Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Kwakweli sijawahi fanya hiyo kitu yaan uanze ujishikeshike mwenyewe alafu upate raha hisia hizo sina kabisa kwakweli
 
Naomba kujua uhusiano wa kunyonyoka kwa nywele na kupiga puchu
Ni vyema pia akasema hayo madhara yametokana na utafiti gani wa kitaalamu?

Ni utafiti gani wa kitaalamu/kisayansi ulithibitisha punyeto huondoa uchovu?
 
Ni vyema pia akasema hayo madhara yametokana na utafiti gani wa kitaalamu?

Ni utafiti gani wa kitaalamu/kisayansi ulithibitisha punyeto huondoa uchovu?
Hayo maswali muulize mtoa uzi ,ndugu yangu lukesam
 
Hivi unajua kua chips ni viazi mviringo vimekatwa na kukaangwa? Unajua kua viazi mviringo vina kiasi kikubwa cha kabohaidret? Sawasawa na mahindi au mchele?

Kwa maana hiyo basi hii inamaanisha chips hutoa kiwango sawa cha kabohaidreti sawasawa na ugali au wali?

Haujui? Yea thats because you are stupid.
 
utaanza na video za tendo la kawaida utapiga puchu utazikinai hizo video

utahamia kwenye video za kinyume na maumbile utapiga puchu utakinai

utahamia kwenye videos za mashemale na mashoga.. hapa tutakua tayari tumeshakupoteza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unasema umeombewa ila tatizo halijaisha basi habari njema inakufikia siku ya leo, wiki iliyopita nikiwa natembea nyikani nikasikia sauti ikisema, "Jipu tazama mbele yako kuna nini?" Nikajibu fimbo, sauti ikasema, "iokote fimbo iyo, nawe utaenda nayo popote ukihubiri neno langu, na kwa fimbo hii wote utakao wachapa viboko kwa fimbo hii watapata wokovu."
Leo ni siku ya sita watu wanapata wokovu, nimechapa viboko vya upako wezi, majambazi, walevi, wazinzi, wagonjwa na wote wamepata uponyaji. Nakusihi njoo na wewe nikutandike viboko vitano vya upako tatizo lako litaisha.
Jipu umetisha, mm nataka nikuchape ww
 
Kama wewe kaka au dada una tatizo la kujichua kwa muda mrefu bila kuacha, nichek pm ila niambie kabisa jinsia yako nikuelekeze ya kufanya na utaacha kabisa uo mchezo/tabia
 
Haa umeshindwa kutueleza hapa tuje wp tena
Ckia ndugu kuna some people hawapendi kuongelea hadharan sababu ni jambo la fedhea, ndio mana nkasema waje pm. Hata hvyo sio lazma kuntafuta bali yule atakaehitaji msaada bac atanchek
 
Back
Top Bottom