Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Wakati nabarehe ukimwi ukapiga hodi....vijana tuliosoma wote shule ya msingi, sekondari walipukutika wote, mbaya zaidi enzi hizo hakuna ARV kama sasa hivi....bila punyeto ningekuwa nimeukwaa zamani.
 
Dadeki.
Mimi wangu nchi 2 sijui ila ukiamka lazima waombe maji.
Wapiga punyeto tuna uumbe mrefu sana ila usiposimama ni kama wa mtoto mchanga.
Kama hupigi nyeto huwezi kumlizisha kila mwanamke labda wale wahaya wanaokojoa faster
Hi kesi imefanan San na yangu pia uume unakuwa mdgo for some time ila ukisimama wimaa yaan naweza shindwa tembeaa na sijwai pata malalmiko kuwa Nina kibamia ila ikiwa iimepumzika unaeweza dhani ndogo mno ...ila cpigi nyeto mkuu
 

Dhambi Ya kumwaga nje ilimgharimu Onani uhai

Mwanzo 38: 9 - 10
Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao. Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamwua yeye naye.
 
Vyema, sambamba na haya AJITAHIDI KUTOTUMIA HIVYO MUDA WAKE WA ZIADA, wengi hawaachi kwa sababu tu akiwa na leisure time hisia anazipeleka ktk ngono.
Na ikitokea hisia zimekuja, ZIKATAE KWA KUJIWEKA KTK HISIA ZINGINE mfano fikra chanya, mazoez n.k.
 
Sijui kwa nini mnateseka na punyeto? Mnaacha kulishindua shimo lile mnaenda kutoumba magodoro? Fikiria unamwaga wakati mtu anaukatikia kuliko kumwaga umekakamaa kama mjusi kafiri. Poleni.
 
Asante mzee kwa muongozo hakuna alieacha hata mmoja labda kupunguza
 
toka miaka kumi na saba/ saiv unamingapi ili tujue kwanza. ungesaidia kujibu kwa ufasaha ingekua jibu zuri sana kwa watafiti na pia kwa watu wote wanaopiga wajue wana usalama au life span gani.
 
Mwenezi CHAPUTA Umetisha[emoji109]
 
Weweeee piga punyeto wachana na maneno ya motivation speaker et ina madhara oooh nyee nyeee nyeee
Gwa Newyokooo!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
toka miaka kumi na saba/ saiv unamingapi ili tujue kwanza. ungesaidia kujibu kwa ufasaha ingekua jibu zuri sana kwa watafiti na pia kwa watu wote wanaopiga wajue wana usalama au life span gani.
Nina miaka 34 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…