Upi ni wakati sahihi wa mwanaume kuoa (vitu vya kuzingatia)

Navyoona pale ambapo, umepata mwenza na mkakubaliana kufunga ndoa. Uko tayari kwa majukumu, kusikiliza, mawasiliano. Kuishi na mtu mliyekutana ukubwani, kuvumilia, kusamehe. N.k....
 
♟️Ukomavu wa akili (Kupambanua mambo, kukabili hali, Kuelewa hisia za mwingine, Kusamehe, Kukubali kosa, Kujishusha, Kusikiliza)

♟️Nidhamu binafsi ( Matumizi ya pesa na uwezl wa Kujiongoza kufanya mambo sahihi)

♟️Financially stable

♟️Uwajibikaji.

Mambo ni mengi. Si lazima uwe na yote

Nobody is perfect
 


Shukrani mkuu, umeniongezea madini muhimu sana.
 
Natanguliza salamu...

Kumekua na mitazamo tofauti tofauti katika suala la mwanaume kuoa.

Nimeleta kwenu nikiwa nataka kujua upi ni mtazamo sahihi na unaoendana na dunia ilivyo kwa sasa..


Nawasilisha.
Ni wakati anapopata mwanamke wa kupendana naye, pia kuwa tayari kwa majukumu ya familia.

Ova
 
Navyoona pale ambapo, umepata mwenza na mkakubaliana kufunga ndoa. Uko tayari kwa majukumu, kusikiliza, mawasiliano. Kuishi na mtu mliyekutana ukubwani, kuvumilia, kusamehe. N.k....
Huu ni uongo
cc:kataa ndoa.NDOA NI WIZI MTUPU
 
Huu ni uoga tuuh,amna ulichoongea kinachomaanisha ni wakati sahihi wa kuoa
cc:kataa ndoa.NDOA NI UDANGANYIFU
 
HAPANA
cc:kataa ndoa .NDOA NI UHUNI TUU
Shida ni kwamba, mwanamme ikiwa utakataa sana kuoa, unaweza jikuta unapata mawazo ya kuolewa wewe baada ya muda fulani.

Hivyo basi, ni vema ukifika wakati mwanamme aoe na awe na mke wake mwenyewe, na kuuishi ujinsia wake kikamilifu.

Ova
 
Usicheke mkuu
Inasikitisha kuona unataka ndoa
cc:kataa ndoa#NDOA NI UTAPELI

Hahaha mkuu.

Kila nikiwaza;

#Mgawanyo wa mali (pindi mtalakianapo).

#Kuchapiwa ni siri ya ndani.

#Kitanda hakizai haramu n.k

Huwa naendelea kujenga uchumi wangu na kutafuna kuku kwa mrija.
 
Shida ni kwamba, mwanamme ikiwa utakataa sana kuoa, unaweza jikuta unapata mawazo ya kuolewa wewe baada ya muda fulani.

Hivyo basi, ni vema ukifika wakati mwanamme aoe na awe na mke wake mwenyewe, na kuuishi ujinsia wake kikamilifu.

Ova
Kwamba ndoa ndo ukamilifu wa jinsi!?
Acha ufala mkuu na hii ni kwa wote iwe ke au me
cc:kataa ndoa .NDOA NI UTUMWA
 
Hahaha mkuu.

Kila nikiwaza;

#Mgawanyo wa mali (pindi mtalakianapo).

#Kuchapiwa ni siri ya ndani.

#Kitanda hakizai haramu n.k

Huwa naendelea kujenga uchumi wangu na kutafuna kuku kwa mrija.
Ewaaaah!sasa naona unaanza kufumbuka
Ao walio oa wanamengi yakusimulia
cc:kataa ndoa.NDOA NI UKANDAMIZWAJI.
 
Natanguliza salamu,

Kumekua na mitazamo tofauti tofauti katika suala la mwanaume kuoa.

Nimeleta kwenu nikiwa nataka kujua upi ni mtazamo sahihi na unaoendana na dunia ilivyo kwa sasa..

Nawasilisha.
Unaweza kuoa muda wowote tu utakapokuwa tayar kukubaliana na suala la kutom.bewa
 
Sorry mkuu;

Hapo ni wakati sahihi ukilinganisha na mtazamo wa dunia inavyokwenda kwa sasa.
iko hivi bwana mdogo, ukitaka kuoa kuna vitu viwili ambavyo maranyingi havitokei simultaneously(right person and right time)

mara nyingi girls wengi wanawaacha wanaume wanao wapenda wanaenda kuolewa huko sababu ni kutaka kuolewa at not right time maana kijana bado anajitafuta, au bado anasoma au hafikirii kuoa that time.

na wewe ukijitafuta ukajipata ukaona ndo wakati sahihi uoe sababu umeshajipanga, hupati mke kila mtu utaona sio right person, kila mwanamke atakufekia wife material usipo kuwa wakini utaachana na habari za kuoa sababu wanawake wote watao taka kuwa na wewe sio right person ila wanataka good life hivyo jiandae kupigiwa.
Kataa ndoa wengi wako kwenye hili kundi sababu hawataki kupigiwa wanaona wakioa muda wowote wataachana mali zigawanwe.

Suala la kuoa halihitaji timing, hakuna right time wewe angalia right person ukishakuwa na uwezo wa ku afford basic needs oa usisubili kujipanga utakuja kupata hela na hata usizifurahie sababu utakuwa na stress tu yaani una hela ila mahusiano yako ni very weak.

Mimi nilioa hata sikuwa nimepanga kuoa, sikuwa nimejipanga wala kufikiria kuoa sababu ndo nilikuwa naanza maisha sina chochote cha maana nilipata mwanamke smart, nikampa assignment kadhaa bila yeye kujua aka pass kuwa mke japo mwanzo sikujua kama atafikia kuwa mama watoto wangu.
 
 
Natanguliza salamu,

Kumekua na mitazamo tofauti tofauti katika suala la mwanaume kuoa.

Nimeleta kwenu nikiwa nataka kujua upi ni mtazamo sahihi na unaoendana na dunia ilivyo kwa sasa..

Nawasilisha.
Mwanamme anapobalehe tu inatakiwa aoe na mwanamke akivunja ungo tu, aolewe.

Mengine yote ni porojo za kishetani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…