilim (other claims that) - Nephilim ni offspring kati ya mwanadamu na fallen angels [DNA crossover].

Lakini ili uielewe zaidi hii kitu lazima uijue kwanza Project Blue Beam ila kwa kuwa uliitaka Cern ndio hivyo ilivyo japo ukisoma sana kuihusu utapata mkanganyiko mkubwa sana kuhusu malengo yao na nini taget yao

Kuhusu hiyo teleportation nadhani wamarekan wanatafuta kiki tu ili nao tujue wamo maana hata kama mwanzo iliua watu wengi wasingrshindwa kuendelea kuifanyia utafiti kwa kina zaidi hadi sasa hivyo wasitudanganye kabisa
 
Mkuu tutakuwa hatujamtendea haki zitto junior kuuhamisha mjadala!. Lakini kifupi moja ni kuhamisha kitu (state), ingine kusafiri kwa nguvu (energy) na ya mwisho ni uwezo wa kuinua kitu(levitation).
Unaonaje wewe hiyo experiment ni kweli au story kama za John Titor!?..
Cc: Mzee wa Torano
Nimekua mgumu sana wa kuamini hii sijui kwa nini...
 
Dunia ina mengi ya kutisha na kushangaza pengine kutuacha midomo wazi siku moja nilikuwa na Professor wa Canada tunajadiliana kuhusu uwezekano wa mwanadamu kusafiri katika sipidi ya mwanga kama itawezekana alichoniambia ni kuwa hivi vitu vitawezekana na kuna inchi zimeendelea sana kuna mifumo inafanya kazi kwa sipidi kubwa ni mda tu mambo mengi yatakuwa wazi akanipa mfano wa Operation Gothic ya Israel inaweza kushambulia popote katika Dunia kwa mda wa saa unaofanana bila kuona chanzo cha shambulio na umbali mkubwa hata katika mabara yote 7 kwa sekunde moja unafikiri hii technology ni ya aina gani?
Akanipa mfano Israel imewahi kushambulia karibu mataifa yote ya mashariki ya kati na inchi za kiarabu kwa mda mmoja na ilisimamisha kila kitu ktk anga ya mashariki ya kati na inchi zote za kiarabu.

Kuna mambo mengi tukiweza kuyataftia ufumbuzi tunaweza kushi umri wa miaka million kwa mfano tufanye uwezo wa kusafiri mara 2 kasi ya mwanga tutaenda kwenye jua kwa dakika .3⅔ . ukienda na kurudi utakuwa umetumia dakika 7 na ndani ya mda huu utarudi duniani utawakuta uliowaacha wote ni marehemu kwa vizazi 2 na vijana wa kizazi cha 5 na 4.
Lakini wewe umri wako ni dakika 7 ukiweka na mshangao wa kuikuta Dodoma ni jiji kama Beijing labda utumie dakika 30 itakubidi uende century A. nyota ya karibu utumie siku nzima 24masaa x 60dakika =1440dakika

1440dakika/7dakika = 205.714 x 70= 1439.99miaka ukirudi utumie 1439.99

=2879.998 miaka ya kwenda na kurudi Duniani
Kizazi chote ulichoacha hautakikuta kitakuwa kimetoweka lakini wewe umri wako itakuwa SAA 24+24+7dakika+30dakika

= 2 siku na dakika 37 ndio utakuwa umri wako sasa ili ufikishe miaka 70 utaishi mamilioni ya miaka mpaka kufa.

YAJAYO YANAFURAHISHA
 
Ila hii bongo watasema uchawi maana unapigana na mtu unashangaa anatoweka ghafla khaaa lazma ukimbie vita
Mda utatubadirisha kama tunaamini uchawi mtu yupo dar anamloga mtu wa marekani kwa sekunde tena kwa kumfuata na kumuwangia kwanini tusiamini haya?

Hebu mfano tuiboreshe teknorojia ya uchawi huko sayari ya mass tunaweka soko unaaweka maji ya ugari jiko la gesi unafata unga soko lililopo Mass na utarudi maji hayajachemka.
Maana niliwahi ongea na mzee mmoja akaniambia anaweza enda Zanzibar na kurudi nikiwa nakula kijiko cha kwanza na akanikuta bado natafuna sijameza wala kuchota tonge ingine.
 
Back
Top Bottom