[emoji116]Duuh!
Sahihi kiongozi lakiniKama huu uchawi wetu wa kiafrika tukautendea haki tungeshapata matokeo chanya sasa tatizo ni walio nao wanataka kuloga watu na kufanya mambo ya kijinga yasiyo na tija.
ASEEE hebu nitafsirie[emoji116]
"The mean distance of the Sun's center to Earth's center is approximately 1 astronomical unit (about 150,000,000 km; 93,000,000 mi), though the distance varies as Earth moves from perihelion in January to aphelion in July. At this average distance, light travels from the Sun's horizon to Earth's horizon in about 8 minutes and 19 seconds, while light from the closest points of the Sun and Earth takes about two seconds less."
Mkuu sayansi sio uchawi hizo ni mada mbili tofauti, only consipirators ndii hupenda zilink kutafuta relief!.Duuuuh kumbe time travel hapo itawezekana!!! Mbona sayansi imegeuka uchawi tena 😀😀😀?? Kumbe science ni deep sana kiasi hiki.....
All in all wormhole inawezekana au na yenyewe inahitaji mtu asafiri kwa speed of light !!
Hahahahhaa mkuu Umeongea kwa mafumbo sana ila nmekuelewa ...... inaonekana unafahamu mambo mengi sana ila sijui kwanni hupendi kufunguka kwa uwaziHahahahaa
Mkuu una maswali mazuri Sanaa but majibu yake nadhani umeyaandaa kichwani!
Kuna Nguvu kubwa ambayo imegawanyika!
Ipo nguvu KUU ambayo imegawanya vyote
Pia Ipo nguvu kinzani ambayo
Ipo siku ita take action Na kuharibu taswira ya ulimwengu Na kanuni zake za uendeshwaji ! Eg uvamizi na kuinuka kwa baadhi ya vitu ambavyo awali vilikuwa vimefichwa pia theory mbali mbali zitakuja Ku take action!
Kutoka katikati ya Jua hadi katikati ya Dunia kuna umbali wa kilometa milioni 150.ASEEE hebu nitafsirie
Then tueleweshane
Mkuu zitto kuna mambo Huwa yamepangwa kutokea/kufanyika baada ya muda Fulani!Hahahahhaa mkuu Umeongea kwa mafumbo sana ila nmekuelewa ...... inaonekana unafahamu mambo mengi sana ila sijui kwanni hupendi kufunguka kwa uwazi
Mabadiliko huja kwa sacrifice!!! Kuna watu kumbuka walijitolea maisha yao ili experiment za high risk kma hizi ziweze kuwa reality so what are you waiting for!!!
Sahihi kabisaKutoka katikati ya Jua hadi katikati ya Dunia kuna umbali wa kilometa milioni 150.
Kwa umbali huo, mwanga kutoka kwenye Jua kuja Duniani ni dakika 8 sekunde 19.
wakati mwanga kwenye umbali pande zinapokuwa karibu zaidi kati ya Jua na Dunia ni chini ya sekunde 2
Kaka hakunaga Siri Dunian!Na wewe utapotezwa hivyo hivyo kama huyo jessup, we andika andika tu, kama huyo jessup kumbe ma CIA yanakuwatch tu
Yeah nakubaliana na ww ila kwa layman wa sayansi ukimueleza possibility ya mtu kuteleport..... Uwezo wa kucontrol weather kama HAARP !!! Uwezekano wa kusafiri kwa speed ya mwanga lazima aone uchawi umetumika sio calculations au laws of physicsMkuu sayansi sio uchawi hizo ni mada mbili tofauti, only consipirators ndii hupenda zilink kutafuta relief!.
Wormhole ni kifo cha planet so mtu/kitu hakiwezi ingia kwenye mzunguko kikasurvive after!. Yani kitazungushwa to and fro lakini mwisho wake kitapotea!.
Hahahahaha hiyo ilikuwa enzi zake siri haijavuja ila keshaandika vitabu so haijawa siri tena maana wamevisoma wengi so watamuua nani wamuache nani !!Na wewe utapotezwa hivyo hivyo kama huyo jessup, we andika andika tu, kama huyo jessup kumbe ma CIA yanakuwatch tu
Umeelewaje hii statement [emoji116]Sahihi kabisa
Ulikuwa unapinga impogo aliposema ni umbali wa mamilion ya miaka?
Mfano1: Ukiona nyota angani muonekano huu ni miaka mamilioni iliyopita mpaka mwanga umetoka huko kutufikia Duniani sasa hii nguvu ya kasi ya mwendo wa mwanga sasa leo nyota ya ukubwa wa jua ikiumbika leo katika umbali kama lilipo Jua ikalipua mwanga katika kiini chake huo mwanga utatufikia takribani miaka milioni 3 hapa tulipo.
Huyu impogo Huwa namuelewaga Mimi tu!Umeelewaje hii statement [emoji116]
Kwanini mkuu !! Embu tupe data zaidi kuhusu GWIJI huyuYote tutajadiliana na kuelimishana ila tumfatilie huyu jamaa Henry Kensinger . Huyu shetwain kabisaa
Bado mkuu haujapoa ndio kwanza hawa haujamaliza wiki.... Embu funguka utupe mwanga kama haya madude ya teleportation ya object yanawezekana kisayansiDha! yani nigewah kidogo ningeporomosha principle za Quantum physics, equation of relativity (E=M^2) na kuhusuTeleportation tungekutana kwenye quantum entanglement, quantum behaviours & Heisenberg uncertainty principle yani mleta uzi ulikua umenileta uwanja wa nyumbani kabisa sema nimechelewa kuja tu... UZI USHA POA HUU TAYARI DHA!!! Uwe una tu-tag