Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Alligator ana miaka 150m wakati crocodile ana miaka milioni 95 tu
Kwa msaada wa ....
Kwa msaada wa ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kiongozi kwa elimu hii. Sasa katika hao wawili, yupi ni yupi?Japo mamba Aina yoypte ni hatari mzee Haijalishi hata kama akiwa katokea Ukerewe kwa Wajita
Ila kwa hao hapo juu
American Alligator (Alligator mississippiensis) sio mamba Ambaye anaweza Kukuvamia Bila kuchokozwa Ni mamba anayekwepa Sana Binadamu na Kuwaogopa Ila anaAttak pale anapopatwa na Stress yaani Kama akipata Tishio la kuhisi maisha yake yako hataruni Bhasi humuattak Mtu na kumdhuru..
Kwahyo ukimchokoza hana cha msalia mtume au Akichokozwa halafu wewe ukapita Mbele yake bhasi huna bahati
Ila
Nile Crocodile (Crocodylus niloticus) na Saltwater Crocodile (Crocodylus porosus..hawa wanavamia na kushambilia Bila kuchokozwa na Ni mamba wakali sana kuliko wote..
Sana sana Huyu Nile crocodile ni hatari sana huyu akisikia Harufu ya Binadamu kwenye maji atakimbia mpaka ampate
Mmoja ni crocodile (left) ni mwingine ni alligater ( right)
Rejea Post no 12Asantesana kiongozi kwa elimu hii. Sasa katika hao wawili,yupi ni yupi?
KabsaaHivi allgators ni tofauti na crocodile?
Completely differentHivi allgators ni tofauti na crocodile?