Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Kwa kweli ume spin fact ..agiza soda naja kulipa. .to be honest nyeto inapaswa kupewa kipaumbele na kupewa heshima yake. .cause ni kimbilio la watu wengi wenye busara na hekima. .wasio na hekima wanaposhikwa na nyege huwa wanaishia kubaka
Nashukuru kuijua nyeto mapema,bila nyeto ningelikuwa segerea miaka mingi sana coz nyege zingenifanya nifanye mambo ya aibu sana.
Mwache nyeto aitwe nyeto,Nyeto idumu milele.
 
Ethical Ninja CEH,
Hebu weka hasara za kua na mwanamke na mkono tulinganishe kisha tutachagua hasara ndogo zaidi kukizi mahitaji mengine wanachama msihofu huu ni upotoshaji tu kama upotoshaji mwengine na kama ingekua kila ukipiga mkono unawekwa kibaka (alama) mleta Uzi angekua Nazo mwili mzima. Pumbav
 
Since 2002 til.now still going strong....still going hard. Hakuna kitu kama kile aseee. Sema kwa afyaa
 
Hapana, hiki unacho elezea hapa, ndicho ambacho kinafanya wengi washindwe kutoka kwenye haya matatizo yenu. Ili kushinda hivyo vitu na kuacha unatakiwa kujua ukweli ni upi na uongo ni upi... hiki ambacho nilianza ni intro ila series ni ndefu sana.. hii imesaidia wengi na wengi wameacha, walio amua kwa dhati kabisa kuacha

Mkuu umepiga puli kwa miaka mingapi!?, kama hujawahi kuwa kwenye hili jambo amini puli haiachwi mtu akatambua kuwa kaacha bali inakipindi cha mapumziko tu.
 
Bro kuna mdogo wangu alikuwa form 2 tulikuwa tunalala nae room moja, Alikuwa anapiga nyeto mbele yangu tena kama ni usiku anawasha taa anaanza kupiga. Sema darasani pia ndo alikuwa anaonhoza [emoji23][emoji23]

Hahah, Dah huyu mdogo wako ni mtu hatari mkuu, ujue alichokifanya ni sawa na umkute mtu mzima anajisaidia haja kubwa hadharani. Najaribu kuamini kipindi hicho bado alikuwa ana kautoto fulani au ndio alikua kaanza puli.
 
Daaah!! This week nimejitahidi tangu J3 sijapiga isee naona dalili za kustaafu chaputa!!! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Nimepanga baada ya kuoa nitaacha

Kuacha kupiga Bao la mkono bila mbadala haiwezekani,
Unaishi vipi bila ya bao la mkono ili akili ikae sawa japo kwa wiki mara moja.
 
Huyu jomba kwa leo namlia vaku tu. Ila ukitaka nyeto isikuathiri uwe unakula vizuri halafu unastua kimoja cha afya.

##mimindiyenimeandikahayooo!!!!!?##
 
Duniani kuna watu bil 7.9.
Na according to recent statistics visitors wa websites za ngono wanafika bil 5.5.... kibongo bongo almost kila kijana anacheki pilau.
Duniani hao bil 2.4 waliobakia(wasioangalia porn) ni vichaa ,vipofu , wagonjwa mahututi ,watoto wadogo sana na wasio na access na Internet...
Porn sio tatizo tena ni lifestyle
..... Umesahau sisi viongozi wa dini huwa hatuangalii na ndiyo maana style zetu ni zile zile za kukunjana
 
Daaah!! Member since 2013 huu mchezo mtamu sana!! Asikuambie MTU bora nibakie huku kuliko kwenda kuparamia magonjwa ya ajabu ajabu ya zinaa!!

Cha msingi unapiga kisomi...daily round moja kabla ya kulala!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Unapiga kisomi
 
Back
Top Bottom