Kwanza elewa hii kitu haina madhara yoyote km unavyoaminishwa na hao wafanya Biashara za dawa za nguvu za kiume ila tu kuna namna ya kuishi na kuifanya iwe na faida maana ina faida kubwa mno
Madaktari wengi wamekua wakiipinga sababu ya kuwafanya watu km sehemu ya kujiingizia kipato wao wanachojua no madhara faida hawazijui wao faida wanasema zile za jamii sio za mwili na akili
But I assure you kila kitu kinaanzia kwenye brain na mindset yako unafikiri nini unawaza nini
Chukulia mfano: unapopatwa na jeraha la mchubuko kwenye paja, mkono, tumbo au mguu unapatwa na kidonda basi tambua kwamba mwili una kawaida ya kujikarabati wenyewe baada ya mda fulani unajijenga upya ingawa unabaki na kovu ila kovu halisumbui mwili
Yaan ipo hivi mfano umeumia pajani kidonda kikawa kimechimbika itakuchukua maximum wiki 2 hadi 3 kidonda kujifunika na kupona kabisa wiki ya 4 utaona kovu linaanza kupotea au kufutika ikifika wiki ya 5 ushasahu km palikua na kidonda
Vivyo hivyo kwenye suala hili ambalo hawa Jamaa wamelivalia njuga wakisema ni mbaya kufanya ila I am telling you haina madhara hata punje sijui hayo madhara wanayatoa wapi
Kikubwa ni mindset yako unaitumiaje, mfano mwingine ni pombe na sigara utaambiwa na hao hao kwamba ina madhara tena makubwa mno kwenye mwili na ni kweli ina madhara hii sipingi maana hapa unaingiza kitu hautoi kitu kwa maana hushambulia organs zote muhimu za mwili
Ila pia hao hao wanasema usipovuta sigara au usipokunywa pombe mara kwa mara haina madhara umeelewa maana yake nini?
Yaan mfano:
Ukinywa glass moja ya pombe kila baada ya wiki moja haina madhara au ukivuta sigara moja kila baada ya wiki moja haina madhara unajua maana yake nini?
Mindset..
Mwili una kawaida ya kujijenga upya unajitakasa wenyewe unajiunda tena upya kila baada ya mda fulani kwa hio ukiwa na kipimo maalum cha matumizi ya kitu au Jambo fulani mwili hauwezi kupatwa na shida yoyote maana nikama maji kupwa maji kujaa ni km bahari inajisafisha yenyewe tu ndio mwili ulivyo
Ukiwa unafanya m'bation let say kila baada ya miezi 3 au 4 haina tofauti na kukutana na mwanamke maana unachofanya na mwanamke ni kile kile tu,
Nmefanya research hii kwa mda usiopungua miaka 10 na naweza nikapingana kwa hoja na madaktari wanaosema hii kitu ina madhara pasina kuwaambia watu ukweli halisi faida za ndani ya mwili mtu anazozipata
Kuna mwingine anafika mbali anasema eti nywele zitanyonyoka zitakua hazioti (kuna madawa chungu nzima ya kuotesha nywele) sijui uume utakua hausimami nani kasema huu uongo, madaktari uchwara kweli hawa
Nilifanya research moja mwaka uliopita nilijibust (nilifanya m'bation) thèn nikakaa miezi isiyopungua minne sijafanya kitu chochote yaan sijui uchi wa mwanamke na sijajibust then after that nikatafuta Malaya mmoja ameshona vibaya nyuma ana bonge la chura hua anachukua hotel mnaonana uko, tukaongea akanielewa nikaenda kumpelekea moto, swali aliloniuliza ni moja tu
'mchumba umekula nini leo? naomba siku nyingine ukila kitu km hiki unitafute maana sijawahi kufanyiwa km hivi..'
Kuanzia siku hio nikimwambia nakuja ananiambia njoo tu mchumba hata km huna hela ya kunilipa wewe njoo nakupa bure ila kila mara hua nampotezea
Unajua kwanini aliniuliza mchumba umekula nini leo?
Sio vumbi la kongo sio mundende sio dawa zao za Biashara zenye virutubisho za 200,000 sijui 300,000 kuongeza nguvu za kiume kwa dozi eti kula hizi dawa za matunda ni mindset tu wanacheza na akili yako hao mazwazwa wanatengeneza pesa kwa kupitia ujinga wako wewe ni mjinga
Brain yako ni power center itumie vizuri, mwili wako ni km kiwanda cha nishati unajizalisha wenyewe unajitibu wenyewe hauhitaji daktari ila unahitaji muda na nafasi mwili wako ni daktari tosha,
Mfano mdogo: ukienda hospital ukiwa na hali mbaya cha Kwanza wanachofanya ni kukupa kitanda ulale, unajua kwanin?
Wanaupa mwili mda wa kujitibu wenyewe mwili ujikarabati unafanya maintenance & repair wenyewe ukiwa umetulia, watakuwekea drip ya damu au maji ila mwili unajikarabati unajirudi wenyewe ndani ya muda na nafasi utajihisi nafuu baada ya kupewa tumaji ukanywa ukalishwa na tuma tunda
Kula vizuri matunda matunda kwa wingi, kunywa maji mengi ya kutosha haswa, fanya mazoezi mengi ya mwili na mazoezi mengi ya akili hio ndio siri hakuna jipya, mengine uachie mwili na akili vifanye kazi yake
Usikae unaongopewa usiyumbishwe na hawa madaktari uchwara wa makaratasi na kukaririshwa mambo bila kuyafanyia tafiti za kina eti punyeto ina madhara thibitisha practically sio theoretically
Nilivyomfuata huyo Malaya:
Kwanza nilimcheck akasema njoo nikampimia mda akasema poa njoo saa 1:00 usiku by the time ni saa 7:00 mchana
Nikapiga hesabu zangu, nikapiga maji nikapiga tizi kidogo nikaenda kuchukua matunda parachichi na ndizi za kutosha then nikala Kwanza parachichi zangu 3 za kushiba
Nikatulia kidogo
Nikavuta ugali wa Dona na Kuku wa kukaanga, samaki wa kukaanga, korosho za kuchemsha pembeni, saradi ya matango, vipande vya papai na parachichi na juice ya matunda ya nanasi glass moja finish
Nikavuta pumzi kidogo km dakika 10 nikanywa maji ya lita 1 na nusu nikavuta pumzi tena
Nikashuka kaunta
Saa 12:00 nikapiga zangu Kilimanjaro moto moja nikatoka nikaenda kugonga ndizi zangu nilizonunua km 15 ili nipate full potassium nikashusha pumzi kisha nikashushia tena na maji lita 1
Saa 1:00 usiku nipo hotel kwa mchuchu kula mbususu condoms ziko ON show likaanza ni mwendo wa moto tu chuma kimesimama wima wima mnara 5G
Alafu kuna choko mmoja anakuja kubana pua eti punyeto kufanyaje...
Mindset my brother mindset, hii kitu ujue kutumia brain yako vizuri la sivyo utapotea na kumtafuta mchawi ni nani kumbe umejiroga mwenyewe
Punyeto sio pornography wasiwadanye unaweza kupiga punyeto bila hata kuangalia pornography na ukaenjoy sana tu, ukitaka kujua waulize wanawake wanaopiga punyeto km wakiwa wanapiga punyeto hua wanaangalia porno huku wanapiga m'bation
Asante kwa kunisikiliza